Hoja yangu ni logic.
Kwamba ukweli una logical consistency.
Maelezo yenu ya mungu (regardless ya yalipotoka) hayana logical consistency.
Nje ya vitabu vya dini hakuna suala la kuwapo kwa mungu unayemsema.
tumalize maswali yangu then tuhamie kwenye unayotaka kujibiwa...
angalizo sisi hutajaathiriwa ubongo na sayansi; hivyo mimi najua binadamu ni mwili pamoja na viuongo vyake vitendavyo kazi,nafsi na roho.
mwili ni matter ambao unamaelezo ya lisayansi kwa kuwa sayansi inauwezo wa kujua mattera pekee.
hivyo ukitaka kupewa jibu la kisayansi itakuwa ni swala la lugha gongana.
sina hakika kama waelewa
Inamaana kumbe wewe haujapinga uwepo wa Mungu ila unapinga Mungu wa kwenye vitabu?
Ndiyo maana nikakwambia jenga hoja ya kupinga Mungu nje ya vitabu vya dini.
Ila Uwezo wa kukuthibitishia kuwa ni maneno ya Mungu ninao na huwezi kupinga hata chembe.
Hoja yangu ni logic.
Kwamba ukweli una logical consistency.
Maelezo yenu ya mungu (regardless ya yalipotoka) hayana logical consistency.
Nje ya vitabu vya dini hakuna suala la kuwapo kwa mungu unayemsema.
Naanza na wa kwenye vitabu aliyekuwa well defined.
Wewe unamuamini wa kwenye vitabu?
Hapana, siwezi kukujibuni mkupuo mara zaidi ya nne huku nyie hamjibu maswali yangu.
Hata penalty kick huwa hazipigwi zote tano na timu moja halafu tano zingine zipigwe na timu nyingine.
Unajuaje kwamba katika majibu yenu siwezi kupata zaidi ya kujadili?
Unanimyima haki yangu ya kujadili sawa na kujibiwa maswali yangu.
Zaidi, unaonekana unaogopa kujibu kwa sababu huna majibu.
Hoja yangu ya kupinga mungu nje ya vitabu vya dini mbona nishaisema hapa?
Wewe hufuatilii tu.
Nimeaema, mungu aliyekamilika yote hana haja ya kuumba chochote, kwa sababu kakamilika kwa yote.
Kiwepo kwetu kunainyesha hakuna mungu aliyekamikika kwa yote.
Ambaye ndiye mungu pekee worth debating.
Sasa ndiyo nini ulichokiongea hebu weka vizuri hoja yako,yani kuwepo sie binadamu ndiyo ushahidi ya kuwa hakuna Mungu?au mie sijakuelewa?
Sasa kama hakuna kinachotokea ambacho si matakwa yake, wanaofanya dhambi watahukumiwa kwa nini na wanaofanya mema watapewa thawabu kwa nini?
Si mambo yote kapanga mungu?
Mungu atamhukumu vipi mwanadamu kwa kufanya mabaya wakati yote kayapanga yeye mwenyewe?
kwa mantiki hiyo hiyo huu mjadala hauna mwisho
kwa kuwa wewe kila utachoambiwa utahoji kwanini isipokuwa wewe ukisema sababu ni nguvu za uvutano so and so waona umejibu.
yatizo ni ubongo wako umeghoshiwa hauwezi kukubali elimu mpya.
unawaza kisayansi ambapo unahusika na matter pekee ndiyo sababu huishiwi maswali ya majinga majinga yanayoonyesha kiwango cha juu sana cha upumbavu.
dunia na viluvyomo matter and spirits ni mfumo mmoja unaotenda kazi pamoja. kuumba vyenye akili ilikuwa ni kuweka utambulisho wa visvyo na akili sawa na vingine malengo na madhumuni ya Mungu kuweka hivi vilivyo na namna wenye maarifa sawia ya kibinadam wanavyoelewa ni tofauti na wanadam wasio na maarifa ya mfumo kama Kiranga et al
hivyo contradiction unayoiona wewe ni mind illusion yako na waliokosa maarifa wenzako.
umelumbushwa mara nyingi juu ya FALLACY OF DEFINITION ambayo ndiyo msingi wa illusion inayokukabili lakini hustuki hata...
Vitabu vya dini si hoja.
Hoja ni mantiki.
Kama una maelezo kutika kitabu cha dini yenye mantiki yalete hapa, mimi sina matatizo na kitabu.
Tatizo langu ni pale utakapofanya kile kisicho na mantiki kina mantiki kwa kuwa tu kinatoka katika kitabu cha dini.
kirangaa unatisha asee bravoooooMungu mwenye uwezo wote, ukamilifu wote na ujuzi wote kwa nini ahitaji kuumba binadamu?
Kuhitaji kokote, pamoja na kuhitaji luumba, si kupungua ukamilifu?
Mungu mkamilifu angejitosheleza mwenyewe.
Kwa nini kaumba binadamu?
Huwezi kuwalaumu matajiri.
Matajiri hawana ujuzi wote, hawana uwezo wote wala hawana upendo wote.
Unachekesha wewe unayefananisha mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote na matajiri.
Na hata hao matajiri tunawaona wanatoa kusaidia maskini. Bill Gates anasaidia mitadi ya kutokomeza maradhi, Zuckerberg kagoa dola milioni 25 kutokomeza Ebola.
Mungu ambaye anaweza kutokomeza Ebola kwa fikra tu mbona hatokomezi?
Ndio upendo wote huu?
Hujajibu maswali.
Umeyakimbia tu.
Mungu mwenye uwezo wote, ukamilifu wote na ujuzi wote kwa nini ahitaji kuumba binadamu?
Kuhitaji kokote, pamoja na kuhitaji luumba, si kupungua ukamilifu?
Mungu mkamilifu angejitosheleza mwenyewe.
Kwa nini kaumba binadamu?
Hakuna swali nimelikimbia na sina sababu ya kukimbia swali toka kwa mtu ambaye nafahamu uwezo wake wa kufikiri umeghoshiwa.
nimekumbusha kwamba usitake upewe jibu la roho kisayansi na sijui kama visivyovya kisayansi ubongo wako unavihimili...
umejibiwa sana kuhusu ROHO sijajua ni kwa nini warejea swali mara kwa mara
mbona wewe kila jibu unalopewa linazaa swali lakini wewe unataka ujibiwe tu.
mbona kuna maswali yameulizwa mara nyingi lakini una act vile kama huyaoni ?
Umesahau kuwa ana sifa ya kuumba, na sie hatumsaidii chochote wala kumpunguzia chochote,anaonesha uwezo wake wa uumbaji na sie ndiyo wahitaji kwake.
I am in a deep thoughts,Is God really fair?
For instance...how come mtu unajitunza for so long timeas as a woman or a man)then it reaches a point unadecide kuwa na maisha...you open up your heart to sb...you give him/her everything full committed then what you get in return ni maumivu yasiyoeleweka na HIV juu
Kinachosikitisha ni kuwa....wale ambao ni waru waru,are enjoying life to the fullest...IS GOD REALLY FAIR?
NISAIDIENI cause spmetimes i do fail to explain