Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,766
- 145,553
Mungu wa miungu , mfalme wa wafalme , yeye yule jana leo na hata milele
Sasa mbona dunia hii haiakisi kwamba kuna mungu kama huyo?
Mungu wa miungu , mfalme wa wafalme , yeye yule jana leo na hata milele
Kabla ya kusema "mungu anapofanya maamuzi yake..." thibitisha kwamba mungu yupo kwanza.
There is such a thing as putting the horse before the cart.
Kitu chenye mjadala hapa ni uwepo wa mungu.
Unatakiwa uthibitishe uwepo wa mungu.
Unathibitishaje kwa kusema "mungu anapofanya maamuzi yake wewe na mimi hatuna uwezo wa kumuuliza" wakati hata hujathibitisha kwamba yupo?
Vipi kama hiyo habari yako nzima ni changa la macho lililotungwa na binadamu tu, wakakwambia "mungu anapofanya maamuzi yake mimi na wewe hatuna uwezo wa kumuuliza" ili kulinda siasa zao?
Kama hatuna uwezo wa kumuuliza mbona mimi nishauliza swali hilo?
Tuthibitishie kauli yako hii.
Hana ubavu huo. Huyu ni mkaririshwa ambaye hana uwezo wa kusema zaidi ya aliyo karirishwa.Nithibitishe nini? Unafahamu kanuni za uthibitisho?
Kama hufahamu kwa nini mungu wako kafanya alivyofanya, humfahamu mungu wako.
Hata kama sifahamu sababu ya baba yangu kuwa baba yangu na sio baba wa Nyani Ngabu, hili haliondoi ukweli kwamba mpaka sasa hufahamu kwa nini huyu unayemuamini kuwa mungu kafanya alivyofanya.
Hilo linamaanisha hufahamu msingi wa muhimu kabisa wa imani yako.
Hilo linamaanisha, imani yako inawezekana kabisa kuwa potofu na wewe usifahamu hilo.
Mungu gani huyu ambaye hakosei?
Did the chemicals cause that delusion in that bone between your ears?Sasa mbona dunia hii haiakisi kwamba kuna mungu kama huyo?
Nyerere alisema Wazanaki wanarithishwa mali za mjomba.
Kwa sababu mjomba wana uhakika undugu wake, wameona mama kakuzaa, wameona mjomba kazaliwa na mama yako.
Kwa baba hawajui nani ni baba wa nani.
Kama hujui kwa nini baba yako ni baba yako, utajuaje huyo ndiye baba yako na si baba wa kubambikiwa tu?
Your questions are not particularly meaningful. Unless you prove to me that death exist.Kama hakuna uhusiano kati ya kifo na mungu, kwa nini umetaja habari yangu ya kutoelewa kifo ni nini kama kikwazo cha mimi kumtambua mungu?
What evidence is there that QM pre-existed the physical universe to cause the physical universe into existence? Which interpretation?Visivyopo havithibitishiki kwamba havipo.
Kwa sababu havipo ili kuthibitishika kwamba havipo.
Vilivyopo ndivyo vinathibitishika kwamba vipo.
Kwa sababu vipo, vinaweza kuthibitishika kwamba vipo.
Huwezi kupata alama za vidole za mwizi ambaye hayupo na hajawahi kuwepo.
Unaweza kupata alama za vidole za mwizi aliyewahi kuwepo.
Hivyo basi, swali linakugeukia wewe.
Unayesema mungu yupo.
Thibitisha kwamba mungu yupo.
Nyerere alisema Wazanaki wanarithishwa mali za mjomba.
Kwa sababu mjomba wana uhakika undugu wake, wameona mama kakuzaa, wameona mjomba kazaliwa na mama yako.
Kwa baba hawajui nani ni baba wa nani.
Kama hujui kwa nini baba yako ni baba yako, utajuaje huyo ndiye baba yako na si baba wa kubambikiwa tu?
Thibitisha kwamba mungu yupo, hata kwa uthibitisho wa kinadharia tu unaotumia mantiki bila kujikanganya.
Kati yangu ninayetoa maswali kwa habari za mapokeo na kukariri vitabu vya dini, na wewe unayeshindwa kuyajibu maswali hayo nani anakariri?
Kama kweli una uelewa wa mambo mbona maswali yangu hunijibu?
Hata mfano wako mwenyewe huuelewi. Ukishatoa habari ya kufananisha matatizo ya maisha kuwa sawa na habari ya mtihani kwa mwanafunzi, umeshafananisha aliyeruhusu matatizo hayo na aliyeruhusu mtihani kwa wanafunzi.
Kwa wanafunzi mtihani unaletwa nawalimu wasio na uwezo wote wala ujuzi wote wala upendo wote, hivyo ukiuliza kwa nini wanaleta mitihani, wanaweza kusema wanataka kufundisha.
Huyo mungu anayeleta matatizo (sawasawa na mitihani) kashindwa vipi kufundisha viumbe vyake bila matatizo wakati ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
Nitakubali vipi kabla ya kunijibu swali langu?
Imekuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aende kuumba ulimwengu ambao unawezekanika kufanyika mabaya ya kila aina?
Kiini cha yote ni uwepo wa mungu.
Uwepo wa mungu unaweza kupimwa kwa kuangalia nature yake mungu na kuilinganisha na dunia iliyopo.
Nature yake mungu ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na mwenye upendo wote.
Mungu kama huyu ana uwezo wa kuumba ulimwengu wowote, hata ulimwengu ambao mabaya hayawezekaniki.
Ulimwengu tunaouona mabaya yanawezekanika.
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kiasi kwamba aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekaniki, kwa nini hakuumba ulimwengu huo na kaumba huu ambao mabaya yanawezekanika?
Hujajibu swali hili.
Sasa mbona dunia hii haiakisi kwamba kuna mungu kama huyo?
Wewe ulibambikiwa baba ? Humjui baba yako ?
Huoni unavyomkosea heshima mama yako ?
Ni Bahati mbaya Hana kitufe cha ignore list Kama unachotumia wewe !
Kwa nini suala liwe mimi?
Mimi ni kinyangarika tu, niwe nimebambikiwa baba, sijabambikiwa, hilo halithibitishi uwepo wa mungu.
Unataka kumfananisha baba yangu na mungu?
Ndiyo mungu wako huyo? Yuko sawasawa na baba yangu?
Suala hapa ni kuthibitisha kuwapo kwa mungu.
Unajuaje kwamba mungu wako yupo?
Unafikiri kujaza maneno kibao hapo ndiyo nitaona kuna jambo jipya hapo?
Narudia tena kwamba mfano wangu haukuwa na maana hiyo unayolazimisha wewe ilimladi tu tujadili vile utakavyo wewe.
Hoja yangu ni ileile tu kwamba huu ulimwengu umepatikana vp? Tukishajua hapo kwanza ndiyo tuanze mjadala.
Hana ubavu huo. Huyu ni mkaririshwa ambaye hana uwezo wa kusema zaidi ya aliyo karirishwa.
What evidence is there that QM pre-existed the physical universe to cause the physical universe into existence? Which interpretation?
Otherwise, where did QM exist in a physical Universe that did not exist?
Explain how QM escapes causal necessity?
Explain how QM models the real world? Which interpretation?
Explain why anyone should believe classical space and time is not a real feature of the universe?
Huu ulimwengu hauwezi kuwa umepatikana kwa kuumbwa na mungu anayejua yote, anaye uwezo wote na upendo wote.
Kwa sababu una mapungufu makubwa sana kwa mungu kama huyo kuuumba.
Una mabaya mengi sana ambayo hayaendani na nature ya mungu kama huyo.
Imekuwaje mungu mwenye uwzo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekanika wakati ana uwezo wote, ujuzi wote na uopendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekaniki?
Hujajibu swali hili.
Umenena vyema mdau.
Nimeona ni shida kubwa kujaribu kumuelewesha mtu mwenye kuchagua kipi cha kufahamu.
Huu ulimwengu hauwezi kuwa umepatikana kwa kuumbwa na mungu anayejua yote, anaye uwezo wote na upendo wote.
Kwa sababu una mapungufu makubwa sana kwa mungu kama huyo kuuumba.
Una mabaya mengi sana ambayo hayaendani na nature ya mungu kama huyo.
Imekuwaje mungu mwenye uwzo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao mabaya yanawezekanika wakati ana uwezo wote, ujuzi wote na uopendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekaniki?
Hujajibu swali hili.