Is God fair ?

Is God fair ?

Ni vigumu saa nyingine kupata majibu

Ni vigumu kupata majibu kama utalazimisha uwepo wa mungu.

Ukiweka uwezekano wa mungu kutokuwepo, kwamba ni story tu katungwa na wanadamu, everything makes sense.

Ushenzi unaoendelea duniani all of a sudden hauwi mgumu kuuelezea, hakuna mungu mwenye uwezo wote na upendo wote wa kuuzuia.

Lakini ukisema kuna mungu, mwenye upendo wote na uwezo wote, huwezi kuelezea kwa nini kaumba dunia ambayo mabaya yanawezekanika wakati alikuwa na uwezo wa kuumba dunia ambayo mabaya hayawezekaniki.

Hata binadamu tu mwenye roho nzuri akiwa na uwezo wa kuwapa wanawe good time anawapa.

Inakuwaje mungu mwenye uwezo wote na upendo wote awe na uwezo wa kutupa good time halafu atubanie?
 
Haya yote yametoka wapi?
Tings out of my depth, kuwa muungajiungaji, na jinga, n.k vyote hapo kama mimi ninavyo basi nawe pia, kwani kwa muda wote huu usingetumia kujadiliana na mtu wa aina hiyo, ila tu kama mnafanana au amekuzidi maarifa.


Huku ni kukwepa hoja ya msingi! Hivi ulishawahi kujiuliza hizo philosophical investigation na classical arguements kama zipo vichwani mwa binadamu au wanyama? Usijidunishe kwa Bookish knowledge yako. Baki kwenye hoja ya msingi. Maarifa yangu juu ya Mungu hayakutegemea vitabu na maandishi, WEWE NDIO WA KWANZA HUMU KUTAMKA NENO NATURE NA LAWS & FORCES ZAKE KAMA KITU KILICHOFANYA ULIMWENGU UTOKEE, NILICHOFANYA NI KUKUONESHA KUWA HICHO UKIITACHO ASILI HAKINA TOFAUTI NA KILE NIKIITACHO MUNGU! Ulitaka hadi aandike nani? Mzungu au Mandela? Nyerere au Obama?
USIPOKANA KUITAMBUA NATURE BASI HUNA MLANGO WA KUTOKEA!
Anaita sasa!

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
 
Ni vigumu kupata majibu kama utalazimisha uwepo wa mungu.

Ukiweka uwezekano wa mungu kutokuwepo, kwamba ni story tu katungwa na wanadamu, everything makes sense.

Ushenzi unaoendelea duniani all of a sudden hauwi mgumu kuuelezea, hakuna mungu mwenye uwezo wote na upendo wote wa kuuzuia.

Lakini ukisema kuna mungu, mwenye upendo wote na uwezo wote, huwezi kuelezea kwa nini kaumba dunia ambayo mabaya yanawezekanika wakati alikuwa na uwezo wa kuumba dunia ambayo mabaya hayawezekaniki.

Hata binadamu tu mwenye roho nzuri akiwa na uwezo wa kuwapa wanawe good time anawapa.

Inakuwaje mungu mwenye uwezo wote na upendo wote awe na uwezo wa kutupa good time halafu atubanie?

Hapo ndipo panaposhinda wengi, kama Mungu yupo basi he is responsible for the good and the bad. Yeye mwenyewe ndio shetani na yeye ndiye Malaika hawezi kuepuka. Besides that naona it's safe kuwa at peace na kuishi accordingly bila kujichanganya na dogmas and whatnot
 
Hapo ndipo panaposhinda wengi, kama Mungu yupo basi he is responsible for the good and the bad. Yeye mwenyewe ndio shetani na yeye ndiye Malaika hawezi kuepuka. Besides that naona it's safe kuwa at peace na kuishi accordingly bila kujichanganya na dogmas and whatnot

That is an elegant observation.

Eti tunaambiwa kuna mungu, mjuzi wa yote, muweza yote, kaamua kuuumba ulimwengu huu kama ulivyo, na yeye mwenyewe kamuumba shetani, wakati anajua shetani atafanya nini kabla hata shetani hajaumbwa.

Halafu shetani alivyokuja kuharibu, lawama anapewa shetani, badala ya kupewa mungu aliyekubali kuumba ulimwengu kama ulivyo na kumuumba shetani, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezekaniki.

Shetani (the character) anaonewa tu. Ukitaka ku deal na mzizi wa tatizo lazima ujiulize, kama mungu anawapenda viumbe wake kwa nini aliruhusu ulimwengu ambao shetani anaweza kuwepo?

Ukichunguza sana unaona habari nzima ni tisha toto ya uongo wa kizamani, ukiipima kwa kina haisimami yenyewe.

God collapses under his enormous responsibilities and unlimited powers.
 
Plancscales na Kiranga naomba mni PM nitafurahi kukaa nanyi pamoja tupeane mawaidha ya ukweli. Nakubaliana nanyi asilimia 100 kwamba binadamu wanajipa mateso makubwa sana kufikiri kuna kitu kinaitwa Mungu kina exist. Kama kipo basi Mungu ni Mtu anayeishi na upendo miongoni mwetu ndio kitaondoa mitafaruku na shida zilizoletwa na hiki kitu kinaitwa Mungu. Kifupi ni kwamba kama ni mamlaka ninayo sasa hivi ningefuta hi vitabu (biblia/Msahafu) kisha ningevileta kama vitabu vya maarifa ya jamii! Kinachozungumzwa kuhusu uwepo wa mungu hakipo bali Imani kuwa yupo. Lakini kiukweli hayupo bali Mtu aliyeandika/kusoma ndio yupo. Kitabu kina maarifa mengi sana na kina makosa mengi pia tena ya wazi. Mifano ni mingi na pia hakuna mahali kinaweza kujidhihirisha ukweli wake bali chenyewe. Mfano ni wanyama ambao imeonyesha kuwa waliumbwa lakini haijui kulikuwa na wengine wengi zaidi ya hawa walikuwapo na wametoweka! Haijui!na wengine tunayo mabaki yake tokea mtwara hawajatajwa! Lkn kuna binadamu wameshupaa shingo kusema ni kitabu cha Mungu, ni sawa na kushikiwa akili. KILA JAMBO LILITOKEA KWA WAKATI WAKE NA KWA SABABU ZAKE!
 
That is an elegant observation.

Eti tunaambiwa kuna mungu, mjuzi wa yote, muweza yote, kaamua kuuumba ulimwengu huu kama ulivyo, na yeye mwenyewe kamuumba shetani, wakati anajua shetani atafanya nini kabla hata shetani hajaumbwa.

Halafu shetani alivyokuja kuharibu, lawama anapewa shetani, badala ya kupewa mungu aliyekubali kuumba ulimwengu kama ulivyo na kumuumba shetani, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezekaniki.

Shetani (the character) anaonewa tu. Ukitaka ku deal na mzizi wa tatizo lazima ujiulize, kama mungu anawapenda viumbe wake kwa nini aliruhusu ulimwengu ambao shetani anaweza kuwepo?

Ukichunguza sana unaona habari nzima ni tisha toto ya uongo wa kizamani, ukiipima kwa kina haisimami yenyewe.

God collapses under his enormous responsibilities and unlimited powers.

Nimependezwa sana na maneno ya Papa Fransis, ametambua nyakati tulipo sasa watu wana uelewa mkubwa na kadiri tunavyosonga hii idea ya Mungu inazidi kuwa outdated. Weather utaamua kukwama kwenye past na ideology zilizopitwa na wakati au uchukue advantage ya nyakati tulizopo, nyakati za advanced science. Ni vigumu kwa mtu kuanza kupiga porojo na kueleweka bila kuwa na uthibitisho wa unachoongea. I would expect a smart person anayesema Mungu yupo awe ame experience uwepo wake na hata aonyeshe wengine technique ya experience yake. Ni kama kujaribu kumuelezea mtu utamu wa chungwa ulivyo huku hata wewe mwenyewe hujawahi kula hilo chungwa mbali hata ya kuliona, zaidi ya kupata mapokeo tu na kuyachukua jumla jumla.
One thing i will take from the religions of the World is the message of peace and love. The morality part of it, because that's real and one can not go wrong with it.
 
Kumjibu mleta posti ni kwamba inawezekana wanyama wana akili zaidi yake, kwani pale anazaliwa akifika umri wa kuweka/kubeba mimba hufanya hivyo. Kwa kuwa umepotea na kuzidiwa akili na mnyama kwa kuamini kuwa mungu atachukia ukifanya hilia au lile kuhusiana na ngono ndio maana umeangukia kubaya. Ukifika umri wa jambo fulani lihusulo mwili wako wapaswa kulifanya kulingana na haja zako. Lakini sio kusubiri eti kuna kitu kinaitwa mungu kitachukia. Kama huyo mungu hakutaka ufanye hivyo kwa nini aweke umri wa maturity kuwa miaka 18 au less? Mfano kama kuzaa kwa uchungu ni adhabu kwa wanadamu iweje kwa wanyama pia?
 
Kumjibu mleta posti ni kwamba inawezekana wanyama wana akili zaidi yake, kwani pale anazaliwa akifika umri wa kuweka/kubeba mimba hufanya hivyo. Kwa kuwa umepotea na kuzidiwa akili na mnyama kwa kuamini kuwa mungu atachukia ukifanya hilia au lile kuhusiana na ngono ndio maana umeangukia kubaya. Ukifika umri wa jambo fulani lihusulo mwili wako wapaswa kulifanya kulingana na haja zako. Lakini sio kusubiri eti kuna kitu kinaitwa mungu kitachukia. Kama huyo mungu hakutaka ufanye hivyo kwa nini aweke umri wa maturity kuwa miaka 18 au less? Mfano kama kuzaa kwa uchungu ni adhabu kwa wanadamu iweje kwa wanyama pia?

Muhusika,

Nashukuru sana kwa mchango wako. Ni muhimu sana kuelimisha jamii, especially kuwasaidia kuondokana na hizi fikra finyo za dini na ushirikina. Ni aibu kwa taifa letu kujulikana kwa kuua ndugu zetu Mazeruzeru, kwenda kwa Babu wa Loliondo, na kuongezeka kwa udini nchini.

Let's do more and be patience with those who may not have been exposed to "free thinking and reason".
Together we can promote a society that can reason beyond the supernatural, so that the next generation can learn to face the challenges without depending on god or waiting for god's miracles!
 
Muhusika,

Nashukuru sana kwa mchango wako. Ni muhimu sana kuelimisha jamii, especially kuwasaidia kuondokana na hizi fikra finyo za dini na ushirikina. Ni aibu kwa taifa letu kujulikana kwa kuua ndugu zetu Mazeruzeru, kwenda kwa Babu wa Loliondo, na kuongezeka kwa udini nchini.

Let's do more and be patience with those who may not have been exposed to "free thinking and reason".
Together we can promote a society that can reason beyond the supernatural, so that the next generation can learn to face the challenges without depending on god or waiting for god's miracles!

Hao wakoloni walioleta dini na vitabu ingawa walivitoa kwetu! wao wanaendelea na gunduzi kila leo za kufanya maisha yawe laini kwao! waafrika sisi yetu ni bwana asifiwe (wanataka nani afiwe!) bwana asifiwe ukiingia ndani utakuta wanafanya biashara kubwa na viongozi wanakuwa matajiri. wakihojiwa utajiri wao watakwambia ni kwa kuwa wamempokea yesu! kumbe wameshajua wengi wao wanaamini kuna mungu hivyo wakimtumia huyu mungu kuwahadaa watu wataleta sadaka. (kama kweli wanaponya wakawatoe wagonjwa mahospitalini kwani hakuna anayetaka kubaki pale.) wakahubiri mahospitalini wakaokoe vichaa na wagonjwa wako pale kupunguza gharama za matibabu kisha tutawalipa kwa kazi nzuri. Kama huyu wa Nigeria aliyeshindwa kujua ukuta wake utavunjika!
 
Nimependezwa sana na maneno ya Papa Fransis, ametambua nyakati tulipo sasa watu wana uelewa mkubwa na kadiri tunavyosonga hii idea ya Mungu inazidi kuwa outdated. Weather utaamua kukwama kwenye past na ideology zilizopitwa na wakati au uchukue advantage ya nyakati tulizopo, nyakati za advanced science. Ni vigumu kwa mtu kuanza kupiga porojo na kueleweka bila kuwa na uthibitisho wa unachoongea. I would expect a smart person anayesema Mungu yupo awe ame experience uwepo wake na hata aonyeshe wengine technique ya experience yake. Ni kama kujaribu kumuelezea mtu utamu wa chungwa ulivyo huku hata wewe mwenyewe hujawahi kula hilo chungwa mbali hata ya kuliona, zaidi ya kupata mapokeo tu na kuyachukua jumla jumla.
One thing i will take from the religions of the World is the message of peace and love. The morality part of it, because that's real and one can not go wrong with it.

This is what's up!

Hapo kwa Pope at least umeliona. Wao wameona mbele, miaka ijayo watu wengi wataachana na hizi imani.

Then what will happen to the church? Jamaa washafikiri na taratibu wanaanza kufanya changes ili kuhimili mabadiliko ya dunia hii.

Wengine hawaoni hili ila time will tell.

Sasa Pope Francis does not mind having atheists around, in time, utashangaa makanisa yanajaza atheists kuliko waumini na taratibu za ibada zikabadilika kabisa.
 
ata shetani pindi yupo mbinguni alitamani sana power na dominance aliyo nayo mkuu wake(Mungu) kama biblia na vitabu vingine vya dini vilivyoeleza na mwisho wake akatupwa duniani pamoja na wafuasi wake na ndo ulikuwa mwanzo wa haya yote..na ata pale Mungu akaujaza ulimwengu na 'human came to existance' na shetani akaja kuwa chanzo cha kupotosha binadamu kumkana muumba wake(Mungu) kwa lengo la kuujua ulimwengu,mema na mabaya 'gnosis'!! na ndio ulikuwa mwanzo wa haya yote wa binadamu kujikweza na kuwa na jeur ya kutaka kuwa kama Mungu...lakini kwanza 'kiranga'na 'wenzio' mnaoleta utata na hoja juu ya imani ya uwepo wa Mungu siwashangai kabisa maana leo hii binadamu wamepewa uwezo ata 'ku-create' vitu vyao wenyewe na kufanya mambo makubwa mengi(ni vingi kuvihorodhesha) !! na kama ukitaka basis na proof zangu soma 'biblia' ama maandiko mengine ya Mungu kama 'quran' ama sivyo hakuna jibu lolote la binadamu litakaloweza kukamilisha matakwa yako..kuna msemo unasema vita vya roho havilinganishwi na vita vya mwili
 
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna tatizo la nafasi na watu hawafi?

Kama Ebola haijauwa watu kama ajali, basi mungu ni mshenzi zaidi. Ebola ni mfano mdogo tu, sijui unaelewa maana ya mfano ni nini? Kwamba siwezi kuongelea kila namna ambayo naweza kumshitaki huyo mungu kwa kuachia mabaya yaendelee wakati ana uwezo wa kuyamaliza, nimetumia mfano mmoja mdogo tu ulio katika headline sasa hivi.

Sasa ukisoma kwa kichwapanzi unaweza kuona nimeishia kwenye Ebola, wakati mungu huyu aliachia NAZI waue Jews milioni 6, aliachia waafrika kwa makumi ya milioni waende kuuzwa utumwani, aliachia tsunami iue watu kwa mafungu huko Asian, na kadhalika.

Kwa nini kaumba ulimwengu uliojaa mabaya hivi wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Hujanijibu swali hili.

Mimi namtuhumu kwa vifo elfu kadhaa wewe unaniambia hivyo vidogo, kaua mamilioni, huo si utetezi, unamzidishia makosa.

Usiishie kwenye utumwa, huruma yako pia elekeza pia kwa dinnosaurs, kwa sababu nao waliondoka. Wala usilete thermodynamics, newtonian au quantum physics. wewe jibu ni kwanini wewe na PlanckScale,, nyote wawili mna miili inayofanana. Yaani nani kawepeni vifua na makalio in the same position.

Hayo maswali uliyouliza yana majibu tena majibu stahiki. Ila kwa atheist kama wewe itakuwa ni kumpigia mbuzi gitaa. Kwa sasa lete majibu tukiutumia mwili wako mwenyewe. Ulichagua jinsia yako? How comes wewe Kiranga hujawazaa wazazi wako ila wao ndio waliokuzaa. hiyo ni logical au illogical? Haya sio masuala ya Quantum physics
 
Last edited by a moderator:
That is an elegant observation.

Eti tunaambiwa kuna mungu, mjuzi wa yote, muweza yote, kaamua kuuumba ulimwengu huu kama ulivyo, na yeye mwenyewe kamuumba shetani, wakati anajua shetani atafanya nini kabla hata shetani hajaumbwa.

Halafu shetani alivyokuja kuharibu, lawama anapewa shetani, badala ya kupewa mungu aliyekubali kuumba ulimwengu kama ulivyo na kumuumba shetani, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezekaniki.

Shetani (the character) anaonewa tu. Ukitaka ku deal na mzizi wa tatizo lazima ujiulize, kama mungu anawapenda viumbe wake kwa nini aliruhusu ulimwengu ambao shetani anaweza kuwepo?

Ukichunguza sana unaona habari nzima ni tisha toto ya uongo wa kizamani, ukiipima kwa kina haisimami yenyewe.

God collapses under his enormous responsibilities and unlimited powers.


Hapa tena umeenda nje ya LOGICS. Kwa wewe huna haja ya kutumia uwepo/kutokuwepo shetani kwa sababu maadamu kwa wewe Mungu hayupo it is wastage of your time kumtumia shetani kama a COG in your arguments to prove that there is no GOD.

wewe argue in a manner which will convince even an illiterate person kuwa the position of both ends of your alimentary (you and PlanckScale) systems are there by pure chance. Keep satan out of this!
 
Last edited by a moderator:
Hapa tena umeenda nje ya LOGICS. Kwa wewe huna haja ya kutumia uwepo/kutokuwepo shetani kwa sababu maadamu kwa wewe Mungu hayupo it is wastage of your time kumtumia shetani kama a COG in your arguments to prove that there is no GOD.

wewe argue in a manner which will convince even an illiterate person kuwa the position of both ends of your alimentary (you and PlanckScale) systems are there by pure chance. Keep satan out of this!

Mkuu Wickama salaams ...

Napenda watu ambao wanajiuliza maswali makubwa na yenye uzito kama huu,mtu hata hajui kuwa anapokana kitu tayari anakuwa ameshatoka kwenye kukihoji halafu kila pahali kwenye forum anaendelea kurudia kitu kile kile

Kaazi kweli kweli ...!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Wickama salaams ...

Napenda watu ambao wanajiuliza maswali makubwa na yenye uzito kama huu,mtu hata hajui kuwa anapokana kitu tayari anakuwa ameshatoka kwenye kukihoji halafu kila pahali kwenye forum anaendelea kurudia kitu kile kile

Kaazi kweli kweli ...!!!

Mkuu, nashukuru kwa salaams, tuko pamoja. Nafuatilia mada yako ya Rabi Leo....
 
.........wewe jibu ni kwanini wewe na PlanckScale,, nyote wawili mna miili inayofanana. Yaani nani kawepeni vifua na makalio in the same position...

Nashukuru kwa swali lako, ambalo nami nilijiuliza miaka ya nyuma wakati nikijaribu kutafakari kuwepo kwa viumbe na ulimwengu. Hilo swali lina jibika vizuri by understanding Natural selection, adaptation, and mutation.

Kwa mfano; mimi ningekua na tumbo kwa chini ya magoti na Kiranga tumbo lake liko juu ya kiuno - maybe due to mutation. Basi, tumbo langu lingekua lina buruza ardhi na kuligonga gonga kwenye mawe mara kwa mara. Mwenzangu Kiranga matatizo hayo yasinge mpata. Tumbo lake haliumwiumwi, na digestion system inafanya kazi vizuri kupita langu. Maisha yake yame-jiadapti vizuri kwenye environment. Matokeo yake ni Kiranga ata zaa kizazi kikubwa chenye afya na wote watakuwa na tumbo la juu kama Kiranga kutokana na kurithi mbegu zake.

Mimi kwangu msoto. Chakula hakitulii, digestion system haifanyi kazi 100% kama ya Kiranga. Kizazi changu hivyo hivyo na matumbo ya chini. Kwa sababu ya afya hafifu basi kizazi changu kinaanza kupotea pole pole - kwa polepole saaana! Hatuyahimili mazingira. Tena hata kwenye kuzaana watu hawataki kuzaa na familia yangu kwani afya zetu mbovu. wana prefer mademu wa kutoka kwa kina Kiranga. Kizazi cha Kiranga kinazidi kustawi na kuongezeka. Sasa baada ya miaka milioni 1.5 hivi unakuta waliobaki ni phenotype ya Kiranga tuu.... wamekuwa anatomically dominant.

Hiyo ndio sababu WOTE TUNAFANANA MATUMBO. Waliokuwa tofauti hawakuwa favored and the environment, wame die out! But this process is still continuing...
 
Hujajibu swali.

You offer no evidence to justify your belief in No God. You offer excuses for why you don't need evidence.

If we are 100% chemical animals and our chemicals cause child rape, why is child rape morally wrong?
Why is the child rapist morally culpable when he has no free-will choice?

Answer the questions
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom