Is God fair ?

Is God fair ?

Haya ya Qurani kusema umeyapata wapi?

Umesoma Quran wewe (Ilmu-madrasa)?

Je unaposoma unaelewa "context" ya unayoyasoma?

Nimesoma kwenye Quran.

Context ni chaka la deus ex machina.

Ukianza habari za context unaweza kutafsiri ni kuwa si.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote aache kitabu chake kiweze kuwa intetpreted out of context?
 
Jibu kwanza ili upate uthibitisho.

Unazo akili?

Swali hujaweka relevancy yake. Weka relevancy ya swali.

Nishakwambia either answer to your question does not prove the existencebof god.

Show me how either answer proves your assertion.
 
Swali hujaweka relevancy yake. Weka relevancy ya swali.

Nishakwambia either answer to your question does not prove the existencebof god.

Show me how either answer proves your assertion.

Unakimbia kujibu swali.

Kiranga unazo akili?
 
Nimesoma kwenye Quran.

Context ni chaka la deus ex machina.

Ukianza habari za context unaweza kutafsiri ni kuwa si.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote aache kitabu chake kiweze kuwa intetpreted out of context?

Kwa nini ulisoma Quran ?
Ulikuwa na lengo maalum lilikusukuma kusoma Quran?
 
We ndo nyau kweli, kwani unayempa huo moyo na kitumbua ni God? Walaumu hao hao unaowapenda wakati hawakupendi, na unawapa uroda bila kupima na mbaya pekupeku..

umepotea njia right?asante nyau mkubwa,hope bnadam hawez chat na nyau.,take a chill pill
 
Kwa nini ulisoma Quran ?
Ulikuwa na lengo maalum lilikusukuma kusoma Quran?

Nilisoma Quran kujua habari za huyu anayedaiwa kuwa mungu. Kwani wewe ulifikirije?

Maswali yangu hujajibu.

Na hujathibitisha kwamba mungu yupo.
 
Unakimbia kujibu swali.

Kiranga unazo akili?

Swali halina mantiki, nimekwambia nikijibu vyovyote halithibitishi kuwapo kwa mungu.

Hatujadiliani kuhusu Kiranga kuwa au kutokuwa na akili.

Tunajadiliana kuhusu uwepo wa mungu, kama yupo au hayupo.

Nionyeshe jibu la swali lako hilo litathibitishaje kuwapo kwa mungu.
 
Maswali gani ambayo sijayajibu?

Au naandika katika lugha ambayo huifahamu?

Kuhusu are we here or not, nishajibu hili mara mia, that does not automatically link to a god.

You need to show the link.

Why are we here because of a god and not anything else?

If you can't show the link, and conclude as if there is a link, that in logic is an error called a "non sequitur".

Soma hapa.

Non sequitur (logic) - Wikipedia, the free encyclopedia

You are concluding that, because we are here, god must exist. Before showing that we cannot exist by any other way apart from being created by god.

Unachosema hapa ni kwamba, unaweza kufika Moshi kwa kutumia ungo. Uko Moshi, therefore umetumia ungo kufika Moshi.

Hujaprove kwamba ungo upo. Hujaprove kwamba ungo unaweza kukufikisha Moshi. Hujaprove kwamba huwezi kufika Moshi kwa njia nyingine yoyote isipokuwa ungo.

Unarukia tu ungo upo kwa sababu wewe upo Moshi.
We tatizo unadhani ushamaliza hoja zote kuhusu uwepo wa Mungu. Mimi nakuuliza swali jingine wewe unajiundia maswali halafu unajijibu. Nimekuuliza tupo hapa au hatupo na kama tupo tumefikaje? More fundamentally nimekuuliza universe imetokea tu yenyewe hujajibu unakimbilia kusema nimesema kuna link, wapi mimi nimeandika kuna link?!! Mbona una haraka sana??!!

Swali langu ni rahisi tu, tupo hapa au hatupo na kama tupo tumefika vipi hapa tulipo? Hebu jibu hapo ndio tuendelee sihitaji uniwekee link za wikipedia!
 
We tatizo unadhani ushamaliza hoja zote kuhusu uwepo wa Mungu. Mimi nakuuliza swali jingine wewe unajiundia maswali halafu unajijibu. Nimekuuliza tupo hapa au hatupo na kama tupo tumefikaje? More fundamentally nimekuuliza universe imetokea tu yenyewe hujajibu unakimbilia kusema nimesema kuna link, wapi mimi nimeandika kuna link?!! Mbona una haraka sana??!!

Swali langu ni rahisi tu, tupo hapa au hatupo na kama tupo tumefika vipi hapa tulipo? Hebu jibu hapo ndio tuendelee sihitaji uniwekee link za wikipedia!

Ningedhani nishamaliza hoja zote nisingesema sina majibu ya baadhi ya maswali. Kusema kwangu sina majibu ya baadhi ya maswali kunakanusha dhana yako potofu.

Nomesema tupo hapa, na sijui tumefikaje na wala ulimwengu umefikaje hapa.

Kutokujua tumefikaje hapa, wala ulimwengu umwfikaje hapa, hakumaanishi kwamba jibu ni mungu.

Unaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo?
 
Ningedhani nishamaliza hoja zote nisingesema sina majibu ya baadhi ya maswali. Kusema kwangu sina majibu ya baadhi ya maswali kunakanusha dhana yako potofu.
Sasa wewe majibu huna halafu una ujasiri wa kusema dhana yangu ni potofu?! Nikikwambia thibitisha ni kwa vipi dhana yangu ni potofu huwezi.

Nomesema tupo hapa, na sijui tumefikaje na wala ulimwengu umefikaje hapa.

Kutokujua tumefikaje hapa, wala ulimwengu umwfikaje hapa, hakumaanishi kwamba jibu ni mungu.

Unaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo?
Sawa hata kama haimaanishi jibu ni Mungu lakini pia haimaanishi jibu si Mungu kwa kuwa hata wewe umekiri hujui tumefikaje hapa. We ushasema hujui halafu unataka tena kusema si Mungu kwa uhakika?! Huu uhakika unautoa wapi na hujui?

Hivi unaelewa maana ya kutojua? Kama unashindwa kujibu tumefika vipi hapa uliza halafu tulia udadavuliwe. Sio kujifanya ujuaji mwingi na ubishi wakati hujui.
 
Sasa wewe majibu huna halafu una ujasiri wa kusema dhana yangu ni potofu?! Nikikwambia thibitisha ni kwa vipi dhana yangu ni potofu huwezi.

Mimi kutokuwa na jibu haina maana kwamba jibu lolote utakalonipa wewe ni sahihi hata kabla hatujalichambua.

Unaweza kuniuliza "what is the square root of two?"

Nikakwambia sijui jibu. Ukaniambia "The square root of two is eight".

Kwa kuwa najua kwamba, the square root of two cannot be greater than two, nitajua kwamba jibu ulilonipa si sahihi.

Kwa kuwa kwanza, the square roor of two is less than two.Lakini pia, jibu lako ulilonipa na eight, square yake ni sixty four, not two.

Kwa hiyo naweza kulijua jibu ambalo si sahihi hata kama sijui jibu sahihi ni lipi.
Sawa hata kama haimaanishi jibu ni Mungu lakini pia haimaanishi jibu si Mungu kwa kuwa hata wewe umekiri hujui tumefikaje hapa. We ushasema hujui halafu unataka tena kusema si Mungu kwa uhakika?! Huu uhakika unautoa wapi na hujui?

Hivi unaelewa maana ya kutojua? Kama unashindwa kujibu tumefika vipi hapa uliza halafu tulia udadavuliwe. Sio kujifanya ujuaji mwingi na ubishi wakati hujui.

Jibu si mungu. Kama ni mungu tuonyeshe ni mungu kivipi.

In logical arguments, the burden of proof is on the one who says things are a certain way, the dissent does not have the burden of proof, it only has to ask question pertaining to how the proposition was arrived at.

Unaweza kututhibitishia kwamba mungu yupo?
 
Ningedhani nishamaliza hoja zote nisingesema sina majibu ya baadhi ya maswali. Kusema kwangu sina majibu ya baadhi ya maswali kunakanusha dhana yako potofu.

Nomesema tupo hapa, na sijui tumefikaje na wala ulimwengu umefikaje hapa.

Kutokujua tumefikaje hapa, wala ulimwengu umwfikaje hapa, hakumaanishi kwamba jibu ni mungu.

Unaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo?

Mungu yupo..he's the source of the Universe,he's the beginning and the end..that's is to say..God is nature ILA-nature yenye nguvu,uwezo na mamlaka....!!without him nothing could be made....forinstance,Scientist believes that there's no God and even human beings developed from apes,fine(if you believe so) but Can you tell me what is the source of those apes?
 
Mungu yupo..he's the source of the Universe,he's the beginning and the end..that's is to say..God is nature ILA-nature yenye nguvu,uwezo na mamlaka....!!without him nothing could be made....forinstance,Scientist believes that there's no God and even human beings developed from apes,fine(if you believe so) but Can you tell me what is the source of those apes?

Why is god a "him"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom