Nani aweke dau hapa? Mshindi raila piga ua,naweka millioni mdau aweke jiwe tu
Umenikumbusha CCM hawawezi kushinda urais 2015 hata wakisimamishwa na jiwe
Nani aweke dau hapa? Mshindi raila piga ua,naweka millioni mdau aweke jiwe tu
Wacha kuzuga wewe, Kenyata na CCM wapi nawapi. Mtu anatakiwa mahakamani halafu wewe unasema damdam na CCM. Au kama unaipakazia CCM tujue.Uhuru Kenyata kijana wa Mzee Jomo Kenyata,zao la KANU chama pacha wa CCM kuna kila dalili kuwa CCM wako nyuma ya Uhuru na kwa tafisiri rahisi CDM wako nyuma ya Raila Odinga.
Nani atashinda? Je matokeo yatakuwa na impact kwa siasa za Tanzania hasa kwa 2015?!!
......na Freemason wako upande gani..................Msijiwsahau sana, king maker wa bongo RA yuko kwa RAO jamaa mbaaya sana yule japo hapa kwetu alitutengenezea presidaaa wa KICHINA.
[/QUOTE] Kageuka, hatuwezi wote tukamtaka Kenyatta, na kama umeweka post hapa ni muhimu pia ujiandae na mawazo ya upande wa pili, kwangu mm namwona Kenyatta (mtt) kama Kenyata (baba), hana jipya zaidi ya kuendeleza sera za baba yake kujenga taifa dogo la Wakikuyu ndani ya Taifa la Kenya.Very very poor analysis!.....lakini sio kosa lako shule ya Kilimo ya kihindi imeviza ubongo dogo... QUOTE=Ben Saanane;5792271]Moi yupo nyuma ya Musalia mudavadi,Kibaki anamuunga mkono Uhuru.Raila ameni-dissapoint sana jana kwa mara nyingine kwenye mdahalo.uchaguzi huu utakua na raundi ya pili.Raila atashinda Raund ya pili ila awe makini sana ahakikishe anavuta alliance ya Musalia Mudavadi kambi yake.Anaweza ku-ignore ya Peter Kenneth.Tatizo ni kwamba Mudavadi sasa ataweza kuwasaliti akina Moi maana mostlikely Moi atamuona Kenyatta kama plan B kuliko Raila Aingie Ikulu. Naamini Raila atashinda kwa kuwa ni bingwa wa Alliance lakini inabidi awe makini zaidi wiki hii maana vitengo vya propaganda vya vyama vyote vitakua busy kuliko wakati wowote
Moi yupo nyuma ya Musalia mudavadi,Kibaki anamuunga mkono Uhuru.Raila ameni-dissapoint sana jana kwa mara nyingine kwenye mdahalo.uchaguzi huu utakua na raundi ya pili.Raila atashinda Raund ya pili ila awe makini sana ahakikishe anavuta alliance ya Musalia Mudavadi kambi yake.Anaweza ku-ignore ya Peter Kenneth.Tatizo ni kwamba Mudavadi sasa ataweza kuwasaliti akina Moi maana mostlikely Moi atamuona Kenyatta kama plan B kuliko Raila Aingie Ikulu.
Naamini Raila atashinda kwa kuwa ni bingwa wa Alliance lakini inabidi awe makini zaidi wiki hii maana vitengo vya propaganda vya vyama vyote vitakua busy kuliko wakati wowote
CCM kuna kitu wametageti Kenya sasa ili kiwafae kwenye uchaguzi 2015!
Kenya kupitia kiu ya madaraka kuna viongozi wataingia mikataba na CCM ya kipuuzi!!!
officially he is called uhuru muigai kenyatta
Wacha kuzuga wewe, Kenyata na CCM wapi nawapi. Mtu anatakiwa mahakamani halafu wewe unasema damdam na CCM. Au kama unaipakazia CCM tujue.
Msijiwsahau sana, king maker wa bongo RA yuko kwa RAO jamaa mbaaya sana yule japo hapa kwetu alitutengenezea presidaaa wa KICHINA.
Moi yupo nyuma ya Musalia mudavadi,Kibaki anamuunga mkono Uhuru.Raila ameni-dissapoint sana jana kwa mara nyingine kwenye mdahalo.uchaguzi huu utakua na raundi ya pili.Raila atashinda Raund ya pili ila awe makini sana ahakikishe anavuta alliance ya Musalia Mudavadi kambi yake.Anaweza ku-ignore ya Peter Kenneth.Tatizo ni kwamba Mudavadi sasa ataweza kuwasaliti akina Moi maana mostlikely Moi atamuona Kenyatta kama plan B kuliko Raila Aingie Ikulu.
Naamini Raila atashinda kwa kuwa ni bingwa wa Alliance lakini inabidi awe makini zaidi wiki hii maana vitengo vya propaganda vya vyama vyote vitakua busy kuliko wakati wowote
kuna watu wawili nawaaminia kwa kuchapia kiingereza: Mzee wa IPP na Vasco Dagama. Huyu ni wa tatu!
Ben uko sahihi kuhusu Moi kwamba hatapenda Mudavadi amuunge mkono Raila. Ukweli ni kuwa hata Mudavadi akimuunga mkono Uhuru raundi ya pili aitakuwa na impact kubwa. Musalia atajikuta anamuunga mkono Uhuru lakini wapiga kura wanampigia Odinga. Hii ni kutokana na wapiga kura wengi wa Mudavadi ambao wanatoka mkoa wa magharibi kupenda rais awe Odinga kuliko Kenyatta. Mkoa wa magharibi ndiyo sehemu ambayo Kenyatta atapata kura chache kuliko hata mkoa wa Nyanza anakotoka Odinga.
If you dont mind, hapo kwenye red ungefafanua zaidi ingetupa afya wengi, hasa wale tuliofuatilia midahalo yote miwili.
Msijiwsahau sana, king maker wa bongo RA yuko kwa RAO jamaa mbaaya sana yule japo hapa kwetu alitutengenezea presidaaa wa KICHINA.