mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 876
si kuna kipindi uhuru alizunguka nchi za EA alionana hadi na jkCCM kuna kitu wametageti Kenya sasa ili kiwafae kwenye uchaguzi 2015!
Kenya kupitia kiu ya madaraka kuna viongozi wataingia mikataba na CCM ya kipuuzi!!!