Lady niece
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 953
- 414
jamani kweli dunia hadaa na ulimwengu.........................
wewe kweli unakuja hapa kuweka fedheha za hao unaotembea nao
mjengoni hapa huna jipya la kuhelimisha hapa kweli maajabu
sasa ndugu yangu wewe ukiona mwenzio mchafu kwanini
umwambii kuwa akaoge kwanza ndiopo mmdo
halafu isitoshe na wewe ni mchafu pia uwezi kumfuta na hiyo wipe
ya watoto kwani hujasoma instruction wakati unanunua hiyo kitu
hujui kuwa imewekwa kwa matumizi wa ya watoto wadogo na sio.......
wewe kweli unakuja hapa kuweka fedheha za hao unaotembea nao
mjengoni hapa huna jipya la kuhelimisha hapa kweli maajabu
sasa ndugu yangu wewe ukiona mwenzio mchafu kwanini
umwambii kuwa akaoge kwanza ndiopo mmdo
halafu isitoshe na wewe ni mchafu pia uwezi kumfuta na hiyo wipe
ya watoto kwani hujasoma instruction wakati unanunua hiyo kitu
hujui kuwa imewekwa kwa matumizi wa ya watoto wadogo na sio.......