Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Hahahaa mkuu nimecheka sana
Huo ndio ukweli unaambiwa kimenuka watu wamewasha moto wao wanamaana yao wewe kurupu na gari lako la maji unataka kuzima sasa unategemea nini?
Hahahaa mkuu nimecheka sana
Taratibu kijana, acha jazba.we p.imbi hiyo misa itasalika vipi wakati mtaani wapo raia wema wanaonyanyaswa na mapolice-CCM?au wewe unawachukulia wamachinga kama wakimbizi? Nyie magamba msipende kusahau kuwa hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.
Sawa sawa mkuu,tupia walau kapicha km yawezekana.
The nation that destroys its destroys itself.
Aisee tunaomba matukio zaidi walio Iringa,maana kuna jamaa yangu yuko huko anasema KAMANDA MSIGWA amekamatwa!mtujuze.
Pole sana mkuu, naona ujaribu kuqote vifungu vya biblia ambavyo hata wewe huvielewi!Imeandikwa ni nani awezaye kuacha kumwokoa ng'ombe wake aliyeingia ndani ya shimo kwa ajili ya siku ya sabato?
Usiwe mshabiki tatizo hamtaki kukubali kua mda umewakataa na ndio maana hata mfanye nn linazuka jipya.mda wenu umekwisha na mkiendelea pingana na mda mtaumia zaidi acheni mda uamue unataka nn mkuu.haijawai tokea mtu akaushinda mda ndio maana hata 'mwana wa Adamu mda ulipo fika alitundikwa msalabani na mda ulipo timia akafufuka'km shule ipo changanua kauli iyo utapata maana maana waswahili usema asiejua maana..........na siku nyingine usimwamshe alie lala maana ..............CCM BANA.
Kwa yule ambae hajui MABOSO ni nini? Atajua huyu jamaa ana akili ya namna gani... Teh teh..nimekubali kuwA jina huakisi matendo sometimes.....shule za mulugo in action nowwwww
Taratibu kijana, acha jazba.
Hamna mmachinga anayenyanyaswa na polisi. Polisi wanachofanya ni kulinda raia na mali zao, kwa case ya iringa wanazuia uvunjwaji wa amani unaosababishwa na wamachinga kupitia kwa mbunge ambaye ni mchungaji. Nilitegemea wachungaji ndio wahubiri amani, lakini kumbe siyo hivyo!
Ninashangaa sana watu mnavyoleta habari za CCM hapa, kisa mbunge wa Chadema ndio anahamasisha vurugu!!polisi wanafanya kazi yao na siyo kwa instruction za CCM!
vijana wa iringa amkeni sasa kama vijana wa mbeya hadi sasa polisi wa mbeya wana heshima amkeni vijana.
Taratibu kijana, acha jazba.
Hamna mmachinga anayenyanyaswa na polisi. Polisi wanachofanya ni kulinda raia na mali zao, kwa case ya iringa wanazuia uvunjwaji wa amani unaosababishwa na wamachinga kupitia kwa mbunge ambaye ni mchungaji. Nilitegemea wachungaji ndio wahubiri amani, lakini kumbe siyo hivyo!
Ninashangaa sana watu mnavyoleta habari za CCM hapa, kisa mbunge wa Chadema ndio anahamasisha vurugu!!polisi wanafanya kazi yao na siyo kwa instruction za CCM!
Ukiona hivyo ujue CCM wameshafahamu kuwa hawana chao katika jimbo hilo, hivyo wanaamua kuwaadhibu tu wananchi wake. Kama inavyotokea Arusha Mjini, Nyamagana na Ilemelakwa nn majimbo yanayoongozwa na CHADEMA mabomu ni kitu cha kawaida? kuna siku majimbo ya CHADEMA tutaandamana kwa pamoja tuone kama hawa polisi wataweza kudhibiti hali ya maandamano kwani naamini kuwa polisi ni wachache mno nchi hii.