mdeki
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 3,299
- 477
Acha uchonganishi mkuu wakitumbuliwa utafurahi? Washauri wafuate taratibu zilizowekwaVijana wa Iringa hakuna kurudi nyuma,pambaneni mpaka kieleweke!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Acha uchonganishi mkuu wakitumbuliwa utafurahi? Washauri wafuate taratibu zilizowekwaVijana wa Iringa hakuna kurudi nyuma,pambaneni mpaka kieleweke!
Barabara kuu itokayo Iringa mjini eneo la mshindo hali ni mbaya, matairi yanawaka, mabomu yanarindimb, watu wako ktk hekaheka...
Nikukumbushe tu ndugu msomaji wa jf kua mimi ni Skype naripoti tukio hili moja kwa moja toka Iringa mjini.
Tatizo mpaka muone wakifanya wazungu ndio na nyiemnafwata. unafahamu kitu kinaitwa flee markets?
Ile stretch ya barabara ikifungwa mara moja kwa wiki kuna hasra ipi wakati kuna access kutoka barabara kuu na hii yakuzungukia takrima. Kufunga barabara ajili ya midundiko na kukata viuno ni sawa lakini kufanya biashara....?
Sometimes CHADEMA wanaipeleka nchi hii jehanam.
Haiwezekani ukatetea watu kufanya biashara bila kufuata utaratibu,eti kisa unataka kura zao.
Ina maana,CHADEMA ikiingia madarakani,itaendesha vipi serikali?
Wamachinga wapo majimbo ya Chadema tu au Ni mbinu chafu!
Kamanda wa kikosi cha zimamoto analalamika akisema askari wake kaumizwa mguu
Kwa yule ambae hajui MABOSO ni nini? Atajua huyu jamaa ana akili ya namna gani... Teh teh..nimekubali kuwA jina huakisi matendo sometimes.....shule za mulugo in action nowwwwwAcha umbumbumbu wewe, hakuna mwenye akili timamu ataafiki machinga kufanya biashara eneo hilo. Barabarani no way. Hizi siasa hizi zinatupeleka kusiko.
Kwa yule ambae hajui MABOSO ni nini? Atajua huyu jamaa ana akili ya namna gani... Teh teh..nimekubali kuwA jina huakisi matendo sometimes.....shule za mulugo in action nowwwwwAcha umbumnbumbu wewe, hakuna mwenye akili timamu ataafiki machinga kufanya biashara eneo hilo. Barabarani no way. Hizi siasa hizi zinatupeleka kusiko.
Wamachinga wanapatikana ubungo, mwanza, mbeya na Iringa tu. Majimbo mengine hawapo? sio mbinu chafu hzo
Askari wa jesh la uokoaji analalamika hapa kua gar lao limebondwa
Kimbelmbela na yeye aliyemuambie aende huko nani.
Wamachinga wanapatikana ubungo, mwanza, mbeya na Iringa tu. Majimbo mengine hawapo? sio mbinu chafu hzo
kama kidogoKimbelmbela na yeye aliyemuambie aende huko nani.
Kutoka Iringa vurugu kubwa muda huu, Polisi wapiga mabomu ya machozi kutawanya machinga. Hii ni kufuatia machinga kurudi kwenye maeneo yaliyokatazwa kufanyia biashara.
Hii imetokana na Machinga kuruhusiwa na mbunge wao Mchg Msigwa ambaye pia alikuwepo eneo hilo na Machinga kusukuma gari lake.
Source: WAPO RADIO