Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,079
- 12,319
Kwahilo nawaunga mkono polisi, haiwezekani mtu kufanya biashhara sehem isio ruhusiwa kisa MB kasema.jamani ccm mwatupeleka wapi mbona ubabe mAskini twende wapi
Kwahilo nawaunga mkono polisi, haiwezekani mtu kufanya biashhara sehem isio ruhusiwa kisa MB kasema.jamani ccm mwatupeleka wapi mbona ubabe mAskini twende wapi
Wamachinga wanadai kule waliko hamishiwa hamna biaasha, wateja wala miundo mbinu yoyote kiasi kwamba mitaji inakata. so wameamua kurudi eneo la stand hadi hapo serikali itakapo wajengea miundo mbinu na soko kulihamishia huko. Mch. Msigwa yupo nao sasa hivi polisi wanamtafuta. amesema hadi kieleweke. machinga wanamlinda kama rais kiasi kwamba polisi pamoja na kuziba njia zote/kumzunguka hadi sasa hajakamatwa. Muda si mrefu ataongea na vyombo vya habari. wamachinga wamesema wawamalize kwanza ndo wamshikw. mia
we p.imbi hiyo misa itasalika vipi wakati mtaani wapo raia wema wanaonyanyaswa na mapolice-CCM?au wewe unawachukulia wamachinga kama wakimbizi? Nyie magamba msipende kusahau kuwa hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.Leo ni jumapili, nilikuwa nategemea huyo mchungaji awe kanisani sasa hivi!! Lakini matokeo yake yupo busy kuhatarisha usalama na amani ya nchi. Poor mchungaji, poor chadema!!
Leo ni jumapili, nilikuwa nategemea huyo mchungaji awe kanisani sasa hivi!! Lakini matokeo yake yupo busy kuhatarisha usalama na amani ya nchi.
Poor mchungaji, poor chadema!!
Acha umbumbumbu wewe, hakuna mwenye akili timamu ataafiki machinga kufanya biashara eneo hilo. Barabarani no way. Hizi siasa hizi zinatupeleka kusiko.