Haizidi 10000
NakaziaWewe ni mwenyeji au wapita tu njia?
Bila picha itakua ni chai ya tangawizi
Huwa sidai picha mara kwa mara lakini hapa angepiga picha ''mdudu'' akiwa mezani ingekuwa vizuri sana.Bila picha itakua ni chai ya tangawizi
Hawezi jibu hilo swaliKwa hiyo bwana Juma unataka kusema Tanga, Lamu, Mombasa, Zanzibar nk ambako ushoga umekithiri ndio wanakula nyama ya nguruwe zaidi?
Nani kakudanganyaNyama Haramu hiyo jamani. Ndo maana hapo Mjini ushhoga hauishi
Nilifika Moshi,jamani jamaa wanakula.Moshi Asubuhi na mapema majiko yamewashwa tyari Ni mwendo wa kuagiza tu.
Hili neno nani aliwadanganya? Kwa nn alisema haramu? Alikuwa ana malengo gani kuharamisha kitoweo?Nyama Haramu hiyo jamani. Ndo maana hapo Mjini ushhoga hauishi
Hawafikii Iringa, pale kuna center kabisa ya huduma ya kitimoto ukiona mguu mbele umeisha hapa unahamia jiko jingineMleta mada hujaenda Tanga au Dodoma
I see ni kweli kabisa, ndio maana ikaitwa kitimotoNyama ya Nguruwe soko lake hushuka mwezi wa mfungo wa Ramadan hata sijui sababu ni Nini?
Kuna sehemu wanauza bei rahisi maeneo ya dodoma???Mleta mada hujaenda Tanga au Dodoma