Wugimbi powoli be Tito?Karibu sana nyumbani
Hivi mnaochanganya bia na nyama inakua tamu?Iringa Kilo 1 Tsh. 8,000/= hapo imekaangwa mixer kachumbali, Ugali 1,000 ndizi 1 sh. 5,00 hapo ni Mabanda ya CCM unapata na bia yako tamu kwa bei elekezi, bei ya kizalendo kabisa.
OyeeeTujitahidi kula nguruwe maana muumba alitupatia kama zawadi muhimu.
Nguruwe oye..
Huu ni uchokozi sasa
Hahahaha mkuu acha utaniHuku TUKUYU kilo ni 7k unapata na ndizi mbili kwa kila mlaji wa hiyo kilo moja ila kama utakua alone utapewa ndizi 6 ukiwa na option ya kuongeza 4 kama hazijakutosha plus parachichi,kachumbari na mchicha.
Mwisho wa ofa ni ndizi kumi kwa kilo moja zaidi ya hapo itabidi ulipie jero kwa kila ndizi 3
Mdudu mpike vyovyote vile anaendaNikweli iringa kuna kitimoto nyingi sehemu mmoja tofauti na moshi na Arusha ila moshi na Arusha wanajua kupika sana kitimoto
Haizidi 10000
Pale connection zipo kibao kama ni mtu wa kujichanganya kiasi.....watu wengu wa office kubwa iringa huwa pale.....usiku magari yenye nembo nyingi za serikali huwa pale
Huku TUKUYU kilo ni 7k unapata na ndizi mbili kwa kila mlaji wa hiyo kilo moja ila kama utakua alone utapewa ndizi 6 ukiwa na option ya kuongeza 4 kama hazijakutosha plus parachichi,kachumbari na mchicha.
Mwisho wa ofa ni ndizi kumi kwa kilo moja zaidi ya hapo itabidi ulipie jero kwa kila ndizi 3
Msosi Hauna ChamaHata wafuasi wa Chadema wapo hapo CCM mkoa wanakandamiza mbuzi Katoliki!
😂😂😂😂😂😂😂Hivi maziwa ya nguruwe yapo?
😂😂😂😂😂😂😂Iringa hawachelewi kukulisha dogi wakisingizia kitimoto
Habari bila picha/video clip sawa na taka taka tu.
Kwa mimi mzoefu nachanganya na inashuka vizuri. Ila kwa wewe nakudhauri kunyw kwanza bia ikishaanza kuchanganya ndio umalizie na nyama aseeh ni hatariiHivi mnaochanganya bia na nyama inakua tamu?
Mbona kwangu inakua chungu sana
Na prefer nyama tu ndio inakua nzuri kinyama.