AGITATOR
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 4,935
- 6,188
Watanzania sio wajinga kuchagua saccos ya Mbowe kuwaongoza. Chama cha mfukoni, genge la wahuni nani anataka upuuzi. Mmevuna mlichopanda.CCM wameiba kura zote ni uchakachuaji kwa kwenda mbele hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu kaichagua CCM