Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,829
- 5,270
U said it well Bro! Na imedhihirika sasa.Ata uwe na PHD kwenye hayo mambo but kama utaincorporate mambo ya siasa imekula kwako
U said it well Bro! Na imedhihirika sasa.Ata uwe na PHD kwenye hayo mambo but kama utaincorporate mambo ya siasa imekula kwako
hii kitu ya mukulo bana kaipigia pande kwa jibaba akateuliwa mara moja, hana anachojua.
hehe mm yenyewe nimeona hana njaa but she wanted more ndo njaa...yenyewe hyo plus ulafiAm speechless if this is what she is.........na hana njaa but she wanted more?
Kaka nilitaka watu wa-link hivi vitu:
Irene holds a Masters Degree of Economics of the University of Dar es Salaam; specializing in Econometrics and Monetary Economics. She has a Bachelor degree in Economics specializing in Industrial economics, Post graduate Diploma in Pension Funds investments and a Diploma in Risk Management for Social Security Funds
Ata uwe na PHD kwenye hayo mambo but kama utaincorporate mambo ya siasa imekula kwako
Chini ya pazia, alivyotoka huko private alichukua pension zake zote akihofia sheria mpya, alijua alichokuwa anatetea ni uovuHuyu mama kitu kinacho mshinda ni communication ..anaonekana hayuko vizuri kwenye Oral..ila ni kichwa kwenye written ..kwa position yake atachukiwa mno sababu anashindwa fafanua mambo mazito kwa lugha rahisi na.nyepesi!
CV na elimu si kitu ka mtu huwezi lugha ya siasa. Mi nilikuwa kwa mkoloni nimerejea karibuni hivyo hii kitu jana Dkt Magu ndo kaeleweka vizuri sana.CV kuuuubwa ila bure kabisa. Matsers sijui makoro koro ila mpaka phd ya korosho ndio inekuja kukata mzizi wa fitna
Kwani Dr mwele yeye alifanya kazi kwa matakwa ya nani??Unapopewa kazi yeyote ile hata kama ni ya ujomba ni muhimu uwe na PROFESSINAL PRINCIPLES; maana yake ni kwamba usifanye kazi kwa utashi wa wakubwa zako bali kwa misingi ya taaluma yako!! Ukifanya hivyo huwezi pata matatizo kwani utakuwa na msimamo wa kukataa kutekeleza yale note ambayo yako kinyume na taaluma yako na hiyo ndio itakuwa kinga yako.
I stand to opose all said about İrene!Actually there is no single woman known to me as bold as Irene!I wonder even her fellow women are taking against her!But just to help a little beat about the whole undestanding!
-Mwaka 2014 Dunia ilisaini mkataba wa Unaohusu makubaliano dhidi ya Global warming,nadhani ulikuwa mkataba wa Paris,but kama mnakumbuka,Marekani ilikuja na physiology inayoopose existence ya the so called a Global warming,na wakatetea isue nzima as nothing like the global warming in the world,lakini kimsingi Marekani walijua wanachokitetea...!
-Sasa ii Ssra,si duka la mtu binafsi,ni shirikisho la Parastals...mlitegemea İrene akaongee nn!
-She is an employee,Civil Servant,Obedient....!
Bado anahitajika sn.
Yuko rafiki aliyeandika Phd ya kitu gani sijui,I know Irene since we happened to be in Jkt,she remained the only woman who could not go for a cheap call of Jkt lust officers,tunamjua na iyo heshina anayo!
Al the same,people talk in freedom and to me its ok
Pole Sn Irene!
Sent using Jamii Forums mobile app
CV ya chini sana. Alipataje kile cheo? Inabidi tumwombe Dr mkataza rushwa wa udsm achunguzeKaka nilitaka watu wa-link hivi vitu:
Irene holds a Masters Degree of Economics of the University of Dar es Salaam; specializing in Econometrics and Monetary Economics. She has a Bachelor degree in Economics specializing in Industrial economics, Post graduate Diploma in Pension Funds investments and a Diploma in Risk Management for Social Security Funds
Kwani Dr mwele yeye alifanya kazi kwa matakwa ya nani??
Haaa..hiki kitu nilikua sifahamu au sikumbuki kwamba Mwele nae mwanasiasa??Huyu Mwele umesahau kuwa alichukua form ya kugombea URAIS; hivyo huyu masuala yaake yanachanganyika na siasa hivyo mambo ya uamuzi wa kumhusu yanachanganyika na siasa za kiafrika!! Afrika ni mwiko kuchanganya siasa na taaluma huwezi kutoboa utakwama tu!!
Sitaki kuamini kama issue senstive kama hiyo kuna kitu kinaweza fanyika bila idara zote nyeti kujua na kupitisha..
Hata Mzee...Magufuli nae atakua alikua anajua tu.sema kaja na gia nyingine ya kujivua na kumtwika huyu mama..Irene...
Sent using Jamii Forums mobile app