Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
dada zake umew.aua?
Dada ake yupi unae mzungumzia maana Irene ndio first born kwao.
Dada ake yupi unae mzungumzia maana Irene ndio first born kwao.
ata uwe na phd kwenye hayo mambo but kama utaincorporate mambo ya siasa imekula kwako
akifa yeye kabla hajapata watapata warithi wake ukiwemo wewe na siku zake zitakuwa zimefika na hatakuwa amefariki kwa kuwa serikali haina hela, in fact kesi ya mama yako inaweza kuwa ni maji ya kijiko ndani ya bahari ukilinganisha na wanafunzi wengi ambao wangekosa elimu ya juu,tatizo la mama linaweza kuwa ni tatizo la kiufundi kwake yeye ila si kwa sababu serikali haina hela! Kama upo free ni PM na nyaraka zote za mother tuone kama kweli tatizo ni serikali kukosa helakuwepo au kutokuwepo kwa UDOM kunahusianaje na serikali kurejesha fedha za wanyonge? Watu wanastaafu lakini wanafuatilia mafao yao hadi wanakufa hawajalipwa mafao yao...huu ni mwaka wa 5 sasa tangu mama yangu astaafu, kila akienda anaambiwa fedha hakuna halafu kuna mijitu hapa inajitoa fahamu inajifanya haijui ugumu wanaoupata watu pindi wakistaafu! Unaweza ukaniambia MULTIPLIER EFFECT ya mama yangu kutolipwa mafao yake kwa miaka 5 sasa? Unataka afe hela zake wafaidi mafisadi wa CCM? Jitazame sana mkuu.
dada zake umew.aua?
I have failed to understand the motive behind this thread, is it to populize Ms Irene as a person or her education background and her ability to steer positive changes in the already dead pension funds?
What pension funds members need is better pension schemes and accessibility of loans when we are still energitic and not blah blah this or blah blah that.
Hongera mkuu kumbe ulimaanisha haya niliyoyaona leoLakini of all ni mtu hovyo kuwahi kutokea kwa sisi wafanyakazi wa kizazi kipya.period
Unaempongeza uyo ndo aliesaini hiyo sheria na kuleta hayo majanga. Elimu muhimu watanzaniaHuyu mama leo ameaibika. Hongera Magufuli. Tumbua huu upuuzi. Wafanyakazi Oyeeeh!
Ni upuuzi tu, aggressive on jeopardizing people's rights??Dada ake yupi unae mzungumzia maana Irene ndio first born kwao.
Risk Management for Social Security Funds (diploma)Huyu mama kitu kinacho mshinda ni communication ..anaonekana hayuko vizuri kwenye Oral..ila ni kichwa kwenye written ..kwa position yake atachukiwa mno sababu anashindwa fafanua mambo mazito kwa lugha rahisi na.nyepesi!
Kikotoo hakipo kwenye sheria. Hata hao wabunge waliopitisha sheria wanalalamikia kikotoo. Tangu mwanzo kuna wabunge walitaka fomula iwepo kwenye sheria lakini walipuuzwaUnaempongeza uyo ndo aliesaini hiyo sheria na kuleta hayo majanga. Elimu muhimu watanzania
Sheria ni nini?Kikotoo hakipo kwenye sheria
Duh eti hajaisoma vzuriHuyu mama hana analolijua baada ya kuunganishwa kwa mifuko kuna siku alikuwa anahojiwa clouds na Kibonde, akaulizwa kwanini sheria ya fao la kujitoa na hiki kokotoo cha 25% hakiwagusi wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, mawaziri......akajibu hajaisoma vuzuri hiyo sheria labda akaipitie vizuri ndio anaweza kutoa majibu....Mkurugenzi hujaisoma sheria.....
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee...Huyu mama hana analolijua baada ya kuunganishwa kwa mifuko kuna siku alikuwa anahojiwa clouds na Kibonde, akaulizwa kwanini sheria ya fao la kujitoa na hiki kokotoo cha 25% hakiwagusi wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, mawaziri......akajibu hajaisoma vuzuri hiyo sheria labda akaipitie vizuri ndio anaweza kutoa majibu....Mkurugenzi hujaisoma sheria.....
Sent using Jamii Forums mobile app