Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukanaKumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.
Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.
Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.
Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.
Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.
Bye bye Iran
View attachment 2953272View attachment 2953273