Irani ikishambulia ndani ya nchi ya Israel itakua mwisho wa serikali ya kiislam ya Iran

Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.

Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.

Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.

Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.

Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.

Bye bye Iran

View attachment 2953272View attachment 2953273
Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukana
 
Haya sasa Iran keshatimiza ahadi yake mnasemane sasa. Kwa dharau kawapa taarifa 72hrs kabla kwamba keshokutwa nampiga Israel msipojipanga shauri yenu😄
Kampigaje sasa! Hakuna bomu kamili hata moja lililoingia Israel. Mabomu yoote yalipanguliwa hewani! Sasa subiri show ya Israel! Akiachia moja limo!
 
Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukana
hahaa we Iran umezingua wachambuzi aisee.... mkuu hivi umeshapata taarifa? Iran keshapiga huko umesikia kinachoendelea?
 
Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukana
Wewe ulipotezwa na propaganda za NATO na wishifull thinking kwamba Putin hatamaliza mwaka 2023 na Sasa tumefika robo ya mwaka 2024 Putin hajafa na kashinda tena uchaguzi.
Wewe tabiria wanasiasa uchwara wa Tanzania tu.
Iran, North Korea, China, na USA siyo Libya au Iraq.
BTW, I hate war. Maghaidi wa Palestine wameuwa watu wasiokuwa na hatia, Israel pia inauwa watu wasio kuwa na hatia kama Ukraine walivyo uwa raia wao wasio nanhatia wenye asili ya Urusi.
Na sasa Ukraine anazidi kuwapeleka kinguvu watu wake wakafe kwenye vita ambayo hawawezi kushinda sababu ya tamaa za viongozi wao.
 
Back
Top Bottom