MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,703
- 48,517
Kwani wako mwaka gani?
USA ya 1968 iliyoenda mwezini tunaifikia hata theluthi kweli?
Hehehe!! Hata huyo Iran hajafikia hadhi ya USA ya 1968, wapo kwenye maandalazi ya kumpeleka binadamu mwezini mwaka wa 2025