Iran vs. US military capabilities

Huna unalolijua kwenye hizi medani nenda kabishane mambo ya Diamond , Zari , Wema Sepetu Na Ali Kiba...


Ingia hapa uone hayo niliyokwambia Donald Trump akiongea kwa mdomo wale mwenyewe ...



Sijui hizo shule mnasomea ujinga!!! Ukute na hii clip uliiona ila hujui lililozungumzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai shule umefungua sasa, ukasome

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HEBU SOMA HAPO HALAFU KOSOA AU SIFIA!!!

Lijue Jeshi la Marekani.
- Jeshi la Marekani limeanzishwa mwaka 1775 hadi sasa lina miaka 244 na miezi 5.

- Askari wa kawaida wapo 476,000 ikiongezeka kwa asilimia 18% kwa mwaka 2019

- Askari wa ulinzi wa kitaifa wapo 343,000.

- Askari wa Akiba wapo 330,000.

- Na Askari wa kupaisha vifaa vya angani wanafika 4,406.

- Makao makuu ya jeshi la Marekani yapo Pentagon.

- Jeshi la Marekani ina pistol ndogo ndogo new modern kama vile M9 licha kwa sasa zinatumika zaidi zile za M17 ukiacha Beretta 92FS zilizotengenezewa Italy.

- Pia jeshi la Marekani linamiliki pistol aina ya M9,M11,M1911,M17, M18 Zipo kubwa zaidi kama vile MK23, MK24, MK25,MK26, MK27 na MK28 zote hizi ni hatari sana hudungua hadi nyuma ya mfupa.

- Zipo bundukia zinazotumika kwenye misheni za gizani kufanya mashenko kama zile aina ya SIG na MP5 zingine ni kama vile B&T APC9, M16, M4, MK17 na HK416.

- Kuna virushia kombora kama vile M252 vipo 990, M120 vipo 1,076 vilitegenezewa Israel, M109 vipo 965 na vingine vipo store 500, M777 vipo 518, M119 vipo 821.

- Yapo magari maalum kurushia makombora ya mbali kama vile M270 vipo 991na M142 vipo 375.

- Kuna magari ya kivita yale ya HMWV yapo 100,000, ATV yapo 53,582, SOV 60.

- Kuna special truck za M939 yapo 25,000 na vifaru hatari zaidi duniani kama vile M1 vipo 2,386 na vilivyo kwenye store vipo 3,500 kuna M2 vipo 25,000 na ziada ni 2,500, M3 vipo vifaru 1,200 ziada 800, M1120 vipo 4268, M113 vipo 5,000 vilivyo tunzwa vipo 8,000 M1117 vipo 2,900 na M88 vipo 1,177 na ziada vipo 1,000 na M9 vipo 250 ndio hatari zaidi.

- Inakadiriwa asilimia 21% ya jeshi la Marekani inategemea ubunifu wa siri chini ya Israel.

- Kwenye rank ya kidunia Marekani inashika nafasi ya daraja la lll zikifuatia China, Urusi, Korea n.k

- Mwenye password ya kuruhusu mabomu ya nuclear ni Rais wa Marekani.

- Kwa sekunde 881 pekee yake Marekani inaweza kuisambaratisha Tanzania na kenya Kwa mpigo huku Marekani itatumia siku 121 kuisambaratisha China yote.

- Kila kona mhimu ya dunia Marekani imeweka zimbo lake la kijeshi.

- Marekani inavifaa vya siri sana ambayo vinaaminika kuwa ni ubunifu wa nje ya dunia.

- Marekani ina vifaa maalum vya kuzuia makombora kuingia kwenye mipaka ya nchi.

- Marekani inarobot za kivita ambazo zote zinafanyiwa upembuzi.

- Marekani imebuni suit au mavazi ya kijeshi ambayo mtu akiyavaa hauwezi kumwona Kwa macho hata kidogo.

- Marekani ina makomando waliotengenezwa kwa DNA kiasi kwamba wana uwezo wa kufanya uvamizi na ushambuliaji tofauti na binadamu wa kawaida.

DR.WILLIAM

Sent using Jamii Forums mobile app

Pamoja na sifa zote hizi Marekani haijawahi kupigana vita yoyote ikashinda toka taifa hilo lianzishwe. Wanasumbuliwa na "Fear of the unknown"

Wenye akili watanielewa.
 
HEBU SOMA HAPO HALAFU KOSOA AU SIFIA!!!

Lijue Jeshi la Marekani.
- Jeshi la Marekani limeanzishwa mwaka 1775 hadi sasa lina miaka 244 na miezi 5.

- Askari wa kawaida wapo 476,000 ikiongezeka kwa asilimia 18% kwa mwaka 2019

- Askari wa ulinzi wa kitaifa wapo 343,000.

- Askari wa Akiba wapo 330,000.

- Na Askari wa kupaisha vifaa vya angani wanafika 4,406.

- Makao makuu ya jeshi la Marekani yapo Pentagon.

- Jeshi la Marekani ina pistol ndogo ndogo new modern kama vile M9 licha kwa sasa zinatumika zaidi zile za M17 ukiacha Beretta 92FS zilizotengenezewa Italy.

- Pia jeshi la Marekani linamiliki pistol aina ya M9,M11,M1911,M17, M18 Zipo kubwa zaidi kama vile MK23, MK24, MK25,MK26, MK27 na MK28 zote hizi ni hatari sana hudungua hadi nyuma ya mfupa.

- Zipo bundukia zinazotumika kwenye misheni za gizani kufanya mashenko kama zile aina ya SIG na MP5 zingine ni kama vile B&T APC9, M16, M4, MK17 na HK416.

- Kuna virushia kombora kama vile M252 vipo 990, M120 vipo 1,076 vilitegenezewa Israel, M109 vipo 965 na vingine vipo store 500, M777 vipo 518, M119 vipo 821.

- Yapo magari maalum kurushia makombora ya mbali kama vile M270 vipo 991na M142 vipo 375.

- Kuna magari ya kivita yale ya HMWV yapo 100,000, ATV yapo 53,582, SOV 60.

- Kuna special truck za M939 yapo 25,000 na vifaru hatari zaidi duniani kama vile M1 vipo 2,386 na vilivyo kwenye store vipo 3,500 kuna M2 vipo 25,000 na ziada ni 2,500, M3 vipo vifaru 1,200 ziada 800, M1120 vipo 4268, M113 vipo 5,000 vilivyo tunzwa vipo 8,000 M1117 vipo 2,900 na M88 vipo 1,177 na ziada vipo 1,000 na M9 vipo 250 ndio hatari zaidi.

- Inakadiriwa asilimia 21% ya jeshi la Marekani inategemea ubunifu wa siri chini ya Israel.

- Kwenye rank ya kidunia Marekani inashika nafasi ya daraja la lll zikifuatia China, Urusi, Korea n.k

- Mwenye password ya kuruhusu mabomu ya nuclear ni Rais wa Marekani.

- Kwa sekunde 881 pekee yake Marekani inaweza kuisambaratisha Tanzania na kenya Kwa mpigo huku Marekani itatumia siku 121 kuisambaratisha China yote.

- Kila kona mhimu ya dunia Marekani imeweka zimbo lake la kijeshi.

- Marekani inavifaa vya siri sana ambayo vinaaminika kuwa ni ubunifu wa nje ya dunia.

- Marekani ina vifaa maalum vya kuzuia makombora kuingia kwenye mipaka ya nchi.

- Marekani inarobot za kivita ambazo zote zinafanyiwa upembuzi.

- Marekani imebuni suit au mavazi ya kijeshi ambayo mtu akiyavaa hauwezi kumwona Kwa macho hata kidogo.

- Marekani ina makomando waliotengenezwa kwa DNA kiasi kwamba wana uwezo wa kufanya uvamizi na ushambuliaji tofauti na binadamu wa kawaida.

DR.WILLIAM

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wanahivi vifaa kwanini wasivipeleke Afghanistan wawamalize watalibani huu mwaka wa ishirini sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu tu apishie mbali. Hiyo itakuwa vita mbaya kuliko yoote ilowahi kupiganwa duniani. Tusilinganishe Marekani ya leo na ile ya Nixson, miaka hiyo. Kumbuka Marekani ameweka vituo kuizunguka Iran. Atakuwa hapigani vita akiwa nyumbani wakati Iran inapigana ikiwa nyumbani. Hii ina maana Irani itakuwa inalinda nyumbani na kumpiga adui. Iran italia kilio cha mbwa mwizi. Siombi vita ila alipofika Ayatollah ningetamani Mmarekani amkate huo ukucha
Alipofikia kafikia wap !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiiiii
Unajua kuna mambo yanachekesha hv unajua kwamba USA silaha zao zote huwa wanazitengeneza wenyewe kuanzia vifaru.ndege.meli .risasi .mabomu na nuclear weapon tena kwa bahat mbaya hata hizi simu tunazozishobokea android na iphone data zake zote zipo US internet ipo US in short kateka mawasiliano ya dunia sasa uyo iran kila kitu mpaka apewe msaada waseme tu km wanataka nchi yao iwe jangwa waseme mapema
Kwenye US Umeongelea Facts Ila Kwa IRAN Umeongea PUMBA.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mnaleta ushabik wa kijinga unaijua vzr US au unaisikia inagopwa io nchi hata kipind cha world war 1 and 2 muingereza na mjeruman walikuwa wanamuogopa mjapan akajitia kichwa ngumu wakapigwa bomu mbili tu wakazika mamilion ya ndugu zao nagasaki na heroshima ebu nikuulize japan na iran ipi nj strong jibu unalo
Unaambiwa ukweli kama umechanganya madawa unatoa povu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani hawezi enda vitani peke yake bila UK na wengine,Iran akiungana na mataifa mengine hapo middle east,USA ni zero tu.Aliondoka Vietnam mwenyewe bila kupenda.USA alone is zero zero.
Unategemea mataifa gani yatamsupport Iran? Kama kuna taifa kubwa linauwekezaji wake Iran Marekani hawezi ingilia wala kuharibu miundombinu hiyo. Yeye anadeal na kuchukua utawala utakaosikiliza matwaka yake(Economic interest). Libya alipigwa na mataifa makubwa ya Ulaya yaliyowekeza pale wala hayakuingilia mapigano yale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kina Saudi wangekuwa na akili walitakiwa waungane na Iran,USA haitakii mema Middle east.Iran sasa najua lazima atumie akili kubwa sana.Migogoro ni ya miaka na miaka sasa,Iran sasa anamfahamu vizuri USA.Kumbuka vita vya ghuba ya uajemi hawa Iran walikuwa pro America katika kuivamia Iraq,look at now Iran wamekua adui wa USA.
Huhitaji kuwa rocket scientist kuelewa kuwa USA ni chokochoko mkubwa.
Anaungana vipi na Saudia ili hali America ndio biggest consumer wa mafuta ya Saudia tangu enzi hizo. Ushirikiano wao ni wa muda mrefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu tu apishie mbali. Hiyo itakuwa vita mbaya kuliko yoote ilowahi kupiganwa duniani. Tusilinganishe Marekani ya leo na ile ya Nixson, miaka hiyo. Kumbuka Marekani ameweka vituo kuizunguka Iran. Atakuwa hapigani vita akiwa nyumbani wakati Iran inapigana ikiwa nyumbani. Hii ina maana Irani itakuwa inalinda nyumbani na kumpiga adui. Iran italia kilio cha mbwa mwizi. Siombi vita ila alipofika Ayatollah ningetamani Mmarekani amkate huo ukucha
Mbona hueleweki? Mara unatamani mara huombei vita, tukueleweje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom