Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,927
- 2,319
Iran hawajui kuwa lengo la marekani ni kuanzisha Vita halafu wainyang'anye silaha zote Irani pamoja na regime change, Sasa Nani mwenye akili hapo
Mkuu,Iran vs. US military capabilities:
Budget
Iran: $6 billion
US: $716 billion
Troops
Iran: 523,000
US: 1.3 million
Aircraft
Iran: 509
US: 13,398
Navy vessels
Iran: 398
US: 415
Nukes
Iran: not known
US: 6,185
Missile range
Iran: 3,000 km
US: Any place on Earth
View attachment 1313146
Kwahiyo mkuu Rwanda akiwa na vifaru 30 vitamtosha hata akivamiwa na vifaru 5000??Mkuu,
Usiandike tu kishabiki bila kufanya analysis.
Hebu tuambie US Ina ukubwa gani ardhi yake vs Iran, Askari mmoja analinda eneo kubwa kiasi gani?
Ratio ya eneo vs vifaa.
Ni sawa na kuitaka Rwanda owe na vifaru sawa na Tanzania wakati eneo lao kukiwa na vifaru 30 vinatosha Ila wewe unataka wawe navyo 5000. Wakivipanga tu hakuna anjia ya kupita magari
TrueHakuna vita hapo msipoteze muda.
Kilichopo ni kutunishiana misuli tu baina ya US na Iran.
Ndio maana unaona washirika wa US (EU) wapo kimya.
Iran atalipiza kisasi kwa kifu cha Soleimani kwa style ile ile ya kuviziana iliyozoeleka.
Then US ataongeza sanctions zaidi kwa Iran.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vita haitangazwi na kuanza.Hakuna vita hapo msipoteze muda.
Kilichopo ni kutunishiana misuli tu baina ya US na Iran.
Ndio maana unaona washirika wa US (EU) wapo kimya.
Iran atalipiza kisasi kwa kifu cha Soleimani kwa style ile ile ya kuviziana iliyozoeleka.
Then US ataongeza sanctions zaidi kwa Iran.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Yale Makombora Yanayorushwa Na Houth Kule SAUDIA Yanafikaje MKUU ?!...
Asee 2najengeana hoja na watu waajabu sana yaani unabishana na m2 ambae hata hajui kama kuna IRAQ na IRAN
Halafu kama akishaziona azifanye nn IRAN Ana Haki Yakufanya Nn Ndani Ya Mipaka Ya IRAQ ?!...?Mkuu drone zimerushwa kutoka kwenye base za marekani ziliko kwenye bahari. Hivyo Iran angekuwa yuko smart angeziona kabla hazijafika Iraq.
Iran ya sasa iko too advanced kiteknolojia na mambo kadha wa kadha, USA ya sasa iko mwaka 2090 kama sio 3000 hivyo kujaribu kushindana naye ni kuumia.
Kwa Saud Arabia ndio USA??? ... Hoja nimezinjenga kwa USA wewe unanijibu kwa Saudi Arabia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwan Yale Makombora Yanayorushwa Na Houth Kule SAUDIA Yanafikaje MKUU ?!...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye Kuiangamiza Taleban Itachukua Masaa Mangapi[emoji23][emoji23][emoji16]
Sawa nimekuelewa MKUU...Iran ya sasa iko too advanced kiteknolojia na mambo kadha wa kadha, USA ya sasa iko mwaka 2090 kama sio 3000 hivyo kujaribu kushindana naye ni kuumia.
.
Bado hujanielewa utamu?
Nimekujibu kwa SAUDIA Kwasababu US Ana Vifaa Vyake Pale Vyakijeshi Kuzuia Mashambulio Yasiingie SAUDIA Chaajabu YameingiaKwa Saud Arabia ndio USA??? ... Hoja nimezinjenga kwa USA wewe unanijibu kwa Saudi Arabia
Sent using Jamii Forums mobile app
Vifaa gani vilivyoko Saudia??? Nimekuwekea kifaa Cha THAAD wewe unakuwa general eti vifaaYahNimekujibu kwa SAUDIA Kwasababu US Ana Vifaa Vyake Pale Vyakijeshi Kuzuia Mashambulio Yasiingie SAUDIA Chaajabu Yameingia
Naunahisi US Atampigia IRAN Kutokea Washington Ama New York
Pole sana Kaka MKUBWA....
Sent using Jamii Forums mobile app
Anazilipua! Tatizo lake ni intelijensia ndogo fullstop![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Halafu kama akishaziona azifanye nn IRAN Ana Haki Yakufanya Nn Ndani Ya Mipaka Ya IRAQ ?!...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima ujuwe kila Super power ana mwisho wake zama ya USAHata Iran ana historia ya kuitawala dunia miaka mingi iliyo pita akaja kupinduliwa na Mgiriki. Hivyo zama za Iran zisha pita hapo ataishia kupigwa tu.
Ni hatari lakini salama.