Iran shoots down US drone

Nakuunga mkono Mkuu. Hili ni la kweli kabisa. Vita inaidhoofisha sana US kiuchumi sijui kwanini hawalioni hili.

..naona mnawaelewa hawa US kinyume kabisa,FYI war is a very good business kwa Economy ya US na ndio maana miaka yote wako busy kutafuta hizo war,hizi war zinaongeza sana nguvu za uchumi wao lakini hakuna hata mwanasiasa anaweza kujaribu kusema hilo maana kila mtu anaogopa hizi military industry,hivi mkisikia US wame spend trillion dollar for Iraq war mnafikiri hizo pesa zimeenda wapi?in short hizo pesa zimeingia in American economy through banking,wallstreet,military industry etc Iraq hawakuona hiyo pesa kwao na wao ndio watakuja kulipa for many yrs to come,hapo wamenunua kuanzia tankers,jetfighters,bullets,foods etc kutoka American factories,kumbuka hakuna made in china in american military kwa hiyo pesa yote inaingia in american Economy na wakati huohuo Iraqis watakuja kulipa hiyo so called misaada na billions of oil contracts to Americans,world war 2 kulikuwa na booming economy in America kwa ajiri ya hiyo vita....vita ni industry kama housing,autos etc na ni part kubwa sana kwenye economy ya hawa watu na ni inawaletea utajiri mkubwa sana kuliko kitu chochote,hiyo Iraq imekula 1.3 trillion lakini wanaweza wakawa wametengeneza double kwenye uchumi wao
 
Na mitafaruku ndo njia peke ya kuokoa chumi zao,kwahiyo vita ni mbaya kwa wengine lakini si kwa wote,marekani hawa tena wameshagunduwa haya ya drones, unajuwa wenzetu sometime wanachukulia vita kama war games.

Lakini mostly wako kibishara zaidi.

...huu ndio ukweli wenyewe,its all about Economy na most of the time ni faida kwao.
 
Mkuu BAK,Pitia taratibu tu kipengele baada ya kipengele halafu you might see what i mean...Na hao ndiyo FED's wenyewe AKA FOMC...


Mkuu unajuwa hizo reconstructions za baada Ya vita etc zina angukia wapi?
Kwahiyo hakuna pahala kwenye analysis za hao feds zinazoonyesha kwamba vita ina negative impact.

Wao wanacholalamika mara pengi ni cost ya human life.

Mkuu BAK,Pitia taratibu tu kipengele baada ya kipengele halafu you might see what i mean...Na hao ndiyo FED's wenyewe AKA FOMC...


Mkuu unajuwa hizo reconstructions za baada Ya vita etc zina angukia wapi?
Kwahiyo hakuna pahala kwenye analysis za hao feds zinazoonyesha kwamba vita ina negative impact.

Wao wanacholalamika mara pengi ni cost ya human life.

Mkuu Mushi kama unavyofahamu sasa hivi hakuna reconstruction yoyote ya maana inayofanyika kutokana na kuwepo na budget deficit kubwa ($1.3 Trillion). Nchi lazima itakuwa negatively affected pale ambapo gharama za vita zilisemekana kufikia $30 billion tu lakini sasa zimefikia $1.3 Trillion and counting na ndiyo maana ikaundwa ile kamati ya watu 12 ili kukaa chini na kuangalia namna ya kupunguza at least $1.2 Trillion (kwa miaka 10) katika deficit kubwa lakini kama unavyofahamu walishindwa.

~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*

Reaction to committee's failure to cut deficit


By The Associated Press
Reaction to a special deficit-reduction supercommittee's failure to approve a plan that cuts at least $1.2 trillion in the coming decade:
___
"I would have anticipated that the president of the United States would have spent every day and many nights working with members of the supercommittee to try to find a way to bridge the gap, but instead he's been out doing other things, campaigning, blaming and traveling. This is, in my view, inexcusable." - Former Massachusetts Gov. Mitt Romney.
___
"One way or another, we will be trimming the deficit by a total of at least $2.2 trillion over the next 10 years. That's going to happen, one way or another. We've got $1 trillion locked in, and either Congress comes up with $1.2 trillion, which so far they've failed to do, or the sequester kicks in and these automatic spending cuts will occur that bring in an additional $1.2 trillion." - President Barack Obama.
___
"Despite the danger posed by sequestration, I join the president in his call for Congress to avoid an easy way out of this crisis. Congress cannot simply turn off the sequester mechanism, but instead must pass deficit reduction at least equal to the $1.2 trillion it was charged to pass under the Budget Control Act." - Defense Secretary Leon Panetta.
___
"Manufacturers continue to be negatively affected by the rising debt crisis and its accompanying uncertainty and shaken consumer confidence. We are extremely disappointed that the Committee did not take advantage of the opportunity to restore confidence and stability to our economy by reforming entitlement programs and creating a tax code that promotes investment, growth and jobs." - National Association of Manufacturers President and CEO Jay Timmons.
___
"The American people are tired of their elected leaders listening to the extreme voices in their party instead of the voices of reason. I am disappointed that Republicans never found the courage to ignore Tea Party extremists and millionaire lobbyists like Grover Norquist, and listen instead to the overwhelming majority of Americans - including the vast majority of Republicans - who want a balanced approach to deficit reduction." - Senate Majority Leader Harry Reid, D-Nev.
___
"They were trying to break out of the mess by being, in my judgment, even dumber - that is, creating a committee of 12 picked by the political leadership to magically get in a room to come up with something that 535 couldn't solve." - Former House Speaker Newt Gingrich.
___
"Unfortunately, this opportunity has been wasted." - Sen. Pat Toomey, R-Pa.
Copyright 2011 The Associated Press. All rights reserved.







 
Hii si dalili nzuri kwa uchumi wa dunia ambao bado unasuasua....Vita nyingine itasababisha bei ya mafuta ipande kwa kiwango kikubwa na hivyo kuondoa kabisa matumaini ya uchumi wa dunia kuanza kukua tena.

...oil & Economy vinavyofanya kazi ni kinyume na ulichoeleza,Economy ikianguka mafuta nayo yanaanguka sana,na uchumi wa dunia ukikua bei ya mafuta huongezeka,weak economy zinaleta weak oil demand and v/versa na mara zote wanaoumia na global weak economy ni hao OPEC,ndio maana 2008 wakati wa financial crisis mafuta yalianguaka kutoka 140$ to 30$...kwa ufupi waarabu bila strong economy ya US or western states wamekwisha.
 
poor Iran ... hatimaye wamebahatisha ka reconnaissance drone kamoja tu/tena hiyo ni one of hundreds of sorties.
 
..naona mnawaelewa hawa US kinyume kabisa,FYI war is a very good business kwa Economy ya US na ndio maana miaka yote wako busy kutafuta hizo war,hizi war zinaongeza sana nguvu za uchumi wao lakini hakuna hata mwanasiasa anaweza kujaribu kusema hilo maana kila mtu anaogopa hizi military industry,hivi mkisikia US wame spend trillion dollar for Iraq war mnafikiri hizo pesa zimeenda wapi?in short hizo pesa zimeingia in American economy through banking,wallstreet,military industry etc Iraq hawakuona hiyo pesa kwao na wao ndio watakuja kulipa for many yrs to come,hapo wamenunua kuanzia tankers,jetfighters,bullets,foods etc kutoka American factories,kumbuka hakuna made in china in american military kwa hiyo pesa yote inaingia in american Economy na wakati huohuo Iraqis watakuja kulipa hiyo so called misaada na billions of oil contracts to Americans,world war 2 kulikuwa na booming economy in America kwa ajiri ya hiyo vita....vita ni industry kama housing,autos etc na ni part kubwa sana kwenye economy ya hawa watu na ni inawaletea utajiri mkubwa sana kuliko kitu chochote,hiyo Iraq imekula 1.3 trillion lakini wanaweza wakawa wametengeneza double kwenye uchumi wao
Koba,

Hata mimi nimegunduwa watu kumbe wanaelewa kinyume kabisa!
 
...oil & Economy vinavyofanya kazi ni kinyume na ulichoeleza,Economy ikianguka mafuta nayo yanaanguka sana,na uchumi wa dunia ukikua bei ya mafuta huongezeka,weak economy zinaleta weak oil demand and v/versa na mara zote wanaoumia na global weak economy ni hao OPEC,ndio maana 2008 wakati wa financial crisis mafuta yalianguaka kutoka 140$ to 30$...kwa ufupi waarabu bila strong economy ya US or western states wamekwisha.


Angalia tena wakati Vita ya Iraq inaanza bei ya mafuta katika soko la dunia ilikuwa ni kiasi gani. Kutokana na demand kubwa ya mafuta katika vita ile bei ya mafuta ikapanda sana pamoja na uchumi wa dunia kutokuwa katika hali ya kuridhisha.

Ulichoandika hapo ni kweli kabisa lakini hali hiyo hutokea kama duniani hakuna vita ambayo nchi za magharibi zinahusika, lakini kama kuna vita ambazo nchi za magharaibi zinashiriki basi hata kama uchumi wa dunia unasuasua bei ya mafuta lazima itapanda kwa sababu demand ya mafuta huongezeka sana kutokana na vifaa mbali mbali vya kivita kama vile magari, vifaru, ndege n.k. kutumia mafuta kwa wingi wakati wa vita ukilinganisha na wakati ambapo nchi za magharibi hazishiriki katika vita yoyote ile duniani.

 
Koba,

Hata mimi nimegunduwa watu kumbe wanaelewa kinyume kabisa!

[h=1]Sen. Jim Webb says Iraq war is major reason for oil price increases[/h]
rulings%2Ftom-mostlyfalse.gif
[h=4][/h]


Jim Webb campaigned for Senate in 2006 in strong opposition to the war in Iraq, always wearing his deployed son's combat boots.

The Democrat, who announced Feb. 9 that he would not run for re-election, recently discussed the war and its impact on oil
prices while questioning James Jeffrey, the U.S. ambassador to Iraq.

"We were worried, and were saying so at the time, that this endeavor would harm the country's economy--that it would blow the top off the price of oil," Webb said during a Feb. 3 hearing of the Senate Armed Services Committee. "I recall when the Congress voted to go to war in Iraq, oil was $24 a barrel. It went up to $143. Today, it's about $102."

Each trip to the gas pump in recent months has been a stark reminder that oil is more expensive than it used to be. We wondered if the U.S. invasion and subsequent occupation of Iraq was a major factor in blowing "the top off the price of oil."

Congress authorized President George W. Bush to use force against Iraq on October 11, 2002. On that day, the spot price for a barrel of European Brent crude oil was $28.18, according to the U.S. Energy Information Administration. The price of West Texas Intermediate crude was $29.36 per barrel that day, according to the EIA.

We are relying on the spot price, which refers to the price a trader would pay for an immediate settlement of a trade, rather than prices from futures contracts -- another widely-used method of purchasing oil -- because the EIA keeps exhaustive spot price archives.

During November 2002 the spot price of Brent crude fell to and below the $24 per barrel threshold mentioned by Webb. It bottomed at $22.82 on Nov. 14, 2002. WTI crude fell to $25.28 the same week.

 
We wondered if the U.S. invasion and subsequent occupation of Iraq was a major factor in blowing "the top off the price of oil."

Mkuu BAK,umeniwekea habari ya wanasiasa na mimi nimekuwekea vitu vya jikoni vya feds wenyewe ila huja take time kudesa...

Hii hapo juu ndo key word, "We wonder if" Unaweza kunionyesha pahala kasema kwa uhakika kabisa?
 
..naona mnawaelewa hawa US kinyume kabisa,FYI war is a very good business kwa Economy ya US na ndio maana miaka yote wako busy kutafuta hizo war,hizi war zinaongeza sana nguvu za uchumi wao

Kama War zinaongeza nguvu kiuchumi. Inakuwaje Marekani baada ya Vita ya zaidi ya miaka 8 sasa kule Iraq na kama sikosei miaka 10 kule Afghhanistan uchumi wake uko shakalabaghala!? Hizi vita mbili si zingeufanya uchumi wa Marekani kuwa unapaa sasa hivi lakini hali ni kinyume kabisa sasa hivi uchumi unasuasua na kuna uwezekano ukaanguka zaidi.

Inakuwaje China ambayo haina vita inafanya vizuri zaidi kiuchumi kuliko Marekani? Hawa si walitakiwa wawe nyuma kiuchumi ukilinganisha na Wamarekani ambao wanazitafuta vita kwa udi na uvumba? Mie kwa maoni yangu labda ilikuwa ile ya miaka 47 lakini kwa sasa vita hailipi hata kidogo bado unazorotesha uchumi wako na ndiyo hali tunayoiona sasa katika uchumi wa Marekani ambao baadhi ya Wataalamu wa mambo ya uchumi wamethubutu kutamka kwamba uchumi wa Marekani unaweza kuchukua miaka 10 au hata zaidi kabla haujakaa sawa.

Kutumia $1.3Trillion kwenye vita wakati hakuna investments nyingine zozote zile nchini si shughuli ndogo lazima uchumi wa nchi uathirike kwa kiasi kikubwa sana.

 
Kama War zinaongeza nguvu kiuchumi. Inakuwaje Marekani baada ya Vita ya zaidi ya miaka 8 sasa kule Iraq na kama sikosei miaka 10 kule Afghhanistan uchumi wake uko shakalabaghala!? Hizi vita mbili si zingeufanya uchumi wa Marekani kuwa unapaa sasa hivi lakini hali ni kinyume kabisa sasa hivi uchumi unasuasua na kuna uwezekano ukaanguka zaidi?

Inakuwaje China ambayo haina vita inafanya vizuri zaidi kiuchumi kuliko Marekani? Hawa si walitakiwa wawe nyuma kiuchumi ukilinganisha na Wamarekani ambao wanazitafuta vita kwa udi na uvumba?

Mkuu fuatilia na pia uwasome feds kwa makini,tembelea sites kama FRED, http://www.bea.gov/ nk utapata habari ambazo hazijachanganywa na siasa...
News Release: Gross Domestic Product
 
Mkuu BAK,umeniwekea habari ya wanasiasa na mimi nimekuwekea vitu vya jikoni vya feds wenyewe ila huja take time kudesa...

Hii hapo juu ndo key word, "We wonder if" Unaweza kunionyesha pahala kasema kwa uhakika kabisa?

Soma hapo juu Mkuu nilipoandika kwamba demand ya mafuta huongezeka wakati wa vita, na kutokana na demand hiyo kuongezeka ni lazima bei katika soko la dunia itaongezeka kwa kiasi kikubwa sana hata kama uchumi wa dunia unasuasua. Neno hili unaweza kulipeleka kokote kule kwa mtu anayefahamu demand and supply akakubaliana nami. Kamwe wakati wa vita ambazo nchi za magharibi zinashiriki bei ya mafuta katika soko la dunia haiwezi kushuka au kubakia kama ilivyo siku zote lazima itapanda tena sana tu na kuathiri uchumi wa nchi nyingi duniani na hivyo uchumi wa dunia.
 

Soma hapo juu Mkuu nilipoandika kwamba demand ya mafuta huongezeka wakati wa vita, na kutokana na demand hiyo kuongezeka ni lazima bei katika soko la dunia itaongezeka kwa kiasi kikubwa sana hata kama uchumi wa dunia unasuasua. Neno hili unaweza kulipeleka kokote kule kwa mtu anayefahamu demand and supply akakubaliana nami. Kamwe wakati wa vita ambazo nchi za magharibi zinashiriki bei ya mafuta katika soko la dunia haiwezi kushuka au kubakia kama ilivyo siku zote lazima itapanda tena sana tu na kuathiri uchumi wa nchi nyingi duniani na hivyo uchumi wa dunia.
Kama kweli kuna watu wanasubiri vita visimamishwe kwasababu hiyo ya kudhani kuwa vinawacost wao,basi watasubiri sana,kwasababu moja mkuu,hivi unawajuwa feds?
 
Mkuu fuatilia na pia uwasome feds kwa makini,tembelea sites kama FRED, U.S. Bureau of Economic Analysis (BEA) nk utapata habari ambazo hazijachanganywa na siasa...
News Release: Gross Domestic Product

Mkuu Mushi, jifikirie mwenyewe. Kwa mfano unaona bei ya mafuta imepanda. Una gari lako moja au mawili na familia yako. Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta na hivyo kusababisha asilimia kubwa ya mapato yako kutumika katika mafuta utatafuta sehemu nyingine katika bajeti yako ili ufidie hilo ongezeko la bei ya mafuta. Sasa wanaofikia maamuzi kama haya duniani ni wengi sana katika nchi mbali mbali ikiwemo Marekani.

Badala ya kutumia mapato yao kwa vitu vingine walivyokusudia kwa mfano renovation ya nyumba zao, kwenda vacation, kununua nyumba, kununua nguo n.k. wanaamua kuahirisha matumizi hayo labda mpaka hali itakapokuwa nzuri. Hili likitokea ndiyo unasikia kwamba consumer confidence imeshuka.

Sasa hili halitokei Marekani tu bali katika nchi nyingine nyingi duniani na hivyo kuathiri nchi moja moja na madhara yake yanakuwa kwa uchumi wa dunia nzima. Hapa ukiangalia kilichosababisha watu waahirishe au kupunguza matumizi yao ni ongezeko la bei ya mafuta katika soko la dunia ambalo limesababishwa na demand kubwa ya bidhaa hiyo kutokana na vita ambayo nchi za magharibi zinashiriki.

 
Mkuu Mushi, jifikirie mwenyewe. Kwa mfano unaona bei ya mafuta imepanda. Una gari lako moja au mawili na familia yako. Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta na hivyo kusababisha asilimia kubwa ya mapato yako kutumika katika mafuta utatafuta sehemu nyingine katika bajeti yako ili ufidie hilo ongezeko la bei ya mafuta. Sasa wanaofikia maamuzi kama haya duniani ni wengi sana katika nchi mbali mbali ikiwemo Marekani.

Badala ya kutumia mapato yao kwa vitu vingine walivyokusudia kwa mfano renovation ya nyumba zao, kwenda vacation, kununua nyumba, kununua nguo n.k. wanaamua kuahirisha matumizi hayo labda mpaka hali itakapokuwa nzuri. Hili likitokea ndiyo unasikia kwamba consumer confidence imeshuka.

Sasa hili halitokei Marekani tu bali katika nchi nyingine nyingi duniani na hivyo kuathiri nchi moja moja na madhara yake yanakuwa kwa uchumi wa dunia nzima. Hapa ukiangalia kilichosababisha watu waahirishe au kupunguza matumizi yao ni ongezeko la bei ya mafuta katika soko la dunia ambalo limesababishwa na demand kubwa ya bidhaa hiyo kutokana na vita ambayo nchi za magharibi zinashiriki.

Mkuu hiyo ni just an economic cycle,na kumaliza vita siyo solution ya kuimaliza,sidhani kama they look at it that way.
 
Kama kweli kuna watu wanasubiri vita visimamishwe kwasababu hiyo ya kudhani kuwa vinawacost wao,basi watasubiri sana,kwasababu moja mkuu,hivi unawajuwa feds?

Kwanini nisiwajue? Msikilize Ron Paul katika opening statement yake kuhusu vita na prosperity...Wengi wanakubaliana na huyu Babu lakini bahati mbaya opinion polls hazionyeshi hivyo.

 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo ni just an economic cycle,na kumaliza vita siyo solution ya kuimaliza,sidhani kama they look at it that way.

...Economic cycle ambayo imesababishwa na nini? haikutokea katika hali ya kawaida bali imesababishwa na vita.

 
...Economic cycle ambayo imesababishwa na nini? haikutokea katika hali ya kawaida bali imesababishwa na vita.

Exactly mkuu, and thats how they run the world, kuna wakati wa uharibifu,na kuna wakati wa reconstruction...
 
Exactly mkuu, and thats how they run the world, kuna wakati wa uharibifu,na kuna wakati wa reconstruction...

....Mkuu Mushi reconstruction ambayo kwa sasa imegomba, huwezi kufanya reconstruction kama hakuna pesa na wakati huo huo unajaribu kupunguza budget deficit...... na kama ujuavyo wale GOP kwa sasa wamekataa kabisa kupandisha kodi.
 
Vita vinalenga kwenye destruction then reconstruction, kumbuka hawa jamaa wanapigana mbali na kwao, thena kuna kucurve new sphere of influence kwa ajili ya natural resources na kuwasideline wapinzani wao kama vile china.
Chukulia mfano wa libya, wamarekani wameingiza dola bilion moja tu, lakini watakachovuna hapo ni mara alfu, bila kusahau kwamba this time libya imesharudishwa upande wao katika geopolitical game.

Kwa iraq, mafuta yamekuwa privatized, na makampuni ya mafuta ya marekani na uingereza yanakula shavu, kwa hiyo hawa jamaa wanaweza kuwa wametumia hizo dola trilion kadhaa, lakini in a long term hiyo pesa itarudi, na faida juu, na pia itawahakikishia hegemony katika energy resources zaidi kwa miongo kadhaa mbele. Wenzako hawaangalii karibu, wanaangalia mbali.

Vita itasababisha nchi zilizoshambuliwa baadae zilazimike kununua silaha kujenga upya majeshi yao, ni nani atasupply silaha?, ni hao hao waanzilishi wa vita.
 
Back
Top Bottom