Kwani wewe uko Tel Aviv? Habari unazoleta wewe ziaminike akileta mwingine unamuuliza uko Tehran. Kila media inaonyesha uko hapa kukaza fuvu tu.
Hebu punguza kupanik unatukana bila sababu utafikiri ni mimi ndio nakufunyua. Eti walikua Civilian area hivi mnadhani humu ndani kuna watoto mnaowadanganya danganya uko mitaani kwenu? Inteligency aliyonayo anakupiga halafu yeye ndio anaanza kutangaza nimeua watu fulani kadhaa baadae Iran ndio akaja ku confirm. Israel asingesema msingezipata hizi habari.
Narudia vita ni mkakati na mkakati huo unatekelezwa vyema sana na IADF. Sasa mkurupuko aliona Iran lazima IDF wauweke wazi raia wake wafahamu. Nyie hii ndio mnaita analia