Iran imekwisha!

Sijali

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
2,700
Reaction score
1,857
Inasikitisha kuona kwamba mbinu za 'watawala dunia' siku zote hufanikiwa. Kwa kweli Iran itakaposalimu amri kutakuwa hakuna tena hope ya kuweza kupambana na mfumo wa dunia 'world order' ulioko hivi sasa, kwani ni Iran pekee iliyokuwa 'haiogopi' kuupa shinikizo mfumo huo, kwa maneno na vitendo.
Wakati vuta -nikuvute baina ya Iran na mataifa ya magharibi na vibaraka wao (Waarabu) inaendelea, siku zote nilifikiria kuwa safari hii dola linalopingana na hawa litashinda. Lakini matukio yanayoendelea hivi sasa Iran, yaliyosababishwa na vikwazo ambavyo havijawahi kuwekewa taifa lolote duniani, hata former Soviet Union, yananifanya nikate tamaa. Labda tuangalie kitu gani kimepelekea kwenye hali hii ambayo sioni kuwa Iran itaibuka mshindi.
Binafsi naona kosa kubwa limesababishwa na mgando 'rigidity' ya uongozi wa Iran baada ya kuja Ahmedinedjad. Pamoja na mambo mengi mazuri aliyoyafanya, Ahmedinedjad amekuwa 'dogmatic' sana badala ya kuwa 'practical' kama rais aliyetangulia. Suala la nguvu za nuklia, ambalo kwa kweli naamini Iran haina haja hivi sasa ya kutengeneza silaha, lilipaswa kuendeshwa kwa ujanja mkubwa na mitego ya kisiasa, badala ya kuvumburuka na kuweweseka kila siku, mara kwa kukanusha Holocaust mara nyingine kwa kuitishia Israel. Ukweli ni kuwa nchi za Magharibi na hasa Marekani ni makoloni ya Israel na hayana hiari isipokuwa kufanya kile Israel inachotaka. Mtu anayetaka kujua undani kwa nini Israel ina nguvu hizi na asome historia ya mapinduzi ya Bolshevik. Kuna video nyingi kwenye utube pia zinazoelezea vizuri.
Yaelekea Ahmedinedjad na Khamenai hawajui vizuri jinsi gani mtandao wa wanaojiita Wayahudi ni mkubwa kiasi gani na ulioanza zaidi ya miaka 150 iliyopita kusuka mambo tunayoyaona hii leo. Ili kuushinda ilibidi waufahamu vizuri na kwenda nao kijanja. Mapambano dhidi ya mtandao huo, Uzayuni, yatachukua kwa uchache miaka 50 (Uzayuni ni mkuba kuliko Israel. Israel ni sehemu tu ya mpango mzima wa Uzayuni).
Si rahisi kuwalaumu viongozi wa Iran pekee, kwani mambo haya ni 'too complicated' kiasi kwamba wengi hapa hamtafahamu ninazungumzia nini! Mapambano ya kujinasua kutoka utawala wa dunia wa hawa jamaa ni makubwa mno na yanahitajia nchi nyingi zishirikiane. Nchi moja pekee haiwezi.
Ila kitu cha kulaumu ni kuwa Ahmedinedjad na Khamenai wanaona mapambano haya yatakwisha katika miaka michache tu na katika kipindi cha utawala wao! Hilo ndio kosa kuu walilofanya.

Haya niyaandikayo hayana uhusiano wowote na dini. Kama utadhani hivyo basi yaelekea hufahamu nazungumzia nini. Mfumo wa sasa wa dunia kwa kweli unaongozwa na watu wanaopinga dini-dini yeyote- infact, wengi huwaita 'Satanists' kwamba wanaabudu mashetani. Isipokuwa mara kwa mara wanatumia dini kuu:Uislamu,Ukristo,Uyahudi, Hindu nk kuendeleza mipango yao.
 
Hivi uzayuni ni nini jamani?

Ebo! Na wewe unajiita mwana wa kike wa Zayuni (Zion daughter) na huujui? Siku hizi kuna kitu kinaitwa Google, gota utazame. Tena nasikia iko ya Kiswahili! Katika dunia hii usipende kuambiwa, acha uvivu na tafuta mwenyewe uchague ipi unakubaliana nayo. Mambo ya kuambiwa saa nyingine si mazuri.
 
Kwasasa dunia ina mguu mmoja tu,ikijikwaa haitasimama tena.
 
kuna kale ka wimbo tulikuwa tunaimba enzi za sunday school, Sayuuni sayuuni, nina imani kwa kwamba nitafiiika kumbe ndo ZION hahahahaha
 
mkuu umeeleza vzr sana, ili kupambana na mfumo wa kiyahudi unaotawala dunia kwa sasa zinahitajika technic za hali ya juu na mashirikiano kutoka mataifa tofauti.
 

Lets wait and see!

 
kuna kale ka wimbo tulikuwa tunaimba enzi za sunday school, Sayuuni sayuuni, nina imani kwa kwamba nitafiiika kumbe ndo ZION hahahahaha

No, Zayooni kama sehemu takatifu kwenye mlima Sahyun, ni sawa kabisa. Ila kuna kikundi cha watu hatari sana walioli 'hijack' jina hilo na kulitumia kama alama ya madhehebu yao yenye shabaha ya kuleta serikali moja itakayoongoza dunia nzima kwa mfumo wao. (amabo wengi wanasema utakuwa wa kuabudu shetani. Ukitazama vizuri dunia inakoelekea kama kikundi hiki kitafaulu, bila shaka hivyo ndivyo itakavyokuwa. Hawa hawapendi nchi yeyote huru nje ya mfumo wao wa kisiasa na kifedha, benki (kama vile Iran) Mengine fanya utafiti mwenyewe ujue ni nani hasa hao.
 
Kwani ukimueleza maana yake utapungukiwa nini?Kama umeweza kuyasema yote hayo maana yake si umetuambia!Sasa kusema mambo ya kuambiwa saa nyingine si mazuri maana yake tusiamini ulichoandika hapa na tuone ni pumba tu?????
 

Komea hapo hapo..Kama hutaki kujibu si ukae kimya na upotezee....waache wenzio walimu wenye fani zao waelekeze....Huna sababu ya ku quote kila post Mr Sijali...
 
Last edited by a moderator:
Kwani ukimueleza maana yake utapungukiwa nini?Kama umeweza kuyasema yote hayo maana yake si umetuambia!Sasa kusema mambo ya kuambiwa saa nyingine si mazuri maana yake tusiamini ulichoandika hapa na tuone ni pumba tu?????

Senki yuu very much for this useful post...
 
"I know not with what weapons World War III will be fought, but World War IV will be fought with sticks and stones.".........I presume destruction of the world......mmarekani kashaishiwa,naye amekuwa kama chizi na rungu!
Albert Einstein
 
Kaka hapa unachangaya mambo ya ajabu.
Uzayuni ni harakati ya kihistoria iliyoweka misingi ya kuundwa kwa Dola la ISraeli.

Hizi "miniti ya wazee wa Zion" ni andiko la uwongo lililotungwa katika Urusi mnamo 1903 na kusambazwa na watu wenye chuki dhidi ya Wayahudi.
"The Protocols is one of the best-known and most-discussed examples of literary forgery, with analysis and proof of its fraudulent origin going as far back as 1921"
Soma zaidi na uchungulie marejeo mengi yaliyomo hapo.
The Protocols of the Elders of Zion - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Nachokielewa ni kwamba US alianzisha harakati za ugomvi huu na Iran kwa ajili ya kuja kuiangusha EUROZE, kwa sababu Umoja wa ulaya ulikuwa powerful, Germany ilikuwa inazidi kuwa powerful each day. Kwa US, umoja wa ulaya ulikuwa tishio sana ukilinganisha na China. Tujiulize, ni kwa nini vita ya chini chini kati ya US na Iran inavyozidi kupamba moto, ndivyo EU inavyozidi kusambaratika. EU haijaanguka kwa bahati mbaya...
 
ukweli ni kwamba waisrael ndio wanashika dunia sasa kwan mataifa yote dunian yamewekwa chini ya mfumo ambao unaongozwa nao,World Bank,UN, IMF,zote hizo na mataifa kama US na mengine makubwa yameshikwa na wayahud ,matajir wakubwa dunian kama akina gates,Rockefeller na wengine wengi wana asili ya kiyahud ingawa wanaishi nje ya israel kwani si wayahudi wote walirud mwaka1948 ilipoanzishwa tena taifa la Israel ndani ya Palestina
 
mkuu umeeleza vzr sana, ili kupambana na mfumo wa kiyahudi unaotawala dunia kwa sasa zinahitajika technic za hali ya juu na mashirikiano kutoka mataifa tofauti.

Archtecture ya hizo technics ni yao wenyewe, hapo ndipo ngoma nzito ilipo... wengi hawajui na hawaamini juu ya ukweli wa hawa waitwao Waisrael kuwa ndiyo wamiliki wa mataifa mengi (makoloni yao) ikiwemo marekani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…