Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,642
- Thread starter
- #41
walibweteka,ila sasa wana funguka.na wanasaidia wana iramba wenzao ktk mambo mengi ila elimu,wangewekeza ktk elimu tunge fika mbaliMoja ya wasomi wengi wa kwanza Tanzania wanyiramba wapo wengi mno ila wamejazana dar kwenye maofis makubwa... Ila hawatak kupambana kuelimisha jamii iliyobaki kijijini