Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Mazingira sawa ki-vipi? kwanini sisi waafrika tusiweke sawa mazingira yetu, hatuna mazingira ambayo unataka kuyaita sawa kwasababu hatuna uwezo, yaani mazingira akutengenezee yeye halafu uyatumie kumzidi kwa kukariri darasani halafu ujisifu kuwa una akili kuliko yeye, kwani tusitengeneze sisi hayo mazingira ya ushindi tangu utotoni thats funny... wamejitengenezea hayo mazingira kitu ambacho sisi kimetushinda.Wazungu na waafrica tukiwekwa mazingira sawa tangia watoto na kufundishwa the same thing, waafrica wana akili nyingi sana.
Gari watengeneze wao halafu sisi tujisifu kuwa tunajua kulikimbiza?