IPTL/PAP wamvaa David Kafulila

IPTL/PAP wamvaa David Kafulila

Tunachojuwa hapa kuna kitu, haiwezekani mpaka leo hio ripoti toka kwa mkaguzi mkuu haijatoka, na wahisani ghafla wanataka au wanampango wa kutukatia misaada, tusubiri hiyo ripoti, kama ikiwasafisha basi poa, ila kama BOT, IPTL na TANESCO walifanya UFISADI, basi lazima watu wafilisiwe na kunyea debe..

Kweli kabisa mkuu
 
Kafulila na wenzake waelekeze nguvu katika
mashirika ya umma yanayofilisika kila
kukicha huku na yeye akiwa sehemu ya ufilisi
huo, Watanzania tuwapuuze wabunge vibiriti
fitini kama Kafulila na wenzake waliokubali
kuweka pembeni uelewa wao na kutumika na
makampuni shindani dhidi yetu pamoja
Standard Chartered, vinginevyo ajiseme
hadharani yeye ni mbia wa Standard
Chartered.

Uchafuu mtupu
 
Hii ngoma nzito..ina vigogo kadhaa humu..CCM lazima wajisafishe kama kweli wana nia...
 
Kweli sisi wabongo ni wajinga yan mijitu mikubwa inakuja jf kutetea mifisadi

Umepewa shilingi ngapi na Kafulila wewe tembele? Maana tunafahamu watanzania kuwa wote wanaopiga kelele kuwa kunaufisadi kwenye escrow lazima wamekula mgao kutoka kwa Kafulila na Zitto. Tena kama wewe nyau wa k..ke , unaonekana wagharama ndogo sana wewe hata buku 10 hujafika kama wenzako, p..ka wewe! Unajua nini wewe kuhusu escrow account wewe, acha kukurupuka kama ki..b..bwa, jisimamie wewe hivi visenti mnavyohongwa vijana kutetea ujinga huu wa Kafulila vitawatokea kwenye masaburi. Watu wazima wenye ufahamu wamekaa kimya wamewaacha wanasiasa uchwara Zitto na Kafulila waendelee kuropoka peke yao, wewe nyau ndio unatokwa na uh...ro humu kujifanya unauchungu kuliko sisi wengine, acha kushabikia us...nge wewe! We ulitaka umeme wagawe bure? Kama ni capacity charge mpaka leo symbion ya Rostam na wamarekani wake wanalipwa mbona Zitto na Kafulila hawasemi? Acha kutumika kwa ajenda usizozijua kijana, unakalilishwa neno ufisadi na wewe unahemka tu! Wenzako wanatengeneza majina ya kisiasa na pesa wewe unahemka tu kisa buku 10 ulizopewa.
Subiri ripoti sasa alafu urudi kuhemka tena.
 
Kweli sisi wabongo ni wajinga yan mijitu mikubwa inakuja jf kutetea mifisadi

Alafu ukome kuita watanzania wajinga nyau wak...ke wewe, mjinga wewe na wa kw...nu wote siyo watanzania waliokataa ujinga wa Kafulila na Zitto. Dude kubwa kama UKAWA na macivil society yote yamekataa kulishwa sumu za tumbili na msaliti wewe kik.....mba ndio unajifanya mjuaji.
 
Umepewa shilingi ngapi na Kafulila wewe tembele? Maana tunafahamu watanzania kuwa wote wanaopiga kelele kuwa kunaufisadi kwenye escrow lazima wamekula mgao kutoka kwa Kafulila na Zitto. Tena kama wewe nyau wa k..ke , unaonekana wagharama ndogo sana wewe hata buku 10 hujafika kama wenzako, p..ka wewe! Unajua nini wewe kuhusu escrow account wewe, acha kukurupuka kama ki..b..bwa, jisimamie wewe hivi visenti mnavyohongwa vijana kutetea ujinga huu wa Kafulila vitawatokea kwenye masaburi. Watu wazima wenye ufahamu wamekaa kimya wamewaacha wanasiasa uchwara Zitto na Kafulila waendelee kuropoka peke yao, wewe nyau ndio unatokwa na uh...ro humu kujifanya unauchungu kuliko sisi wengine, acha kushabikia us...nge wewe! We ulitaka umeme wagawe bure? Kama ni capacity charge mpaka leo symbion ya Rostam na wamarekani wake wanalipwa mbona Zitto na Kafulila hawasemi? Acha kutumika kwa ajenda usizozijua kijana, unakalilishwa neno ufisadi na wewe unahemka tu! Wenzako wanatengeneza majina ya kisiasa na pesa wewe unahemka tu kisa buku 10 ulizopewa.
Subiri ripoti sasa alafu urudi kuhemka tena.
Mkuu labda nyie ndo mnalipwa maana mnashupalia humu jf kutete wezi wa mali za nchi yenu kweli nyie mambulula wa kutupa kabisa
Asa baadae watoto mnategemea watarithi nn ktk nchi hebu amken nyievvijana
 
Mkuu labda nyie ndo mnalipwa maana mnashupalia humu jf kutete wezi wa mali za nchi yenu kweli nyie mambulula wa kutupa kabisa
Asa baadae watoto mnategemea watarithi nn ktk nchi hebu amken nyievvijana

Toa uk...ma wewe! Mbulula m..mako ms..nge wewe!! unatoka kamasi kutete ujinga wa kafulila kwa buku 10, tafuta kazi ufanye kijana mjini ukiwa unadanganyika kirahisi hivyo utaf...rwa nyau wewe.
Nimekuuliza unajua nini kuhusu escrow account unashindwa kujibu alafu unakurupuka kuongea ujinga, wezi wa hii nchi unawajua wewe?? Angalia mashirika ya umma yote yamekwisha kufirisika huo ndio wizi wa mali ya umma, EPA, RCHMOND, Meremeta, KIWILA, Mazabuni yanapandishwa bei huko kwa ajiri ya 10%, Upo uchafu mwingi tu kwenye hii nchi unafanywa kila siku. Unakurupuka eti wizi wa mali ya nchi! Unajua hata chanzo cha escrow account wewe, Unajua Power Purchase Agreement inatamka nini? Nimekuuliza unajua kwamba mpaka leo SYMBION ya wamarekani na mbia wao ROSTAM wanachukua hela ya Capacity Charge kutoka TANESCO na wanaidai serikali Mabilioni ya shiringi wakati wote tunajua chanzo cha SYMBION ni DOWANS na mama yao ni RICHMOND.
Acha ujinga wewe! unaniquote kwa uh...ro wa hivyo, IPTL wamezalisha umeme, kama swala ni Capacity Charge, IPTL walishusha capacity charge kutoka $ 3.6 mil mpaka $ 2.6 mil.

""" Mwaka2006 serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Wizara ya Nishatina Madini, shirika la IPTL na Benki Kuu ya Tanzania (wakala) kutokana naMkataba wa kuzalisha na kuuza umeme kutoka IPTL kwenda TANESCO kulianzishwaakaunti ya ESCROW.MAtakwa ya makubaliano ya kuanzishwa na kutekelezwa kwa mradi wa kujenga,kuendesha na kuzalisha umeme wa kuuza kati ya kampuni binafsi ya IPTL naTANESCO ni kwa serikali kufungua letters of credit au kufungua akaunti ya ESCROW.
Akauntihiyo siyo fedha za serikali bali ni fedha ambazo ziliwekwa kutokana na matakwaya mkataba wa kuuza umeme kwa TANESCO kutoka kampuni binafsi. Katika mkataba wakufungua akaunti ya ESCROW kuna kifungu kinasomeka, "required amount means theamount in Tshs. That the government of Tanzania shall deposit from time to timein the ESCROW account which equals not less than two months estimated tariffpayments under the PPA, provided that such amount shall be adjusted annually byIPTL and TANESCO pursuant in the PPA in the article 11 hereof, and governmentof Tanzania will be entitled will be entitled to review independently, thecalculation of the required amount pursuant to this agreement".
Tafsiriyake kwa Kiswahili ni kwamba "kiasi kinachopaswa kuingizwa na serikali katikaakaunti ya ESCROW ni kile ambacho kinalingana na madai ya malipo sawa na miezimiwili ya gharama ya kuuza umeme ambazo IPTL inadai TANESCO, IPTL na TANESCOwatafanya marejeo kuhusiana na kiasi cha gharama za umeme kila mwaka. Hayo nikwa mujibu wa makubaliano ya kuuza na kununua umeme kwa mujibu wa makubalianoya mkataba wa mauzo ya umeme (Power Purchasing Agreement) au kwa kifupi PPA nakama ilivyobainishwa kwenye kifungu cha 11. Serikali itakuwa huru kufanyatathmimini yake kuhusu gharama halisi za uzalishaji na uuzaji wa umeme kwamujibu wa mkataba wa PPA.""""
 
Kwainavyoonekana hata ripoti ikitoka Kafulila na mazombi wengine hawawezi kuikubali, maana ni kichaa peke yake ambae anaweza sema pesa iliyotunzwa kwenye account ya escrow wakati ikisubiriwa suruhisho la dispute ya capacity charge baina ya TANESCO na IPTL pia suruhu ya mgogoro wa wabia wa IPTL ( MECHMAR na VIPEM) upate ufumbuzi, ni pesa ya umma. Kwani IPTL walikuwa wanatoa umeme wao bure? Kumbuka baada ya hukumu ya ICSD capacity charge ilishushwa kutoka $ 3.6 mil mpaka $ 2.6 mil.
Je unajua ni makampuni mangapi ambayo yanaitoza serikali ( TANESCO ) capacity charge?? Kwanini IPTL hawastahili malipo yao yaliyotunzwa kwenye escrow account kusubiri dispute yao na TANESCO iishe?? Je kama tatizo ni capacity charge na kama tatizo hilo limepatiwa ufumbuzi kwanini ITPL wasilipwe fedha yao?
 
Kweli wezi ni wezi, mini kinachowataabisha, subirini hukumu ya wananchi.

Leaving other people to speculate and going on giving
misleading information about the money is not proper. Facts
are available that clearly shows that the money in escrow
account do not belong to the public. It is privately-owned
money.
 
Toa uk...ma wewe! Mbulula m..mako ms..nge wewe!! unatoka kamasi kutete ujinga wa kafulila kwa buku 10, tafuta kazi ufanye kijana mjini ukiwa unadanganyika kirahisi hivyo utaf...rwa nyau wewe.
Nimekuuliza unajua nini kuhusu escrow account unashindwa kujibu alafu unakurupuka kuongea ujinga, wezi wa hii nchi unawajua wewe?? Angalia mashirika ya umma yote yamekwisha kufirisika huo ndio wizi wa mali ya umma, EPA, RCHMOND, Meremeta, KIWILA, Mazabuni yanapandishwa bei huko kwa ajiri ya 10%, Upo uchafu mwingi tu kwenye hii nchi unafanywa kila siku. Unakurupuka eti wizi wa mali ya nchi! Unajua hata chanzo cha escrow account wewe, Unajua Power Purchase Agreement inatamka nini? Nimekuuliza unajua kwamba mpaka leo SYMBION ya wamarekani na mbia wao ROSTAM wanachukua hela ya Capacity Charge kutoka TANESCO na wanaidai serikali Mabilioni ya shiringi wakati wote tunajua chanzo cha SYMBION ni DOWANS na mama yao ni RICHMOND.
Acha ujinga wewe! unaniquote kwa uh...ro wa hivyo, IPTL wamezalisha umeme, kama swala ni Capacity Charge, IPTL walishusha capacity charge kutoka $ 3.6 mil mpaka $ 2.6 mil.

""" Mwaka2006 serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Wizara ya Nishatina Madini, shirika la IPTL na Benki Kuu ya Tanzania (wakala) kutokana naMkataba wa kuzalisha na kuuza umeme kutoka IPTL kwenda TANESCO kulianzishwaakaunti ya ESCROW.MAtakwa ya makubaliano ya kuanzishwa na kutekelezwa kwa mradi wa kujenga,kuendesha na kuzalisha umeme wa kuuza kati ya kampuni binafsi ya IPTL naTANESCO ni kwa serikali kufungua letters of credit au kufungua akaunti ya ESCROW.
Akauntihiyo siyo fedha za serikali bali ni fedha ambazo ziliwekwa kutokana na matakwaya mkataba wa kuuza umeme kwa TANESCO kutoka kampuni binafsi. Katika mkataba wakufungua akaunti ya ESCROW kuna kifungu kinasomeka, “required amount means theamount in Tshs. That the government of Tanzania shall deposit from time to timein the ESCROW account which equals not less than two months estimated tariffpayments under the PPA, provided that such amount shall be adjusted annually byIPTL and TANESCO pursuant in the PPA in the article 11 hereof, and governmentof Tanzania will be entitled will be entitled to review independently, thecalculation of the required amount pursuant to this agreement”.
Tafsiriyake kwa Kiswahili ni kwamba “kiasi kinachopaswa kuingizwa na serikali katikaakaunti ya ESCROW ni kile ambacho kinalingana na madai ya malipo sawa na miezimiwili ya gharama ya kuuza umeme ambazo IPTL inadai TANESCO, IPTL na TANESCOwatafanya marejeo kuhusiana na kiasi cha gharama za umeme kila mwaka. Hayo nikwa mujibu wa makubaliano ya kuuza na kununua umeme kwa mujibu wa makubalianoya mkataba wa mauzo ya umeme (Power Purchasing Agreement) au kwa kifupi PPA nakama ilivyobainishwa kwenye kifungu cha 11. Serikali itakuwa huru kufanyatathmimini yake kuhusu gharama halisi za uzalishaji na uuzaji wa umeme kwamujibu wa mkataba wa PPA.""""
Leaving other people to speculate and going on giving
misleading information about the money is not proper. Facts
are available that clearly shows that the money in escrow
account do not belong to the public. It is privately-owned
money.
 
Leaving other people to speculate and going on giving
misleading information about the money is not proper. Facts
are available that clearly shows that the money in escrow
account do not belong to the public. It is privately-owned
money.

Andikeni kwa Kiswahili acheni kuboronga lugha za wenzenu.
 
Ukiangalia vema uchangiaji ni kama hoja kubwa inajibiwa kwa kuzomea zomea na kutishatisha hivi....
 
Ac fake za kuitetea kampuni ya kitapeli IPTL zimefunguliwa kama njugu..yaani watu wazima sijui vijana sijui watoto wameshupaa kuitetea kampuni ambayo imewaibia watanzania hata bila aibu.
how comes mtu unaipigia debe kampuni yenye kashfa ambayo inachinguzwa wewe tayari unaisafisha kwenye mitandao hata bila kuwaonea huruma ndugu zako ambao hawanufaiki kama wewe ulivyo lipwa kuitetea iptl kwa udi na uvumba..
poor Tanzanians tunakuwa cheap hivi jamani.!!!!!!!!!!!!
 


chanzo: Gazeti la majira 8th october 2014


http://habarihuru.blogspot.com/2014/10/iptlpap-yamvaa-kafulila.html
kafulila mchumia tumbo tu kama mwenzake zito kabwe,wanaleta habari zao za tamaa hapa wakati wananchi wanaitaji maisha bora,wao wanaleta habari za polojo na maneno ya kashfa dhidi ya wengine wakati wao ndio vinala wa mambo maovu na wala rushwa wakubwa.
 
kafulila mchumia tumbo tu kama mwenzake zito kabwe,wanaleta habari zao za tamaa hapa wakati wananchi wanaitaji maisha bora,wao wanaleta habari za polojo na maneno ya kashfa dhidi ya wengine wakati wao ndio vinala wa mambo maovu na wala rushwa wakubwa.
Unalipwa kiasi gani kupotosha hii kitu? Mnanikumbusha enzi za epa mlikuwa hivihivi na kibaraka wenu Sita alienda mbali kuwa atawashtaki kina Slaa. Mwisho mkaumbuka mbaya hata baada ya Takukuru kuwasafisha. Ila najiuliza hivi hata wewe ni Mtanzania? Au nawe ni ukoo wa Mwakagenda aliye na historia hiyo tangu akiwa TRA?? Kwanini mnatumika kukandamiza maslahi ya wanyonge??? Nilisoma historia kuwa baadhi ya babu zetu walijipendekeza kwa wazungu na waarabu kisha wakawa upande wa wakoloni na kuwafanyia madhila ya hatari wenzao, nikajiuliza ingekuwa leo ingekuwaje, nimeshapata majibu kumbe hawaishi mpo hata leo.
 
Back
Top Bottom