kweli kabisa mkuu....kama amehongwa bilion 3.1 basi ajitayarishe kulipa fidia ya bilioni 5.6.
Atazinyea wap hizo b 5
kweli kabisa mkuu....kama amehongwa bilion 3.1 basi ajitayarishe kulipa fidia ya bilioni 5.6.
Kweli wezi ni wezi, mini kinachowataabisha, subirini hukumu ya wananchi.
IPTL wezi tu na wote mnaoitetea ni wapumbavu sana hamna hata uzalendo kwa nchi yenu basi hizo pesa mnazolipwa kuwatetea IPTL na iwe laana kwenu na watoto wenu,msifanikiwe na daima vizazi kwenu visiwe na amani
Chakufanya haombe radhi kwa kwa iptl na watz kwa kuwapotezea muda wao
Leo ndo nmeelewa vizuri
ahahahahaha umenifurahishaa kweliKafulila means kufulia sasa jina lake linaashiria tabia yake kwa asilimia 100
mkuu mbona kafulila anawamuatack iptl mbona umesemi au ndo kunya anyeee kuku akinya bata kaharishaHii taarifa mbona nyepesi sana,huyo mwanasheria wa iptl mwepesi sana,ame dwell sana kum attack kafulila badala ya kuandika mambo yanayo eleweka.
Anamshambulia kafulila wakati mambo haya yanajulikana walivyo tuibia kwa mbinu za kisheria.
UFISADI
mkuu mbona kafulila anawamuatack iptl mbona umesemi au ndo kunya anyeee kuku akinya bata kaharisha
hacha kupendelea upande mmoja wewe pima hoja za upanda zote then ndoo uwonge
CAG si amesema ripot ipo kwenye hatua za mwisho kukamilika,sasa iweje mmshurutishe kuitoa ripot wakati bado haijakamilika?Tunachojuwa hapa kuna kitu, haiwezekani mpaka leo hio ripoti toka kwa mkaguzi mkuu haijatoka, na wahisani ghafla wanataka au wanampango wa kutukatia misaada, tusubiri hiyo ripoti, kama ikiwasafisha basi poa, ila kama BOT, IPTL na TANESCO walifanya UFISADI, basi lazima watu wafilisiwe na kunyea debe..
Kafulila anajua fitna huyu mtuu
kabisa mkuuKafulila na wenzake waelekeze nguvu katika
mashirika ya umma yanayofilisika kila
kukicha huku na yeye akiwa sehemu ya ufilisi
huo, Watanzania tuwapuuze wabunge vibiriti
fitini kama Kafulila na wenzake waliokubali
kuweka pembeni uelewa wao na kutumika na
makampuni shindani dhidi yetu pamoja
Standard Chartered, vinginevyo ajiseme
hadharani yeye ni mbia wa Standard
Chartered.
kabisa mkuukafulila kama ni fitna........fitna anaijua kweli kweli.muacheni afanye kazi yake maana hiyo nadhani ndio kazi inayomfaa kafulila.
tusubiri tu ripot mkuuTunachojuwa hapa kuna kitu, haiwezekani mpaka leo hio ripoti toka kwa mkaguzi mkuu haijatoka, na wahisani ghafla wanataka au wanampango wa kutukatia misaada, tusubiri hiyo ripoti, kama ikiwasafisha basi poa, ila kama BOT, IPTL na TANESCO walifanya UFISADI, basi lazima watu wafilisiwe na kunyea debe..