Ipo Siku Rais Samia Atandika nae kitabu.

Ipo Siku Rais Samia Atandika nae kitabu.

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,337
Reaction score
4,848
Habari wanajukwaa.

Binadamu alie na madaraka au mamlaka au Nguvu hua anataka kukumbukwa vizazi na vizazi hata baada ya Mamlaka aliyonayo kuisha hii hulka ni toka enzi na enzi.

Sa anakumbukwa vipi maana kama Nguvu anakua hana Tena za kutoa Amri so hapo njia pekee hua ni kuandika kitabu au vitabu...

Na katika Nchi yetu hadi saiv Marais wetu watatu waliopita walishaandika vitabu ambavyo tunavisoma na kuona maono yao na confession zao nyingi.
Nyerere kaandika ving sana, Mwinyi kaandika na Mkapa pia I think hata JK atakua yupo anaandika.
Magufuli hakuandika because alipatwa mauti kabla ya tenure yake kuisha...the next will be SAMIA.

Hapo ndipo nawaza nasema siku akiandika tegemeeni atajilaumu kwa haya yanayoendelea ya kupotea watu kukandamiza upinzani na atasema alifanya kosa sana.
Na hakuna kitu tutamfanya...itabaki kusema Rais mstaafu kakiri kumbe inaonyesha alikua anaelewa the same vile hua tunasema leo ya waliopita baada ya kufanya Confession zao kwenye vitabu na tunawaonaga wamaana sana kumbe upuuzi tu.

Ijumaa Njema
 
Labda kama unadhani Samia ana shida na uraisi kuliko mafisadi yanayotaka abaki na huo raisi kwa faida yao.

Politics sio rahisi, hasa pale civil services Inapokuwa weak ndio shida ya Tanzania.

Yaani kuna watu wapo tayari kutengeneza ‘’arm dealers’ (do you know the connections and licences required), kisa tu wapige deal zao.

Yaani tumefikia hatua serikali
ya Tanzania inanunua silaha kupitia an ‘arm dealer’ wa kutengeneza do we understand access tunayomtengenezea huyu mtu

Anyway na huyo dealer awe anajiamini, vinginevyo elewa serikali ya maana ikiingia madarakani ‘you are dead ‘.

Nonetheless the stupidity ya hawa watu is beyond me, vyombo vya ulinzi na usalama vinatengeneza hawa watu do they know risks associated the stupidity is beyond me.

Like seriously yaani kuna raia wanajua latest weapons za walinzi wa raisi, PSU hawana coordination na other security forces. Just a few of the detected nonsense; oh my god.

Whet a shitty county.

It’s nit a joke, usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili ndio maana ukaitwa ‘intelligence services’ the meaning is literally.
 
Shida mnasubiria vitabu kwa nini msimuoneshe
 
Back
Top Bottom