M Molembe JF-Expert Member Dec 25, 2012 9,821 11,527 Dec 5, 2013 #161 FaizaFoxy said: JF is never boring - The Boss Click to expand... Wewe ajuza ndo unaboa humu na udini wako. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
FaizaFoxy said: JF is never boring - The Boss Click to expand... Wewe ajuza ndo unaboa humu na udini wako.
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 Dec 5, 2013 #162 kwahiyo wewe hilo pepo la kuchelewa unalipenda sana? ama kweli shetani wa mtu ni mtu mwenyewe.
hekimatele JF-Expert Member May 31, 2011 9,884 2,781 Dec 5, 2013 #163 we inaelekea unafurahia unapoombewa ila basi tu umeamua kuja kujibaraguza hapa. Maombi yaendelee tu bhana ili pepo la naniliu nalo liishe
we inaelekea unafurahia unapoombewa ila basi tu umeamua kuja kujibaraguza hapa. Maombi yaendelee tu bhana ili pepo la naniliu nalo liishe