IPO Sikh mtaikumbuka sana hii comment.
[HASHTAG]#olewakouandamane[/HASHTAG]


na ipo siku mtalikumbka hili cheko🙏 🙏 🙏 ❣️Kabisa
Sijapata jawabu hii ni nini
Nini tukumbuke?"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.
Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.
Pablo Blanco
Akizinduka mtakomaYaaaani anavopenda kutusuta leo hii tunamtafuta kwa udi na uvumba??? Napata mashaka sana. Maana tungeshafokewa mpk raha![]()
Hapo kwenye avater ni wewe mwenyewe cha pombe??Uzi titeless kama huu ukumbukwe kwa lipi?
Kiboko huyoSijapata jawabu hii ni nini
Tayari jiwe limeshakua mkate,na mkate huo uko mbele ya chai!Kwani jiwe halijapasuka tu
Kuna kipindi watu walispeculate hivi hivi afu akaamka,alikuwa kachokaa,kanyongea anaapisha watu Ikulu.Nusu nizimie ndio maana sishabikii japo I wish I could be IGP!hazinduki yupo na mashetani now
Wee Pablo kwa nini ulitabiri mabo karibu na ukweli!"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.
Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.
Pablo Blanco