Ipo siku mtaukumbuka huu uzi

Ipo siku mtaukumbuka huu uzi

"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.

Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.

Pablo Blanco
Nini tukumbuke?

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
20210110110645_-892369244_3453655099485995732_320_427_75_webp.jpg
 
"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.

Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.

Pablo Blanco
Wee Pablo kwa nini ulitabiri mabo karibu na ukweli!
 
Back
Top Bottom