mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,412
- 8,398
Majina ya jamaa karibu yatajaa fuso.
Habari zenu mabibi na mabwana. Natumai mu wazima wa afya.
Nimeamua kuja mbele yenu nikifofia usalama abiria wanaopanda mara nyingi hili bus linalo fahamika kwa jina la SIJALI.
Kila asubuhi naliona hili bus likiondoka kwa mwendo wa kasi bila kujali sheria za usalama barabarani, huku abiria wanao keti siti za mbele wakishangilia kwa nguvu na kumpa mizuka dereva yakuongeza kasi. Na dereva huyu anafahamika kwa jina la Mpambalyoto, huwa hasikilizi abilia wanyuma wanao lalamika kuwa dereva ana unja sheria.
Nilipojaribu kumsogelea askari wa usalama barabarani nakumuuliza kulikoni, mbona huyu dereva anavunja sheria? Akijibu hata yeye hafahamu ni kwanini, kwani dereva Mpambalyoto amekuwa ni mwalimu wa madereva kuwafundisha wenzake wazingatie sheria za usalama barabarani, lakini alipopewa hilo bus tu, amekuwa wa kwanza kuzivunja.
Ukitazama kwa nje, hilo bus ni kuu kuu hivi, matairi yake yanavipara lakini bwana Mpambalyoto analiondoa kwa kasi ya ajabu hasikii ya mtu. Lakini siku za hivi karibuni naona hata wale abiria wa mbele wameacha kumtia mizuka dereva, wanaona hali ya hatari mbele yao, akili imewajia. Abiria wa nyuma wamejawa hofu ya kukata tamaa na maisha yao.
Hivi dereva wa hivyo hata ukimwambia "nashuka" atakusikia kweli!?Kwa sasa ndani ya basi kuna harufu ya kitu kama kinaungua.
Tunga hadithi yako, acha huyu Mpambalyoto aendeleze vurugu barabaraniMpambalyoto kumbe DJ hana hata leseni ya udereva, ndiyo maana ana-change gia angani, mbaya zaidi ni mkwepa kodi na ana madeni kila benki.
Itakuwa breki ndio kwaheri hiyooKwa sasa ndani ya basi kuna harufu ya kitu kama kinaungua.
Kila leo linatoka jipyaMajina ya jamaa karibu yatajaa fuso.
Teh teh teh tehHabari zenu mabibi na mabwana. Natumai mu wazima wa afya.
Nimeamua kuja mbele yenu nikifofia usalama abiria wanaopanda mara nyingi hili bus linalo fahamika kwa jina la SIJALI.
Kila asubuhi naliona hili bus likiondoka kwa mwendo wa kasi bila kujali sheria za usalama barabarani, huku abiria wanao keti siti za mbele wakishangilia kwa nguvu na kumpa mizuka dereva yakuongeza kasi. Na dereva huyu anafahamika kwa jina la Mpambalyoto, huwa hasikilizi abilia wanyuma wanao lalamika kuwa dereva ana unja sheria.
Nilipojaribu kumsogelea askari wa usalama barabarani nakumuuliza kulikoni, mbona huyu dereva anavunja sheria? Akijibu hata yeye hafahamu ni kwanini, kwani dereva Mpambalyoto amekuwa ni mwalimu wa madereva kuwafundisha wenzake wazingatie sheria za usalama barabarani, lakini alipopewa hilo bus tu, amekuwa wa kwanza kuzivunja.
Ukitazama kwa nje, hilo bus ni kuu kuu hivi, matairi yake yanavipara lakini bwana Mpambalyoto analiondoa kwa kasi ya ajabu hasikii ya mtu. Lakini siku za hivi karibuni naona hata wale abiria wa mbele wameacha kumtia mizuka dereva, wanaona hali ya hatari mbele yao, akili imewajia. Abiria wa nyuma wamejawa hofu ya kukata tamaa na maisha yao.
Naona kuna mshika spana mmoja na yeye anafata mkondo huo huoDooh Mpambalyoto jamani jaribu kusikiliza abiria, Sumatra naona nao wanamuogopa...!