luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wadau mlio na experience ya kutumia simu toka katika izi chapa 2 ni ipi Kali kuliko mwenzie
J ace Samsung au iphone 4?Pls buy Samsung & Iphone, utakuja unishukuru baadaye!
okay, ila izi chapa ww unazionaje ?Pls buy Samsung & Iphone, utakuja unishukuru baadaye!
Ah iPhone 4 ?J ace Samsung au iphone 4?
Okay, oppo gan iyo mkuuBinafsi kati ya hizo natumia Oppo ipo vizuri nimeipenda sana.
Unnecessary. Kwa nini ununue kitu duni while kuna bora zaidi?okay, ila izi chapa ww unazionaje ?
Poor tree!J ace Samsung au iphone 4?
Sio wote Wana mfuko sawaUnnecessary. Kwa nini ununue kitu duni while kuna bora zaidi?
Watoto wa baba mmoja, sema nadhani oppo kali zaidi ila ingekuwa vzuri ungeweka model kabisa, vivo nliona boxing therapy anasema vivo latest ina camera moja ya kupga pcha gizani like no any other phone on the marketWadau mlio na experience ya kutumia simu toka ktk izi chapa 2 ni ipi Kali kuliko mwenzie
Pls buy Samsung & Iphone, utakuja unishukuru baadaye!
Wana mabei. Yaaan bei ya simu 1 sawa na kununua ng'ombeChukua Vivo inakaa na charge vibaya mno na camera ni noma..... na vile wanastrugle kupenetrate bei ni rafiki.
Ni simu moja majina mawili tofauti karibia oppo zote zina pacha wake anaitwa Vivo kasoro tu model chache. Brand zote mmiliki mmoja BBK.Wadau mlio na experience ya kutumia simu toka katika izi chapa 2 ni ipi Kali kuliko mwenzie
Kumbe mzalishaji wait no mmojaNi simu moja majina mawili tofauti karibia oppo zote zina pacha wake anaitwa Vivo kasoro tu model chache. Brand zote mmiliki mmoja BBK.
Pia vyema ungetaja na Model.
A54 mbona ina punch hole, haifanani na iphone.Kumbe mzalishaji wait no mmoja
Ila Oppo mbona screen yake kama iphone iv ...nimebahatika kuona Oppo A54 ina muonekano kama iphone iv