Ipi sahihi? "What a hell" au "What the hell"

Ipi sahihi? "What a hell" au "What the hell"

Shoree umeniwahijeee ndo nlikua nakuja kuanzisha uzi about it
What a hell doesn't make sense
Navoona semantically correct ni 'what the hell'..
 
Kuna kitu Linguists tunaita POETIC LICENCE..huu ni uhuru anaopewa mtunzi wa mashairi au muziki kuvunja taratibu za uandishi za Kigramatiki ili kuleta ladha ya mziki au shairi
Kiukweli Hell ni unique entinty hivyo hua tunatumia 'the' hell...
Lakini kwa fact hio mlioitoa happ juu nadhani utakua umenisoma!
 
waswahili bwana

hapo ukisikiliza hata maneno ya kiswahili yapo yakiyokosewa lkn huwa hatuoni shidaa...kosea lugha ya watu ni mjadala wa nguvu.

Mj napita zangu japo kakosea

the ndio sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Mkuu....ni vyema pia mleta UZI akasikiliza na zile HIP HOP za Nje (Ng'ambo) hapo ndio utajua na kubaini KUBOMOA Lugha wakati unaimba/unaghani Si kitu cha ajabu...!!

Kheri, mladi kupata vina, na kuhakikisha ujumbe unafika...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote ni sawa. Kwa mfano a boy na the boy. A boy ni kiwakilishi cha mvulana lakini the boy ni kiwakilishi cha mtu wa dhahiri anayezungumzwa / anayefahamika. Kwa hiyo a hell ni kwa ujumla wake na the hell ni jambo la dhahiri lililomsibu mtu.
 
Back
Top Bottom