3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 4,897
- 13,655
Kulingana na mada umejibu opukiwajua juujuu tu wasabato, unaweza dhani ni watakatifu sana, wana visa ya kuingia mbinguni moja kwa moja.
kaa nao kama wiki au mwezi, wanasengenyana hatari, hawapendani wao kwa wao halafu wanagombania vyeo kwenye makanisa yao utadhani wanasiasa.
nguvu kubwa wamewekeza ktk kuyakabili mafundisho ya kanisa katoliki. wanapandikizana hii sumu kutoka muumini mmoja mpaka mwingine.