NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,842
huko mitandaoni ishakua kawaida kukutana na memes zikionyesha picha yenye mtu ananaekunywa maji mengi au soda kuwa ni msabato,
unaweza kutana na picha mtu anakunywa maji au soda nyingi yanaandikwa maneno "pale msabato anapoenda bar kuondoa stress"
Hii sifa waliyojizolea wasabato nini chanzo chake??
unaweza kutana na picha mtu anakunywa maji au soda nyingi yanaandikwa maneno "pale msabato anapoenda bar kuondoa stress"
Hii sifa waliyojizolea wasabato nini chanzo chake??