best nimeipenda hii!!Sioni tatizo endapo utamzidi au hutamzidi umri.
Cha umuhimu ni kujua uko nae kwa Sababu ipi ktk maisha yako.
Me mbona shemeji yenu kanizidi miaka 19 lakini namtreat like tuko umri sawa nae haoni tatizo lolote?
Mapenzi hayanaga hyo ya umri.
Cha umuhimu ni kuwa Je, anafiti kila Idara ktk mwili wako?
Bhaaaas....!!!
hAhahahhaha!!! cjapatanaona umepata jibu lile lile nililokuambia,teh teh teh
mmmhhh!! hongereni!! hii piia imetulia!! akili kumkichwa!!Age is nothn wherever love exist! Mie nimeoana na mke wangu nimemzidi siku 25 tu! Tunapendana sana! Pia tumekuwa wachumba for 10 yrs!!!
Kulingana si tatizo kinachotakiwa mwanaume uwe kichwa kweli cha familia si upo upo tu hata kama umemzidi 5-10 yrs kama ni mwanaume usiyekuwa na uwezo wa kutatua matatizo na kuchukua maamuzi as a head of family mwanamke atakudharau tu! ( simaanishi kwamba uchukue maamuzi bila kumshirikisha mke). Cha msingi kichwa cha mwanamme kichaji zaidi ya mwanamke ili mke akuadmire kila siku!
Pia mambo flani uwe na uwezo wa kumpa kiasi atakacho, full stop!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
hahahhahah!! beibe nasty usinfurahshe best!! kuna mtu tumebishana sana about this so nkaona bora niulize wana chitchat nione mtazamo wao!! khaa!! mi nataka jibabu!! linlee kama mjukuu!!me machale yashancheza princess enny kafall kwa same age mwenzie ndo mana anakandamizia hapohapo[joke]
Ila in real sense atleast mwanababa awe kidogo kanizidi bt isiwe sana mana waweza jikuta watembea na babamzaz. Bt sio mbaya kwa watu wenye umri kuanzia 35 kulingana bt sio hawa 20 somthing hapa kutakua hakuna kitu
HAHAHa BHAAAAAS....Sioni tatizo endapo utamzidi au hutamzidi umri.
Cha umuhimu ni kujua uko nae kwa Sababu ipi ktk maisha yako.
Me mbona shemeji yenu kanizidi miaka 19 lakini namtreat like tuko umri sawa nae haoni tatizo lolote?
Mapenzi hayanaga hyo ya umri.
Cha umuhimu ni kuwa Je, anafiti kila Idara ktk mwili wako?
Bhaaaas....!!!
hAhahahhaha!!! cjapata
Marakhaba mdogo wangu beibe nasty.
Narudi kwako,eti umri ktk mapenzi unamata mdogo wangu?
endelea hvyohvyo wif yangu!! mi ndio maana nakupendaga!! <3nipo wifi yangu mpenzi. Nimekumiss sana. Umeona eeh kaka yako nampenda balaa
hahahah!! we Asulo acha ugomv!! yan mtu aolewe na mdogo wake!! hahahha!! but nimependa hapo kwnye blue!!
best nimeipenda hii!!
HAHAHa BHAAAAAS....
Dada mi jg kanipita mnoo tuu but akuu twajilia vyetu vinono bt idnt support sana kama mwanake akiwa mkubwa saaana kuliko mwanaume
endelea hvyohvyo wif yangu!! mi ndio maana nakupendaga!! <3
people say love doesnt care about age, but the facts is that, our intest,the way of thinking etc, all of them have some influences in our relationship(love), Nkirud kwenye topic kama ni mwanaume uwe na dem/mke uliyemzid na kama ni mwanamke uwe na mme anayekuzid, why so? It is because biologically women grow fast than men so wanazeeka mapema pia, on social law man is the head of family so he must be mentally matured to handle all family issues
Sioni tatizo endapo utamzidi au hutamzidi umri.
Cha umuhimu ni kujua uko nae kwa Sababu ipi ktk maisha yako.
Me mbona shemeji yenu kanizidi miaka 19 lakini namtreat like tuko umri sawa nae haoni tatizo lolote?
Mapenzi hayanaga hyo ya umri.
Cha umuhimu ni kuwa Je, anafiti kila Idara ktk mwili wako?
Bhaaaas....!!!