MUSHEKY
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 2,812
- 2,765
hahaha umri haujawahi kumuacha mtu salama.Utakuwa ni Mzee wa Bilicanas wewe!Kweli umri unakimbia, zamani nilikua navijua viwanja ila nilivyozeeka hapa vyote naviona vigeni kasoro maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wew ni mdau mkubwa wa elements, ukinyapia hapo tena hebu niPM tusomane.Shemela shemela....
Kiukweli naikubali zaidi Element
Next door jamani padogo,wanajazana mpaka Ac hazisaidii aisee, Full joto na kunuka jasho sipapendi,pazuri tho.
Hiyo London iko wapi niinyapie?,au ile ya river side??
Maisha basement mmmh!!!pako kama nextdoor tu.
Ha ha ha ha h. Nikinyapia nitakupmKumbe wew ni mdau mkubwa wa elements, ukinyapia hapo tena hebu niPM tusomane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu uzee haujaniacha salamahahaha umri haujawahi kumuacha mtu salama.Utakuwa ni Mzee wa Bilicanas wewe!



UEFA MOMBASA...
Billcanas ya wapi??kwa dar nahis hamba club kama
BILLCANAS
ila kwa usiku nahisi club ya SIMBA ipo vizuri
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
bilicanas posta ishafungwa aisee sahivi ni nextdoor na maisha basement ndio habari ya jiji aiseeBillcanas ya wapi??
Hahahaaa yani umenigusa hapahahaha umri haujawahi kumuacha mtu salama.Utakuwa ni Mzee wa Bilicanas wewe!
wanasemaga ya huko huko dar dada au nakosewBillcanas ya wapi??
HahahaHahahaaa yani umenigusa hapa
Mara ya mwisho kwenda Billz ilikuwa 2009. . Uzee haujatuacha salama kwa kweliHahaha
Bring back our Bilicanas
Imevunjwa mzee babawanasemaga ya huko huko dar dada au nakosew
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Sio imefungwa,ni imevunjwa. Next door wnajazana watoto mpaka Ac hazifanyi Kazi buana. Tukutane Element,triple 7,samaki samaki near Element,club 71 japokuwa haijaazi watu lakini pazuri sana huwa napapendabilicanas posta ishafungwa aisee sahivi ni nextdoor na maisha basement ndio habari ya jiji aisee