Ipi inaweza kuwa sababu ya Tulia kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Uspika?

Ipi inaweza kuwa sababu ya Tulia kujitoa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Uspika?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,773
Reaction score
35,993
Tulia Axon amejiondoa kugombea Uspika
Tukumbuke Tulia Akson ndo spika wa bunge la Dunia (IPU) na Kwa kupoteza nafasi ya Spika katika Taifa lake automatically anapoteza fursa ya kuwa Spika IPU

Tulitaraji CCM wangemtengezea nafasi ya kuwa Spika ili aendelee kuwa Spika huko IPu

Sababu

1. Maandamano ya mo29 yameanza kulipa, maana nasikia Gen z Mbeya walifika kwake kumsalimia

2. Kizimkazi anataka amweke Mzanzibar au chawa hataki mtu wa Bara tena

3. Dhamiri inamsta Kwa wizi wa kura

4 Kizimkazi anajaribu kuondoa watu wa JpM kwenye mihimili muhimu

5. Kizimkazi hataki akili kubwa anataka vilaza tu
Screenshot_20251107-175004.png
 
Tulia Axon amejiondoa kugombea Uspika
Tukumbuke Tulia Akson ndo spika wa bunge la Dunia (IPU) na Kwa kupoteza nafasi ya Spika katika Taifa lake automatically anapoteza fursa ya kuwa Spika IPU

Tulitaraji CCM wangemtengezea nafasi ya kuwa Spika ili aendelee kuwa Spika huko IPu

Sababu

1. Maandamano ya mo29 yameanza kulipa, maana nasikia Gen z Mbeya walifika kwake kumsalimia

2. Kizimkazi anataka amweke Mzanzibar au chawa hataki mtu wa Bara tena

3. Dhamiri inamsta Kwa wizi wa kura

4 Kizimkazi anajaribu kuondoa watu wa JpM kwenye mihimili muhimu

5. Kizimkazi hataki akili kubwa anataka vilaza tuView attachment 3498670
Very smart!!I'm proud of her. Nothing will be established on a crooked foundation
 
Kule IPU walimuweka kitimoto sanaaa Hadi akasema kwa vile ametoka Afrika Tanzania!? Sasa kwa namna media za nje zimereport uchaguzi wetu huu halafu yeye ndio awe spika wao ndio watamkaanga vizuri zaidi...so best way kupunguza tension na joto la nje ni apoteze hapa ili na kule atoke bila kuwekwa kitimoto.

Ni assumptions zangu tu, Sasa kama atapewa cheo kingine labda wizara hapo sijajua.
 
Tulia Axon amejiondoa kugombea Uspika
Tukumbuke Tulia Akson ndo spika wa bunge la Dunia (IPU) na Kwa kupoteza nafasi ya Spika katika Taifa lake automatically anapoteza fursa ya kuwa Spika IPU

Tulitaraji CCM wangemtengezea nafasi ya kuwa Spika ili aendelee kuwa Spika huko IPu

Sababu

1. Maandamano ya mo29 yameanza kulipa, maana nasikia Gen z Mbeya walifika kwake kumsalimia

2. Kizimkazi anataka amweke Mzanzibar au chawa hataki mtu wa Bara tena

3. Dhamiri inamsta Kwa wizi wa kura

4 Kizimkazi anajaribu kuondoa watu wa JpM kwenye mihimili muhimu

5. Kizimkazi hataki akili kubwa anataka vilaza tuView attachment 3498670
Kuna jambo ntakuambia waweza kataa ila ndio ukweli. Tulia Akson anasali kanisa la Pentekoste (MLOKOLE) na yupo karibu na Wachungaji na Askofu wao
Hao wote walimshauri sana kuhusu Dhulma na Maasi yanayotokea nchini ikiwezekana ajiengue na dhulma hizo naye kawa Mwaminifu ati
 
Back
Top Bottom