ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,773
- 35,993
Tulia Axon amejiondoa kugombea Uspika
Tukumbuke Tulia Akson ndo spika wa bunge la Dunia (IPU) na Kwa kupoteza nafasi ya Spika katika Taifa lake automatically anapoteza fursa ya kuwa Spika IPU
Tulitaraji CCM wangemtengezea nafasi ya kuwa Spika ili aendelee kuwa Spika huko IPu
Sababu
1. Maandamano ya mo29 yameanza kulipa, maana nasikia Gen z Mbeya walifika kwake kumsalimia
2. Kizimkazi anataka amweke Mzanzibar au chawa hataki mtu wa Bara tena
3. Dhamiri inamsta Kwa wizi wa kura
4 Kizimkazi anajaribu kuondoa watu wa JpM kwenye mihimili muhimu
5. Kizimkazi hataki akili kubwa anataka vilaza tu
Tukumbuke Tulia Akson ndo spika wa bunge la Dunia (IPU) na Kwa kupoteza nafasi ya Spika katika Taifa lake automatically anapoteza fursa ya kuwa Spika IPU
Tulitaraji CCM wangemtengezea nafasi ya kuwa Spika ili aendelee kuwa Spika huko IPu
Sababu
1. Maandamano ya mo29 yameanza kulipa, maana nasikia Gen z Mbeya walifika kwake kumsalimia
2. Kizimkazi anataka amweke Mzanzibar au chawa hataki mtu wa Bara tena
3. Dhamiri inamsta Kwa wizi wa kura
4 Kizimkazi anajaribu kuondoa watu wa JpM kwenye mihimili muhimu
5. Kizimkazi hataki akili kubwa anataka vilaza tu