Mie vyote vitaniumiza na usalama pia ni mdogo,ila ukifumaniwa usalama mdogo si kama we utakavyofumania
Ila cha msingi tujiepushe tu mana dah ikishakuwa kwenye kufumaniana hutaaminika tena na hakutakuwa na mapenzi ya dhati piaMie vyote vitaniumiza na usalama pia ni mdogo,
Coz nikifumania nitaumizwa na ile hali ya kusalitiwa na kubaki njia panda nisamehe au nichukue time,
Nikifumaniwa nitaumia pia kwa saliti nilioufanya na najua kbs hakuna cha msamaha na nitajilaum kwa ****** nilioufanya labda iwe nilikusudia ndipo naweza kuwa siumii sana!
Ni kweli kbs usemalo japo neno uaminifu siku hizi limekuwa msamiati!!Ila cha msingi tujiepushe tu mana dah ikishakuwa kwenye kufumaniana hutaaminika tena na hakutakuwa na mapenzi ya dhati pia
Hapo sasa ndio shuhuli inapoanzia,mapenzi siku hizi uhuru umezidi halafu watu wanataka fleva tofauti
Kufumania na kufumaniwa.
yah ndo naripoti
Dah mkuu pengo lako lilionekana ulienda kumega ulanzi nini?
Hivi kwani washawasha a.k.a mzee wa nalog off kapotelea wapi?..hehehe mbona nilikuwa sawa tu jamani wifi? Ingekuwa washawasha kweli maana sina raha hata kula siwezi