sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Nafurahi vile wewe mzima, rafiki mwambie awe anaaga bana manake anatupa shida kukubembeleza wakati hayupo!hehehe me mzima wifi.Nafurahi kumuona rafiki yangu karudi salama
Nafurahi vile wewe mzima, rafiki mwambie awe anaaga bana manake anatupa shida kukubembeleza wakati hayupo!hehehe me mzima wifi.Nafurahi kumuona rafiki yangu karudi salama
Bora na wewe umeona!
Nafurahi vile wewe mzima, rafiki mwambie awe anaaga bana manake anatupa shida kukubembeleza wakati hayupo!
mbona sisi ni marafiki tu,Kabakabana ana mme wake bhana.
Lol... Nasubiri kutambulishwa!itabidi nikutambulishe mume wangu sasa ili uwe na amani lol
Mh....haya!mbona sisi ni marafiki tu,Kabakabana ana mme wake bhana.
si ndo hapo sasa,labda mlifanya ndoa ya jamvini ndo mana hawajui
Lol... Nasubiri kutambulishwa!
Kweli Mkuu, ukifumania wewe ndie mwenye mali, unaweza kuamua chochote, lakini kufumaniwa, sio kuaibishwa ndogondogo tu, unaweza hata kuuliwa. Wengine waliofumaniwa wamewahi hata kukameruniwa.heri ufumanie bhana unaweza ukasamehe au kumwacha,but kufumaniwa utaaibishwa sana
kufumaniwa ni hatari sana mana hata usalama wako ni mdogoKweli Mkuu, ukifumania wewe ndie mwenye mali, unaweza kuamua chochote, lakini kufumaniwa, sio kuaibishwa ndogondogo tu, unaweza hata kuuliwa. Wengine waliofumaniwa wamewahi hata kukameruniwa.
Kufumania na kufumaniwa.
Kufumania na kufumaniwa.