Kwani nyie mmechukua model no.ngp Za c8 Coz me c8 yangu haijawah kua na matatizo uliyoyataja HPO juu na nimejaza app kubwakubwa km asphalt8,front line commando,n.k.....achilia mbali movies,music.n.k
kcamp mshana jr hii simu blu studio energy 2 inanivutia kwa swala la chaji pia ina 4G, ebu utazameni na muisaminisheMkuu usije kununua tecno yoyote
Jipinde ongeza 50 hapo utapata lg g2 zipo kwa 350 nyingi tu hata humu ndan kuna jamaa anauza kwa 360 tu..g2 ni flagship huez fananisha na hizo simu za kichina.
utunzaji wa chaji vipi? ina MAh ngapi?Kula C8,ni simu ya kichina sawa hatukatai ila iko vizuri sana.
Huyo jamaa kila post anailalamikia simu yake lkn na mm nimesha jaribu kuangalia hayo anayo yasema mimi siyaoni.Kwani nyie mmechukua model no.ngp Za c8 Coz me c8 yangu haijawah kua na matatizo uliyoyataja HPO juu na nimejaza app kubwakubwa km asphalt8,front line commando,n.k.....achilia mbali movies,music.n.k
Hiyo simu ni MTK chipset wala sishauri
Upande wa battery nitakubishia mpk milango ya mbingu ifunguke Coz sim yangu nikiichaj inakaa 8-9.30hrs on heavy usageHiyo simu ni MTK chipset wala sishauri
Kuhusu 4g unataka utumie kweny mtandao gani? Kama ni tigo basi hiyo simu haipo compatible na band za tigo
Trust me huwez compare na g2 nlokutajia kwa kitu chochote
Mbaya zaidi usipagawe na hyo battery yake kwa hyo processor ya mtk unaweza pata life mbovu upande wa battery simply kutokana na soc ya hyo simu.
Embu kaiangalie lg g2 kisha urud hapa.
3000mahutunzaji wa chaji vipi? ina MAh ngapi?
Nimesema unaweza , means there is possibility sawa mkuu?Upande wa battery nitakubishia mpk milango ya mbingu ifunguke Coz sim yangu nikiichaj inakaa 8-9.30hrs on heavy usage
Nimekupata mkuu isiwe kesiNimesema unaweza , means there is possibility sawa mkuu?
Wala sio kwamba ni 100% ila kutokana na soc kua kimeo na kuna watu wana claim hilo kweny hizo soc
Kwani hyo blue inauzwa sh.ngp?utunzaji wa chaji vipi? ina MAh ngapi?
300k mkuuKwani hyo blue inauzwa sh.ngp?
mkuu kcamp nimekuelewa na nimebadili mawazo na kukubali ushauri wako, ebu nisaidie upatikanaji wa hiyo simu kwenye box lake ingawa bei mkasiHiyo simu ni MTK chipset wala sishauri
Kuhusu 4g unataka utumie kweny mtandao gani? Kama ni tigo basi hiyo simu haipo compatible na band za tigo
Trust me huwez compare na g2 nlokutajia kwa kitu chochote
Mbaya zaidi usipagawe na hyo battery yake kwa hyo processor ya mtk unaweza pata life mbovu upande wa battery simply kutokana na soc ya hyo simu.
Embu kaiangalie lg g2 kisha urud hapa.
Kwani c8 ipo model ipi na ipi?? Namodel ipi ndio nzuri??Kwani nyie mmechukua model no.ngp Za c8 Coz me c8 yangu haijawah kua na matatizo uliyoyataja HPO juu na nimejaza app kubwakubwa km asphalt8,front line commando,n.k.....achilia mbali movies,music.n.k
Zinapatikana wap natak nimchukulie my dogo300k mkuu
dar zipo kuna jamaa wanaziuza, nitakuwekea mawasiliano yaoZinapatikana wap natak nimchukulie my dogo
ngoja tu nichukue lg 2 mkuuC8 ndo nayotumia, before Nilikuwa natumia iphone 4 ikafa flash, nakuhakikishia Techno c8 iko poa kuliko ata iphone 4