ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,476
- 9,654
OK Naomba unifanyie hvyo mkuu tena ikibid nambie nawapata vp kwa social networksdar zipo kuna jamaa wanaziuza, nitakuwekea mawasiliano yao
OK Naomba unifanyie hvyo mkuu tena ikibid nambie nawapata vp kwa social networksdar zipo kuna jamaa wanaziuza, nitakuwekea mawasiliano yao
Hahaha bora umesema ukweli, especially ma sister duu ndo wanaongoza kwa kufuta nembo ya technoTeh teh kwani siye hatupendi kutumia IPhone
haya hapa mawasiliano yaoOK Naomba unifanyie hvyo mkuu tena ikibid nambie nawapata vp kwa social networks
IPhone 4 ikafa flash? Ndo nini hio mkuuC8 ndo nayotumia, before Nilikuwa natumia iphone 4 ikafa flash, nakuhakikishia Techno c8 iko poa kuliko ata iphone 4
Thankshaya hapa mawasiliano yao
Wapenzi wetu wa BLU®, tumepokea simu ya STUDIO ENERGY 2. Kwa msimu huu wa pasaka itakuwa na bei ya ofa ya 355,000 TSH tu! Inayo specification ya juu, design ya kisasa na kwality ya USA. Simu hii huweza kukaa bila kuchaji hadi siku tatu! Wasiliana nasi kwenye SIMU +255 657 714 397 au +255 717 146 364 na kwenye WHATSAPP +255 685 77 1313.
Website yetu: Become a Blu® Authorized Agent Today! - Become a Blu® Authorized Agent Today!
Kutazama simu zetu za BLU® nenda hapa:
All BLU phones
C8 ni mbovu zina matatizo ya kufa baada ya miezi mitatu tangu inaponunuliwa.Mkuu usije kununua tecno yoyote
Jipinde ongeza 50 hapo utapata lg g2 zipo kwa 350 nyingi tu hata humu ndan kuna jamaa anauza kwa 360 tu..g2 ni flagship huez fananisha na hizo simu za kichina.
Techno C8 ina hizo sifa zote lakini ina matatizo yake mengine, kuna wakati inakuwa slow kwenye kurespond pia ukitaka kutuma msg inakuletea namba ya mwisho kutumia na sio namba unayoitaka usipokuwa makini unaweza kupata kesi hasa kama una michepuko
Hakuna hata yenye afadhali hapo..sikushauri yoyote
Budget yako ikoje utajiwe simu
Tecno c8 ni janga la dunia.
Kumbe kuna techno original
Yah KUna watu wanaingiza feki Coz sku Hz wanaona zinauzika sana
Tecno zote ni fake
Hebu pata maoni ya wengine kwanza binafsi nisingeshauri uchukue C8
Huyo jamaa kila post anailalamikia simu yake lkn na mm nimesha jaribu kuangalia hayo anayo yasema mimi siyaoni.
Simu kuwa slow husababishwa na mambo mengi, yangu haina hilo tatizo, hilo la sms na lenyewe sidhani coz mm natumia App ya textra so sijakutana na hilo tatizo.
Matatizo mengi ya C8 yalisha kuwa solved kupitia update walizokuwa wakizituma.
Labda useme matatizo mengine kama hizo chip za mediatek na material iliyotumika ni plastik so ukiwa wa kudondosha chini mara kwa mara hutokuwa na simu tena.
Hiyo simu ni MTK chipset wala sishauri
Kuhusu 4g unataka utumie kweny mtandao gani? Kama ni tigo basi hiyo simu haipo compatible na band za tigo
Trust me huwez compare na g2 nlokutajia kwa kitu chochote
Mbaya zaidi usipagawe na hyo battery yake kwa hyo processor ya mtk unaweza pata life mbovu upande wa battery simply kutokana na soc ya hyo simu.
Embu kaiangalie lg g2 kisha urud hapa.
Ongea jambo kwa fact kaka, natumia Tecno C8 niliinunua mwezi wa tisa mwaka jana na ndio nimetumia kupost hii comment. Hebu nisaidie ku hesabu nimiezi mingapi hadi sasa ipo mikononi mwangu.C8 ni mbovu zina matatizo ya kufa baada ya miezi mitatu tangu inaponunuliwa.
Simu hizo nimekuwekea kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0652971495Pata simu kwa bei poa kabisa
Samsung Galaxy
S3-350k
S4-395k
S5-496k
S6-1.24m
S6 edge - 1.55m
S6 edge plus - 1.78m
Samsung Galaxy
Note 1-292k
Note 2-393k
Note 3-532k
Note 4-750k
Note 5-1.2m
Sony Ericsson
Z3-650k
Z2-560k
Z1-450k
Pia Samsung tab 2,3,4 zipo bei ni pouwa. Pamoja na simu aina zote kwa mawasiliano zaidi piga simu namba +255652971495
Ahsante sana kwa ushauri mkuu john wa seba ushauri wako umezingatiwaSikushaur saaanaa kununuaaa tecnooo c8 coz hata mm nishaitumiaaa saanaaa hiyooo cm inatendency ya kurutorespond kwa wakatiiii...!
Unawezaa ukawaaa uko YouTube Mara ikarudi katk haliii ya kawaidaaa bilaaa kupress home button.
Tafuta brand nyingneee
Kama hutojar...!!!
Tecno hakunaaa kituuuu
mkuu vipi kuhusu lg 2 na tecno c8??Haloo ebu chukua hyo tekno camera safi mno chaj nakaa sana, halafu screen pana vizuri
That has something to do with sensitivity, techno is a high sensitive phone, ukiweka mamikono yako vibaya ni lazima uione mbovu, pia you can check on its sensitivity and reduce it if you can!Ahsante sana kwa ushauri mkuu john wa seba ushauri wako umezingatiwa