Ipi bora: Tecno C8 vs Blue studio energy 2

Ipi bora: Tecno C8 vs Blue studio energy 2

haya hapa mawasiliano yao

Wapenzi wetu wa BLU®, tumepokea simu ya STUDIO ENERGY 2. Kwa msimu huu wa pasaka itakuwa na bei ya ofa ya 355,000 TSH tu! Inayo specification ya juu, design ya kisasa na kwality ya USA. Simu hii huweza kukaa bila kuchaji hadi siku tatu! Wasiliana nasi kwenye SIMU +255 657 714 397 au +255 717 146 364 na kwenye WHATSAPP +255 685 77 1313.
Website yetu: Become a Blu® Authorized Agent Today! - Become a Blu® Authorized Agent Today!
Kutazama simu zetu za BLU® nenda hapa:
All BLU phones
Hivi unacompare je hiyo Blu brand na HTC. Elimu yangu kwa hizi gadgets ni ndogo ila nataka fanya maamuzi ya kununua kitu super.
 
Jamani hizi ni aina ya simu makapuni mawili tofauti, kwa anaezifahamu simu gani bora zaidi

katika yafuatayo

>uimara wa simu katika matengenezo
>ubora wa camera
>storage ya simu
>ukaaji wa chaji
>ubora wa kasi wa internet
>mwonekano mzuri

wataalamu karibuni

cc: Chief-Mkwawa na wengine
Kitu kimoja c8 imemiss ni kukosa 4G baaaas:
 
kwa ujumla fuata bajeti yako na ukizingazatia unaonekana unapenda Brand ya Tecno so endelea tu!
 
mkuu blue studio energy 2 the best than tecno c8 tena blue ina 4g network support
 
Tafuta iPhone ama window phone na enjoy maisha!! Achana na ma android
 
Kwa kuangalia specs za simu zote mbili naona yote ni mabomu kama unaweza 100% bora nunua LG g2 1080p display (screen yake kwa ppi ya 424 ni clear kuliko hizo simu mbili za 294 ppi) , ram kubwa, update utapata hadi lollipop na kuna custom rom kibao za Marshmallow, camera nzuri MARA 1000 ZA HAYO MABOMU, simu ina 4g ukipata version ya D802 ipo compatible na network ya tigo na battery life yake imesifiwa mnoo... Kama mtu una hela yako kununua Tecno ni upumbavu but kama salio alitiki Tecno ni poa.
 
Kwani nyie mmechukua model no.ngp Za c8 Coz me c8 yangu haijawah kua na matatizo uliyoyataja HPO juu na nimejaza app kubwakubwa km asphalt8,front line commando,n.k.....achilia mbali movies,music.n.k
C8 ina model no.? Kama naanza kusense kitu hapo
 
Kwa kuangalia specs za simu zote mbili naona yote ni mabomu kama unaweza 100% bora nunua LG g2 1080p display (screen yake kwa ppi ya 424 ni clear kuliko hizo simu mbili za 294 ppi) , ram kubwa, update utapata hadi lollipop na kuna custom rom kibao za Marshmallow, camera nzuri MARA 1000 ZA HAYO MABOMU, simu ina 4g ukipata version ya D802 ipo compatible na network ya tigo na battery life yake imesifiwa mnoo... Kama mtu una hela yako kununua Tecno ni upumbavu but kama salio alitiki Tecno ni poa.
Well said mkuu
Kuna watu hawaelewi sijui.
 
Kwa kuangalia specs za simu zote mbili naona yote ni mabomu kama unaweza 100% bora nunua LG g2 1080p display (screen yake kwa ppi ya 424 ni clear kuliko hizo simu mbili za 294 ppi) , ram kubwa, update utapata hadi lollipop na kuna custom rom kibao za Marshmallow, camera nzuri MARA 1000 ZA HAYO MABOMU, simu ina 4g ukipata version ya D802 ipo compatible na network ya tigo na battery life yake imesifiwa mnoo... Kama mtu una hela yako kununua Tecno ni upumbavu but kama salio alitiki Tecno ni poa.
Mkuu umesema vyema kama mtaalam nimekuelewa
 
Blu ni simu nzuri sana,imatengenezwa marekani,ina standard ya juu lakini ni ngeni kwenye soko,wengi wanaweza kuwa hawaifahamu.ingia gsmarena,uitafute
 
Lg g2 na lg g3 zinatogauti gani
1. Screen resolution G2 ni 1920 x 1080 G3 ni 2160x1440
2. Ppi LG g2 ni 424 LG g3 ni 500+
3. Ram g2 2g g3 ni 2/3gb
4.Chipset LG g2 ina snapdragon 800 2.26 ghz LG g3 ina snapdragon 801 2.5 ghz
 
Blu ni simu nzuri sana,imatengenezwa marekani,ina standard ya juu lakini ni ngeni kwenye soko,wengi wanaweza kuwa hawaifahamu.ingia gsmarena,uitafute
hazitengenezwi marekani, just wamiliki wake wapo marekani. simu nyingi za mediatek watu wana rebrand tu, unanunua simu china unabandika logo kwa juu unakuja kuzidump huku Africa na kwengine ambapo watu wanapenda vitu vya bei rahisi.
 
Back
Top Bottom