Sasa kama mtengeneza simu hataki kuweka delivery report na inawezekana kuiweka tatizo lipo wapi?
Kama mtengeneza simu hataki kuniwekea option ya kuchagua 2g au 3g tu matokeo yake napata tabu na uwezo wa kuiweka hiyo option upo tatizo lipo wapi?
Kama mtengeneza simu ananilimit mwisho mb100 kudownload kwa mobile data na mimi nipo sumbawanga sina namna ya kufanya kunabtatizo gani nikiiongeza hiyo option?
Kuyataja machache tu.........
Kwa mantiki hii jibu ni ndio kuroot au kujailbrake ni kufanya simu ifanye zaidi ya alivyoitengeneza mtengeneza simu
Na kwa taarifa yako Apple kila wakitoa ios mpya wanachukua mambo mengi sana toka kwa madeveloper wa jailbrake kujaribu ku discourage jailbreaking