Naona faida inayopata ni Whatsapp plus tu; nyingine umeshindwa kuorodhesha.
Mkuu unaweza kudowload/upload chochote kwenye safari browser ya simu yako?
Unaweza ku attach na kusend any kind of file kwa email?
Unaweza kumtumia mtu asiyetumia bidhaa za Apple file kwa bluetooth?
Unaweza kudownload video za youtube
Unaweza ku enable/disable wifi, data, bluetooth, in a single click badala ya settings etc etc etc
Unaweza kudownload chochote kwenye safari na kukiingiza kwenye app husika? Mfano mp3 zikaingia library vitabu ibook, video kwenye video nk bila itune?
Umaweza kuhamisha au kuingiza chochote kwenye simu yako kwa pc bila itune?
Unaweza kubadili font, theme,colour, icon nk?
Unaweza kudownload file la ukubwa wa mb100 bila wifi?
Unaweza kuifanya iphone yako kuwa kama usb flash ukatumza chochote?
Unaweza ku lock app uitakayo kwa passcode?
Kuna whatsap plus, viber plus, na Fb plus inayokupa features kibao ikiwemo huitaji kuinstall fb massenger
Kuna security apps nzuri zaidi za kupata simu yako iwapo itaibiwa au kupotea kuliko zilizopo App store
Kuna vitu kama delivery report kwa sms, kupiga simu kwa video bila wifi nk
Kuna apps mbadala nyingi sana ambazo Apple wamezikataa kwenge store yao utazipata cydia kwasababu ya ukirimba wao
Mambo ni mengi sana utapata iwapo utajailbrake idevice yako kulingana na mahitaji na interest zako
Haya mambo haya husiano na umasikini bali ni sera za Apple tu