Iphone bila jailbreak ni kukosa mengi

elmagnifico

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
8,260
9,704
Mimi ni mpenz wa iphone na ios yake, lakini kama mnavyojua ios ina limitation nyingi sana na ndiyo maana watu wanaopenda tweaks wana prefer android.
Ila kwa watumiaji wa ios ukijailbreak device yako utaifaidi zaid mfano utaweza install whatsapp ++ upate features kibao, utaweza tumia whatsapp web ambayo kwa iphone bado officially hawajaitoa kutokana na limitations za ios.
Utaweza funga application yoyote unayotaka mfano mimi nimefunga whatsapp na app ya messeges huwezi zi access mpaka uweke passcode.
Utaweza customize simu kwa kuweka themes, ringtones nyingine tuma files via blutooth, share music via whatsapp japo pia hili lawezekana bila kujailbreak via shareApp lite.
Pia unaweza download app yoyote iliyopo app store hata kama ni ya kulipia bure na hii sio lazima simu iwe jailbroken.
 
Well, binafsi natumia iphone. Sija ijail break and it works for me.

Hapo umeongelea hasa upande wa apps na simu appearance ambayo haiwi kwenye display somewhere unayo wewe mfukoni mwako.

Nadhani jail breaking ingekuwa na maana kama ingekuwa inaongeza phone space, fluidity of ios or battery life improvements.

Kwangu mimi basic apps toka app store zinanitosha, ku-customize mambo mengine hayana maana kwangu.

Afterall, jail breaking ina expose simu kwenye flaws and inakuwa prone na matatizo mbali mbali kama virus. Kwasababu unaondoa security features zilizokuja na simu.

Matoleo ya mbele ya simu wataanza kuzuia jail breaking kwasababu wengi wanaofanya hivyo wanakumbana na matatizo mwisho wa siku wanarudi apple kuwaomba wawatengenezee.
 
Well, binafsi natumia iphone. Sija ijail break and it works for me.

Hapo umeongelea hasa upande wa apps na simu appearance ambayo haiwi kwenye display somewhere unayo wewe mfukoni mwako.

Nadhani jail breaking ingekuwa na maana kama ingekuwa inaongeza phone space, fluidity of ios or battery life improvements.

Kwangu mimi basic apps toka app store zinanitosha, ku-customize mambo mengine hayana maana kwangu.

Afterall, jail breaking ina expose simu kwenye flaws and inakuwa prone na matatizo mbali mbali kama virus. Kwasababu unaondoa security features zilizokuja na simu.

Matoleo ya mbele ya simu wataanza kuzuia jail breaking kwasababu wengi wanaofanya hivyo wanakumbana na matatizo mwisho wa siku wanarudi apple kuwaomba wawatengenezee.

Sio kwamba wataanza kuzuia bali wanazuia milango iliyoachwa wazi kwenye kila update wanayotoa na ndiyo maana imewachukua Taig nad Pangu muda mrefu kutoa jailbreak ya ios 8.3/8.3 maana iphone waliziba mianya mingi.
Na huwezi kurudi apple watengeneze device uliyo jailbreak wakatengeneza maana unakuwa umevunja mkataba wao kwa hiyo hii si kweli.
Ukiona kuna tatzo unachofanya ni kirestore device yako using itunes it is just simple.
Mimi binafsi naridhika na simu yangu ila tu kuna limitations zilinifanya ni jailbreak mfano kwenye ios 8.3/8.4 huwez switch from 3g to 2g in case umebaki na low vattery wakat huo huo unataka uendelee kuwa connected na upunguze battery drain kwa kujailbreak simu u can do this.
Jambo lingine iphone inaruhusu kuweka passcode kwa device yote na si individual app, sasa kuna wakati unahitaji umpatie mtu simu yako kwa sababu moja au nyingine na hapo hapo unahisi ataingia may be whatsapp, au kwenye gallery au atasoma msg zako, kwa kujail break unaweza funga individual app isiwe accessed unless mtu awe na passcode.
Kwa previous ios jailbreak ulikuwa waweza fanya simu yako iwe na delivery report maana iphone hawana delivery report ukituma msg za kawaida.
Android wameanza faid whatsapp web maana kuna muda mimi napenda hamisha vitu toka kwenye pc kwenda kwenye simu pasipo kuichomeka simu kwenye comp na haraka zaidi, uwa natumia whatsapp web kwakuwa nimejail break iphone yangu na nikaweka scan enabler kwahiyo nina weza fanya mengi.
Kujailbreak hakuharibu simu yako tena naona kujailbreak iphone ni more safe kuliko kuroot android kwa kuwa ni a single button click.
Halafu in case ikitokea hukupenda u just restore your iphone using itunes.
 
na ukijailbreak vilevile unakosa mengi... sioni point ya kujailbreak kisa kubadili theme, theme zenyewe kwenye cydia zipo ovyo sana.. na kitu ka whatsapp++ what for? whatsapp yenyewe inatosha haihitaji modifications..

Like I said mimi binafsi zijabadili themes kwenye iphones yangu maana sipendi customization za hivyo, iphone wenyewe wameruhusu kuchange keyboards kuanzia ios 8.1 na kuendelea but still napenda default keyboard inayokuja na simu.
Faida za kujail break ni hizi hapa.
Ni raisi ku unlock carrier locked aimu na cheap sana via jailbreaking itaku cost tshs less than 30,000 wakat ingeku cost more than 100,000 kwa nwtwork kama at&t na zaidi ya 200,000 kwenye mitandao kama US sprint.
Wanao carrier unlock simu wanapata shida ya Ussd mara nyingine lakini via jail breaking unaweza weka patch ya kufix that.
Unaweza weka patch ya kuswitch btn 3g na 2g in case unataka kupunguza matumiza ya betri.
Kwa watumiaji wa ios below 8XX wanaweza weka patch ya delivery report maana iphone haina hii kitu.
Unaweza lock any individual app ambayo hutaki mtu ai access ni case kama hutaki lock the whole device.
Kwa wapenda games pia kuna patches ambayo ukiweka itakufanya uwe na ela ya kununua chochote wakati unacheza game ambapo awali zilikuwa zinakuhutaji u pay from your bank account.
Huto loose chochote kama umeweza jailbreak hutoshindwa ku update simu yako via itunes maana hata kama umejail break ukiunga na itunes na computer imeunganishwa na internet kama kuna update utaambiwa ila tu hutopata update via simu yenyewe kama awali
 
Mimi ni mpenz wa iphone na ios yake, lakini kama mnavyojua ios ina limitation nyingi sana na ndiyo maana watu wanaopenda tweaks wana prefer android.
Ila kwa watumiaji wa ios ukijailbreak device yako utaifaidi zaid mfano utaweza install whatsapp ++ upate features kibao, utaweza tumia whatsapp web ambayo kwa iphone bado officially hawajaitoa kutokana na limitations za ios.
Utaweza funga application yoyote unayotaka mfano mimi nimefunga whatsapp na app ya messeges huwezi zi access mpaka uweke passcode.
Utaweza customize simu kwa kuweka themes, ringtones nyingine tuma files via blutooth, share music via whatsapp japo pia hili lawezekana bila kujailbreak via shareApp lite.
Pia unaweza download app yoyote iliyopo app store hata kama ni ya kulipia bure na hii sio lazima simu iwe jailbroken.

Nilijailbreak 4s yangu wakati nahamia kwenye version ingine baada ya kuback up vitu vyangu nikareset ile 4s bila kutumia itune, ile simu haijawai amka mpaka leo zaidi ya kuwaka na kuishia kwenye logo ya apple tu. Tangia hili tukio litokee nimeichukuia hii kitu inayoitwa jailbreak
 
Haya mambo ni ya kimaskini maskini sana (figuratively)! Hivi ununue iPhone $600-700 afu uanze jailbreaking uli iweje? Tz kwa ujanja ujanja duh!

Kushusha hadhi ya apple, we ukitaka hizo kitu nunua tecno, huwawei & the like.

Jambo la kushangaza jailbreaking hawajatengeneza Tanzania bali wametengeneza wachina ambako ndiko kuna soko kubwa la iphone. Kuna nyingine alitengeneza Mgermany japo haikuwa successful kwa hiyo its not about kuwa Mtanzania, wanatengenezea wao sisi tunatumia na sio sisi tu dunia nzima ungekuwa watembelea online developers forums ungeona kule hakuna hata watanzania ni hao wazungu na wachina wanaojailbreak simu zao.
Kujilbreak simu yako wala sio kosa na apple hawawezi kusue kwa kufanya hivyo labda unakuwa umepoteza warranty ila ukirestore simu inarudi kama kawaida na there is no way wanaweza sema simu ilikuwa jailbroken awali.
Taig na pangu ni community ya wahandisi wa kichina wanaofanya kazi kujailbreak kila ios inayotolewa, sio suala la umasikini ni kuwa kwa mtu anayependa kupata zaidi angependa kucheza na device yake.
Kwa normal user kwako kawaida.
Ni sawa ununue gari najua wewe una magari ya kifahari then ulipimp utoe redio iliyokuja na gari lako uweke nyingine, ubadili rims, seat covers its all about giving it a new taste.
Taig na pangu ni community Zenye worth milion dollars thou wanatoa bure hizi software za kujailbreak.
 
Nilijailbreak 4s yangu wakati nahamia kwenye version ingine baada ya kuback up vitu vyangu nikareset ile 4s bila kutumia itune, ile simu haijawai amka mpaka leo zaidi ya kuwaka na kuishia kwenye logo ya apple tu. Tangia hili tukio litokee nimeichukuia hii kitu inayoitwa jailbreak

Iwashe ikiwa kwenye dfu mode uwe tayari ushadownload file ya os usika ya simu iconnect kwenye pc yenye itunes kuanzia 12 itaidetect then click shift/command ikiwa watumia mac na click restore kwenye itunes itakupeleka u locate file lako lilipo lililocate then itaanza kufanya installation ya ios upya kwenye device yako. Sit and relax mpaka itakapomaliza
 
Tatizo watu wana jailbreak simu zao bila kujua nini kinafuata after jailbreaking yani hajui ana kailbreak ili afanye nini hasa hivyo hivyo kuna wanao root simu zao bila kujua wana root ili wafanye nini.
Otherwise jailbreaking haina shida yoyote kwa simu maana virus wa kwenye simu hasa ios ni minor cases
 
Jambo la kushangaza jailbreaking hawajatengeneza Tanzania bali wametengeneza wachina ambako ndiko kuna soko kubwa la iphone. Kuna nyingine alitengeneza Mgermany japo haikuwa successful kwa hiyo its not about kuwa Mtanzania, wanatengenezea wao sisi tunatumia na sio sisi tu dunia nzima ungekuwa watembelea online developers forums ungeona kule hakuna hata watanzania ni hao wazungu na wachina wanaojailbreak simu zao.
Kujilbreak simu yako wala sio kosa na apple hawawezi kusue kwa kufanya hivyo labda unakuwa umepoteza warranty ila ukirestore simu inarudi kama kawaida na there is no way wanaweza sema simu ilikuwa jailbroken awali.
Taig na pangu ni community ya wahandisi wa kichina wanaofanya kazi kujailbreak kila ios inayotolewa, sio suala la umasikini ni kuwa kwa mtu anayependa kupata zaidi angependa kucheza na device yake.
Kwa normal user kwako kawaida.
Ni sawa ununue gari najua wewe una magari ya kifahari then ulipimp utoe redio iliyokuja na gari lako uweke nyingine, ubadili rims, seat covers its all about giving it a new taste.
Taig na pangu ni community Zenye worth milion dollars thou wanatoa bure hizi software za kujailbreak.

maelezo mazuri sana umewapa
 
Mkuu elmagnifico maelezo yako ni mazuri sana.

Mara nyingi nimekuwa nikijiuliza je nikihamia ios nitakua huru kama huku android.

Mfano ku download movie, magemu, na vinginevyo bila ku- jailbreak
 
Last edited by a moderator:
Mkuu elmagnifico maelezo yako ni mazuri sana.

Mara nyingi nimekuwa nikijiuliza je nikihamia ios nitakua huru kama huku android.

Mfano ku download movie, magemu, na vinginevyo bila ku- jailbreak

Vitu kama magame utaweza download bila kujailbreak kuna stores za kichina installation yake haitaji uwe umejailbreak kule apps na magame yote bure.
Kuhusu kudownload movies pia apps zipo za kudownload sema utakacho download hakitaingiliana default library ya iphone mfano ukitumia app kama tubidy download miziki hiyo miziki haitoonekana kwenye default music player ya iphone so ulitaka iplay utaiplay via tubidy hiyo hiyo
 
Last edited by a moderator:
wakuu naombeni mnisaidi app ambayo nitaweza kudownload Mp3. halafu kupitia iyo app niweze kushare hizo nyimbo kwa kutumia open in feature maana kuna moja nilikua nayo wakati narestore simu nayo imepotea halafu siikumbuki.msaada pls
 
Iwashe ikiwa kwenye dfu mode uwe tayari ushadownload file ya os usika ya simu iconnect kwenye pc yenye itunes kuanzia 12 itaidetect then click shift/command ikiwa watumia mac na click restore kwenye itunes itakupeleka u locate file lako lilipo lililocate then itaanza kufanya installation ya ios upya kwenye device yako. Sit and relax mpaka itakapomaliza

Nishafanya hii procedure ila haimalizi kuisntall, inatoa error (#-1)
 
na ukijailbreak vilevile unakosa mengi... sioni point ya kujailbreak kisa kubadili theme, theme zenyewe kwenye cydia zipo ovyo sana.. na kitu ka whatsapp++ what for? whatsapp yenyewe inatosha haihitaji modifications..

Mkuu inategemea na matumizi ya mtu
Ukweli ni kwamba jailbroken idevice is better than ambayo haijawa jailbroken
 
Haya mambo ni ya kimaskini maskini sana (figuratively)! Hivi ununue iPhone $600-700 afu uanze jailbreaking uli iweje? Tz kwa ujanja ujanja duh!

Kushusha hadhi ya apple, we ukitaka hizo kitu nunua tecno, huwawei & the like.
Pole sana mkuu sababu hujui unalolisema
Kama nashindwa kumtumia mtu wa android file kwa bluetooth sioni hiyo usd700 inanisaidiaje hapo
 
na ukijailbreak vilevile unakosa mengi... sioni point ya kujailbreak kisa kubadili theme, theme zenyewe kwenye cydia zipo ovyo sana.. na kitu ka whatsapp++ what for? whatsapp yenyewe inatosha haihitaji modifications..
Mkuu naomba orodhesha mambo unayokosa uki jailbrake iphone yako
Almost hakuna la maana zaidi ya wao Apple kukukosesha mambo ya maana kwasababu za kibiashara zaidi
 
Well, binafsi natumia iphone. Sija ijail break and it works for me.

Hapo umeongelea hasa upande wa apps na simu appearance ambayo haiwi kwenye display somewhere unayo wewe mfukoni mwako.

Nadhani jail breaking ingekuwa na maana kama ingekuwa inaongeza phone space, fluidity of ios or battery life improvements.

Kwangu mimi basic apps toka app store zinanitosha, ku-customize mambo mengine hayana maana kwangu.

Afterall, jail breaking ina expose simu kwenye flaws and inakuwa prone na matatizo mbali mbali kama virus. Kwasababu unaondoa security features zilizokuja na simu.

Matoleo ya mbele ya simu wataanza kuzuia jail breaking kwasababu wengi wanaofanya hivyo wanakumbana na matatizo mwisho wa siku wanarudi apple kuwaomba wawatengenezee.

Mkuu labda niseme inategemea na matumizi yako ya simu yakoje maana kuna mwingine hata nokia ya tochi inamtosha kabisa

Kwa watu watundu na wanaopenda kucheza na simu zao iphone inakikwazo sana

Apple ni wazuri sana lakini kuna mambo mengine hadi unakaa unajiuliza hivi hizi tweaks za Cydia kwanini Apple wasizoweke zikawa ni sehemu ya functions za simu kabisa?

To be honest CCtoggle ni moja ya tweak itanifanya niendelee kujailbrake labda Apple waweke as default kwenye ios zake

Kuhusu security hadi hivi sasa hakuna virus wa maana anayeshambulia ios na inahitaji utaalamu wa juu sana kuhack ios sababu imekuwa jailbroken
Kwa uzoefu wangu Cydia kuna Apps nzuri zaidi za kukusaidia kupata simu yako ikiibiwa kuliko App store

Ukiwa na jailbroken idevice utakuwa huru zaidi almost utafanya kila anachofanya mtumiaji wa os nyingine
 
Back
Top Bottom