Iphone 17 pro max vs Samsung S25 ultra. Ipi ninunue?

Iphone 17 pro max vs Samsung S25 ultra. Ipi ninunue?

Twin Tower

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
4,906
Reaction score
7,125
Maoni yenu wakuu.

Zote ziwe 512GB.

ipi nichukue, ni mtumiaji wa ios na android pia.

Nilitaka nibebe zote pamoja, lakin nataka nianze na moja.

Kama kuna tofauti na hizo ambazo bora zaidi nakaribisha pia.

Asanteni.
 
Maoni yenu wakuu.

Zote ziwe 512GB.

ipi nichukue, ni mtumiaji wa ios na android pia.

Nilitaka nibebe zote pamoja, lakin nataka nianze na moja.

Kama kuna tofauti na hizo ambazo bora zaidi nakaribisha pia.

Asanteni.
Chukua iPhone 17 Pro Max hutajuta kwanza inakaa sana na charge ni simu nzuri mno binafsi taangu nianze kununua simu zangu sijawahi kutumia Samsung
 
Chukua iPhone 17 Pro Max hutajuta kwanza inakaa sana na charge ni simu nzuri mno binafsi taangu nianze kununua simu zangu sijawahi kutumia Samsung
Data on na other apps like VPNS na kuingia mitandao ifuatayo
Jamiiforums
Telegrams
X.com
YouTube sana
TikTok sana

Inakaa na charge kwa muda Gani endapo ukitoka nyumbani saa 1 ipo full charge
 
Chukua iPhone 17 Pro Max hutajuta kwanza inakaa sana na charge ni simu nzuri mno binafsi taangu nianze kununua simu zangu sijawahi kutumia Samsung
Sasa kama haujawahi kununua Samsung umejuaje kuwa zina changamoto mazee hizo simu zote hazina tofauti saana ya kusema hii ni bora zaidi ya nyingine zote sawa tu ni uamuzi wa mtu atumie ipi..
 
Wasichojua mtu anayenunua simu za bei hiyo wala hawazi viwanja vya milion 2, alafu vikindu 😀
Ndo nashangaa mtu kama huyu anasaka nyumba ya Kuvunja Ilala huko Magomeni na Kinondoni unamshauri akanunue kiwanja cha 1m Vikindu???? Halafu Vikindu siyo Dar es Salaam sasa
 
Data on na other apps like VPNS na kuingia mitandao ifuatayo
Jamiiforums
Telegrams
X.com
YouTube sana
TikTok sana

Inakaa na charge kwa muda Gani endapo ukitoka nyumbani saa 1 ipo full charge
Kama mimi nikitoka nayo asubuhi jioni narudi nayo ikiwa around 60% na mimi ni heavy User VPN zipo kama jamii Forums hata Operamin Ina Built in VPN unatumia vizuri tuu

IMG_1148.png
 
Maoni yenu wakuu.

Zote ziwe 512GB.

ipi nichukue, ni mtumiaji wa ios na android pia.

Nilitaka nibebe zote pamoja, lakin nataka nianze na moja.

Kama kuna tofauti na hizo ambazo bora zaidi nakaribisha pia.

Asanteni.
Ningekuwa Mimi ningechukua zote
 
Back
Top Bottom