Iphone 17 pro max vs Samsung S25 ultra. Ipi ninunue?

Iphone 17 pro max vs Samsung S25 ultra. Ipi ninunue?

Chukua Samsung, maana I4n ina limitations za kiwaki mnoo.
Nakerekwa mie, aaaah
Huwa najiulizaga hivi mwanaume unaanzaje kutumia iphone macho 3? Ifike wakati wanaume tukubali tu kwamba macho 3 hasa kwa hapa Tz ni kuachia wadada.

Mwanaume tunapaswa kumiliki Samsung bhaana, mimi nataka nichukue ile fold 6.
 
Back
Top Bottom