oscarngala
Senior Member
- Apr 24, 2015
- 196
- 476
hujatumia iphon mkuumhhh mkuu iphone yoyote inapigwa uwezo wa camera na samsung ya mwaka mmoja nyuma.
ukichukua x bas itapata tabu kuipiku s7 edge.kwahiyo match nzuri ni note 8 kwa iphone x,ila note 8 kwa iphone 13 hapana,ni uongo.
iphone 13 itakabana na akina 20ultra na note 20.
Hiyo Rangi ya Anga siyo realistic.View attachment 2121066
View attachment 2121067
Nimepiga kwa kutumia iPhone 11. Hapo ni Pangani - Tanga
Mnaanza kuumbuana wenyewe jamaa mwongo kabisa bora hata yule wa iPhone 12pro max angalau anaweka picha halisiHiyo Rangi ya Anga siyo realistic.
sababu ni simu kutoka mars??hujatumia iphon mkuu
sharpness inapotea haraka,ndipo mega pixels nyingi zinapoonekana umuhimu wake.Hii picha unaweza kuizoom 10× bila kupoteza focusView attachment 2121248
Me picha ikiwa na kasoro nitasema regardless ni upande ninaoushabikia au lahMnaanza kuumbuana wenyewe jamaa mwongo kabisa bora hata yule wa iPhone 12pro max angalau anaweka picha halisi
Note 8 hii?Hii picha unaweza kuizoom 10× bila kupoteza focusView attachment 2121248
Ko unabishana na ukweliIphone ni the best for video recording.
Ila when it comes to pictures anagaragazwa na simu nyingi sana.
Pia before iphone 12, Iphone ilikuwa simu ya hovyo sana kwenye low light images.
Samsung waga ni namba3 nyuma ya pixel na iphone kwa pichaNyie sumsung kitu kingine hapo amna effect yoyoteView attachment 2120914
Hawa watu we waacha wanajionaga wamarekanisababu ni simu kutoka mars??
hata nikikwambia natumia utasema ni refub,hilo ni tatizo lako binafsi.
Yes na ni saatatu asubuhi nimepiga kuelekea mashariki linapotoka jua, pic umeionaje?
Kali saaana.Yes na ni saatatu asubuhi nimepiga kuelekea mashariki linapotoka jua, pic umeionaje?
Si wajapan tunawaangalia wa US wanavyojitutumua na majeneza yaoKali saaana.
Nishawahi kuichukua samsung s flani hivi, hata s8 haikufika. Nikaipambanisha na Iphone 8+ kipindi hiko ndo zimetoka tu, niliipambanisha eneo la camera. Tofauti ilikuwa ni ndogo, lakini ukija eneo la kutumia flash ktk camera, samsung kampiku Iphone.
Kuna muda naona hizi iphone watu wanazioverrate mno lakini mimi naona Android ni mziki mwingine. Sana sana hizi samsung devices ni moto mwingine.
Na hapa picha Jf App imeipunguza qualityUmbali halisi wa nyumbaView attachment 2121775
SaaanaNa hapa picha Jf App imeipunguza quality
hizi data mnatoa wapi??au mnakariri.Samsung waga ni namba3 nyuma ya pixel na iphone kwa picha
Akikujibu nistue😎hizi data mnatoa wapi??au mnakariri.
Hizo Grade A zitakuwa ni dongo haswa mkuuushamba wetu tu ndio unatuponza, Iphone anauza brand tu pale...samsung upate grade A kutoka korea penyewe, note 9 yangu kwenye camera naikubali sana