iPhone 11... kuvunja rekodi?

Inategemea na simu mkuu, Nina OnePlus 5T ya 2017 ilikuja na 8GB ram, na Sasa Hivi nipo latest na Android 9 na hio 10 wanatufikiria.

Simu za Nokia zote zitapata Android P mwakani, Nokia 8 ilitoka na Android 7, imepata 8, 9 na 10 na mwakani inapata 11,

Nvidia shield ilitoka na Android 5.1 Kama sijakosea na Sasa Hivi ipo latest na bado hawajasitisha support.

Hizo Ni official updates, ukienda un official mpaka simu Kama Galaxy s2 inaweza run latest update. Mwenzake waliotoka pamoja iPhone 4 Sasa Hivi kawa Nokia ya tochi huwezi eka app yoyote.

Na mkuu usikatae maneno yako kwenye processor na ram Umewahi kusema hivyo vitu havihitajiki niruhusu nifukue makaburi.
 
Kwakweli apple wametuangusha
Sana tu. Wametuangusha vibaya mno.

Hakuna USB Type C.

Hakuna improved high refresh rate pro motion display.

Hakuna reverse wireless charging.

Hakuna in display fingerprint.

Sasahivi wateja wananunua kwasababu ya eco system na sio kingine.
 
As kwa mda huu saa tisa inaelekea na nusu usiku nikitazama channel ya CCN ya marekani naona mauzo ya mwanzo ya Iphone 11 yamekuwa mabaya sana, kuliko hata ya wapinzani wao Samsung, Google na Huawei waliotoa nao matoleo mapya hivi karibuni.
Hata pre order bado.

Hayo mauzo yamekuwaje mabaya?
 
Carrier gani hawajaanza kulaunch 5G mkuu?
Africa hakuna carrier ambaye amesha launch 5G.

Huko ulaya na marekani ni sehemu chache sana wameshalaunch na still haioneshi mafanikio.

Hata kwenye spot moja kuna upande unaweza pata 5G na mwingine ukakosa kabisa.
 
Hiyo hatari sana mkuu.
 
wakifanya apple ni best,ila wengine ni nonsense.

leo 2019 mna kioo cha 720p,mnaona hakuna haja hata ya 1080p,siku apple wakiwapa.kipofu anakuwa ameona mwezi.
Tatizo ni ukuta uliojengwa na apple.

Kuna mtu ni mdau wa apple toka iphone 5.

Ndio maana anaweza akaona features nyingine kwa simu zingine bado asizinunue.

Kuhama platform sio kazi rahisi kama unavyowaza.
 
Inategemea na simu mkuu, Nina OnePlus 5T ya 2017 ilikuja na 8GB ram, na Sasa Hivi nipo latest na Android 9 na hio 10 wanatufikiria.
ni 2 years hadi sasa, tucheki kama watakaa 5 years kama wanavofanya wenye 2Gb rams.

Simu za Nokia zote zitapata Android P mwakani, Nokia 8 ilitoka na Android 7, imepata 8, 9 na 10 na mwakani inapata 11,
Kwanini Nokia hawakuiacha hio Nokia 8 bado wanaipa update ya software?

Nvidia shield ilitoka na Android 5.1 Kama sijakosea na Sasa Hivi ipo latest na bado hawajasitisha support.
Same kama nokia.

Hizo Ni official updates, ukienda un official mpaka simu Kama Galaxy s2 inaweza run latest update. Mwenzake waliotoka pamoja iPhone 4 Sasa Hivi kawa Nokia ya tochi huwezi eka app yoyote.
iPhone 4 inakuwa obsolete kwa sababu OS yao sio open source kwamba mtu anaweza akatengeza alternative na ikafanya kazi straight away. Halafu ile status tu ya iOS nayo pia imechangia kufanya kuwa ionekane kuwa sio simu ya pata sote na hivo developers wana expect watu watanunua new iphones na kuacha kutumia za zamani.

Android kila mtu anatia mkono wake, ni muhimu kujiuliza, are you safe with your data?

Na mkuu usikatae maneno yako kwenye processor na ram Umewahi kusema hivyo vitu havihitajiki niruhusu nifukue makaburi.
Mkuu hebu lifukue nitumie link nione hapo nliposema kama Processor na rams hazihusiki kwenye speed. Maana kama nimesema ivo sijui ata nilifikiria kitu gani kinachangia kwenye speed.
 
Africa hakuna carrier ambaye amesha launch 5G.

Huko ulaya na marekani ni sehemu chache sana wameshalaunch na still haioneshi mafanikio.

Hata kwenye spot moja kuna upande unaweza pata 5G na mwingine ukakosa kabisa.
Rain south Africa wameshazindua 5G, sema still wapo kwenye rollout. na baadhi ya mitandao Wana mpango huo.

Sema tatizo la 5G Ni Kama Hilo unalosema haina range kubwa hata ikija tegemea maeneo machache Sana kuwa na network mfano katikati ya jiji.
 
kioo kipana kinachong'aa zaidi na nguvu zaidi.
 
If it can be done with less Rams, do you need more rams? That is a waste of resources
A13 bionic chip is the most efficient chip in the industry right now.

5 hours more in battery life kwenye iphone 11 pro max.

Can't wait.
 
Tatizo ni ukuta uliojengwa na apple.

Kuna mtu ni mdau wa apple toka iphone 5.

Ndio maana anaweza akaona features nyingine kwa simu zingine bado asizinunue.

Kuhama platform sio kazi rahisi kama unavyowaza.
ni unazi wa ajabu tu.

leo hii mtu akishika samsung metre 10 kutoka ulipo mpaka unaona raha.apple hawafanyi kwa kuwafurahisha wateja.wanaangalia faida zaidi.utafiti kidogo then mauzo bei juu.
 
Kwanini hao Samsung au LG wasitengeneze kwenye simu zao?
 
It might need 4Gb ram, lets wait and see. Its not like others with 8Gb of rams and after 2 years you cant get an upgrade to the latest OS so you have to resort to underground soultions 🙂
Wapi umeshaona apple wanatangaza mambo ya RAM au Battery Life?
 
kama kuna kitu umenote kwa apple,wana delay kuongeza features katika simu zao ili za nyuma zisiachwe.

lakini sasa hawana namna,charange zimekuwa nyingi sana.akizubaa inakula kwake na wateja wake rayal.
 
Alternative ukimaanisha nini?
Android anaweka betri ya 4500 mah kwenye simu zake na iphone ana 2500 mah unategemea nini? Na hapo hazikai hata 24hrs.

Kuwa na efficient chip ndo kunamfanya apple awe vizuri kwenye battery life. Ingekuwa apple ana hizo 5000mah angekaa zaidi ya 18hrs na chaji.

BTW, iphone ndo bingwa wa standby time.
 
sasa unafikiri kwanini haweki hizo 5000mah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…