Indume Yene Platinum Member Mar 17, 2008 2,950 711 May 29, 2011 #1 Wadau jaribu kuangalia kwa makini hii picha kisha uipe maneno. Karibu.
A allydou JF-Expert Member Apr 16, 2009 1,603 1,060 May 30, 2011 #2 Ni ngumu sana kwangu, kwanza namjua jk na pinda tu hapo.
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 May 31, 2011 #4 Huyo aliyeshikwa mkono na Dr,Dr,Dr JK ni nani Indume Iyene???
Tajy JF-Expert Member Apr 9, 2011 298 24 May 31, 2011 #6 Ni kama Daniel arapMOI vile anafananiafanania
Deodat JF-Expert Member Sep 18, 2008 1,274 272 May 31, 2011 #7 Mi sioni chochote zaidi ya JK na suti yake kama mwanafunzi wa veta.
S samvande2002 JF-Expert Member Mar 6, 2009 413 34 May 31, 2011 #10 freemasonic signs between the two (hands)
Mzizi wa Mbuyu JF-Expert Member May 15, 2009 7,326 6,839 May 31, 2011 #11 Mh, Nyerere alikuwa anajidai sana kuwa raisi! na mimi ni raisi sasa.
K Kiguu na njia Member Dec 25, 2010 95 21 May 31, 2011 #12 tuwe waangalifu wa-tz washajanjaruka-unackia wewe mtoto wa mfugaji!!
N NYAMLENGWA Member Mar 8, 2011 41 5 May 31, 2011 #14 Mmh me mwnzen namuona 2 cheupe huy mwngne hat cmpat
ALLEX JF-Expert Member Mar 15, 2011 2,006 343 Jun 1, 2011 #15 Unajuwa wanyama wameisha kule may be kuna mikorosho mingi kwetu nitakupa heka za kutosha..
sekulu JF-Expert Member Jan 17, 2011 988 157 Jun 1, 2011 #16 Mambo Magumu sna lakini usijari nitajaribu kuku sidia
F Fantismo Member Feb 15, 2011 10 1 Jun 1, 2011 #17 "kwako una watoto wa kike wazuri wa kutosha, ngependa kumpatia mmoja uraia na kumpa nafasi bungeni"