Kudesa kwa zamu:
BABA:
MAMA:
BABA TENA JUZIJUZI TU:
Kudesa kwa zamu:
BABA:
MAMA:
BABA TENA JUZIJUZI TU:
Rawlings: Vipi nasikia Slaa ulimpiga bao la kisigino
JK: Hebu ulifanyaje vile hadi nchi yako inasifika kwa demokrasia na vita dhidi ya ufisadi?
RAWLINGS: Kazi rahisi sana, unakumbuka nilipoingia tu madarakani nikawafyeka kwa risasi marais wote walionitangulia waliokuwa hai ambao kila mmoja wao alikuwa na madhambi makubwa ya ufisadi na walikuwa wakilindana ile mbaya. Hiyo ndiyo siri ya mafanikio ya Ghana ya sasa na unaweza ukitaka kuazima ukurasa kutoka kwangu.....
Duh! hapo na Mubarak : nahisi Mubaraki alikuwa anamwambia kwamba mapolisi yangu nahisi yamejisahahu baada ya miaka 30 ya utawala wangu mshikaji...naogopa pipoz powa!
Huyo jamaa mwenye yunifomu ya kijani anaonekana kuwa busy kuliko boss wake.